Mpanda FM

MAENDELEO

21 April 2024, 2:09 pm

Mbunge Nsimbo akabidhi msaada kwa waathirika wa mafuriko

“Wananchi wanatakiwa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya mvua ambazo tayari zimeonyesha kuwa na athari ya mafuriko katika jamii” Na Ben Gadau -Katavi Mbunge wa Jimbo la Nsimbo Anna Lupembe amekabidhi msaada kwa wahanga wa mafuriko katika vijiji vya kaburonge A…

19 April 2024, 11:41 pm

Rais wa chemba ya wafanyabiashara nchini azitaka taasisi binafsi kuungana

Rais wa chemba  ya wafanyabiashara Tanzania [TCCIA] Vicent Bruno Minja akizungumza na wafanyabiashara mkoani Katavi.Picha na Veronika Mabwile “changamoto zinashindwa kutatuliwa kutokana na wafanyabiashara wenyewe kutokuwa na umoja“ Na Veronika Mabwile -Katavi Rais wa chemba  ya wafanyabiashara Tanzania [TCCIA] Vicent…

12 April 2024, 8:21 pm

RC Katavi: Serikali inatambua umuhimu wa Vvongozi wa dini

 Picha na Mtandao “Amewapongeza viongozi wa Baraza la BAKWATA kwa kuonyesha Ushirikiano katika juhudi zinazofanywa na Serikali  na kuainisha kuwa Serikali inatambua Mchango wa Dini katika kufanya Shughuli za Maendeleo “ Na Samwel Mbugi-Katavi Viongozi wa Baraza kuu la Waislamu…

8 April 2024, 12:33 pm

Mbunge wa Jimbo la Mpanda Mjini Sebastian Kapufi afuturisha

Mbunge wa Jimbo la Mpanda Mjini Sebastian Kapufi.Picha na Mtandao “viongozi wa serikali na wasio waserikali wamekuwa na mchango katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa ramadhani  katika dhehabu hilo kwa kutoa misaada mbalimbali ikiwemo kufuturisha” Na Deus Daudi-Katavi Mbunge…

4 April 2024, 8:45 pm

Wananchi Katavi watakiwa kuchukua vitambulisho vya taifa

Afisa  Msajili  mamlaka ya vitambulisho vya taifa  wilaya ya Mpanda Mauna Karumbeta akiwa katika Studio za Mpanda Redio Fm .Picha na Anna Milanzi Amewataka wananchi kuthamini juhudi za serikali kwa kufika kuchukua vitambulisho na kuvitunza kwani serikali imetumia gharama“ Na…

2 April 2024, 10:23 pm

Wizi koki za maji Katavi chanzo cha kukosekana huduma ya maji

Picha na Mtandao Wizi wa koki uliokuwa unafanywa na wahalifu ulichangia kwa kiasi kikubwa kukosekana  kwa maji  katika mtaa wa Mpanda hoteli. Na Samwel Mbughi-Katavi Wananchi wa Mtaa wa Mpanda Hoteli Manispaa ya Mpanda mkoani  Katavi wametoa Shukrani kwa Serikali…