MAENDELEO
21 April 2024, 2:09 pm
Mbunge Nsimbo akabidhi msaada kwa waathirika wa mafuriko
“Wananchi wanatakiwa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya mvua ambazo tayari zimeonyesha kuwa na athari ya mafuriko katika jamii” Na Ben Gadau -Katavi Mbunge wa Jimbo la Nsimbo Anna Lupembe amekabidhi msaada kwa wahanga wa mafuriko katika vijiji vya kaburonge A…
19 April 2024, 11:41 pm
Rais wa chemba ya wafanyabiashara nchini azitaka taasisi binafsi kuungana
Rais wa chemba ya wafanyabiashara Tanzania [TCCIA] Vicent Bruno Minja akizungumza na wafanyabiashara mkoani Katavi.Picha na Veronika Mabwile “changamoto zinashindwa kutatuliwa kutokana na wafanyabiashara wenyewe kutokuwa na umoja“ Na Veronika Mabwile -Katavi Rais wa chemba ya wafanyabiashara Tanzania [TCCIA] Vicent…
12 April 2024, 8:21 pm
RC Katavi: Serikali inatambua umuhimu wa Vvongozi wa dini
Picha na Mtandao “Amewapongeza viongozi wa Baraza la BAKWATA kwa kuonyesha Ushirikiano katika juhudi zinazofanywa na Serikali na kuainisha kuwa Serikali inatambua Mchango wa Dini katika kufanya Shughuli za Maendeleo “ Na Samwel Mbugi-Katavi Viongozi wa Baraza kuu la Waislamu…
10 April 2024, 11:24 pm
Bilioni 16 zatengwa ujenzi umeme gridi ya taifa Tabora-Katavi
Picha na Mtandao “Wakandarasi wanaohusika na ujenzi huo kutokana na kasi ya ujenzi na kuwataka kuuongeza ufanisi wa ujenzi ili kuweza kuukamilisha kwa wakati” Na Betold Chove-Katavi Kiasi cha Bilioni 16 zimetengwa na serikali kwa ajili ya kugharamia mradi wa…
8 April 2024, 3:07 pm
Mkoa wa Katavi umepokea Fedha zaidi ya Trillion Moja kutoka kwa Serikali
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko .Picha na Mtandao “Mafanikio ya Mkoa wa Katavi kwa miaka Mitatu ya Serikali ya awamu ya Sita chini ya Rais Dkt Samia“ Na Liliani Vicent -Katavi Mkoa wa Katavi umepokea Fedha zaidi ya…
8 April 2024, 1:39 pm
Katavi, Kiasi cha Tshs Milioni Sita chatolewa Katika Mtaa wa Kilimani Kwa aji…
Picha na Mtandao “Baada ya kuzipokea Fedha hizo alikaa na Wajumbe kwa ajili ya kufanya Maamuzi, wakaona ni Vyema kuwashilikisha Wananchi ili kukubaliana kiasi cha kuchangia kwa ajili ya upatikanaji wa Mchanga“ Na Samwel Mbugi -Katavi Wananchi wa Mtaa wa…
8 April 2024, 12:33 pm
Mbunge wa Jimbo la Mpanda Mjini Sebastian Kapufi afuturisha
Mbunge wa Jimbo la Mpanda Mjini Sebastian Kapufi.Picha na Mtandao “viongozi wa serikali na wasio waserikali wamekuwa na mchango katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa ramadhani katika dhehabu hilo kwa kutoa misaada mbalimbali ikiwemo kufuturisha” Na Deus Daudi-Katavi Mbunge…
4 April 2024, 8:45 pm
Wananchi Katavi watakiwa kuchukua vitambulisho vya taifa
Afisa Msajili mamlaka ya vitambulisho vya taifa wilaya ya Mpanda Mauna Karumbeta akiwa katika Studio za Mpanda Redio Fm .Picha na Anna Milanzi Amewataka wananchi kuthamini juhudi za serikali kwa kufika kuchukua vitambulisho na kuvitunza kwani serikali imetumia gharama“ Na…
3 April 2024, 1:02 pm
Vijana Mkoani Katavi wametakiwa kufanya kazi ili wajikwamue kiuchumi
picha na Mtandao “Ni muhimu vijana kushiriki katika kufanya kazi ili kusaidia kuondoa makundi ya kiharifu“ Na Veronika Mabwile -Katavi Imeelezwa kuwa uwepo wa baadhi ya vijana wasioshiriki katika shughuli za Kiuchumi katika Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi inatokana kutokuelezwa…
2 April 2024, 10:23 pm
Wizi koki za maji Katavi chanzo cha kukosekana huduma ya maji
Picha na Mtandao Wizi wa koki uliokuwa unafanywa na wahalifu ulichangia kwa kiasi kikubwa kukosekana kwa maji katika mtaa wa Mpanda hoteli. Na Samwel Mbughi-Katavi Wananchi wa Mtaa wa Mpanda Hoteli Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametoa Shukrani kwa Serikali…