MAENDELEO
2 April 2024, 10:23 pm
Wizi koki za maji Katavi chanzo cha kukosekana huduma ya maji
Picha na Mtandao Wizi wa koki uliokuwa unafanywa na wahalifu ulichangia kwa kiasi kikubwa kukosekana kwa maji katika mtaa wa Mpanda hoteli. Na Samwel Mbughi-Katavi Wananchi wa Mtaa wa Mpanda Hoteli Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametoa Shukrani kwa Serikali…
1 April 2024, 9:16 pm
Maabara yajengwa Katavi kutatua kero zinazowakabili akinamama wa kiisilam
Jengo la Maabara inayojengwa .Picha na Mtandao Akinamama wa kiislamu wamefurahishwa na uanzishwaji wa maabara hiyo huku wakidai itakapokamilika itasaidia kutatua changamoto zinazowakabili kwani watapatiwa huduma na wataalam wa kike na si wa kiume kama ilivyo sasa. Na Betold Chove…
29 March 2024, 2:30 pm
Wananchi Karema wafikisha kilio chao kwa RC Katavi
Wananchi wa kata ya Karema wilaya ya Tanganyika mkoa wa Katavi wakiwa katika Mkutano .Picha na Anna Milanzi “Upepo mkali uliovuma Machi 16 na March 24, 2024 na maji ya ziwa Tanganyika kuingia katika makazi ya watu , jumla ya…
22 March 2024, 11:12 am
Katavi,watuhumiwa 14 wafikishwa Mahakamani akiwemo aliyekuwa Mkurugenzi halmasha…
picha na Ben Gadau “watuhumiwa wote 14 wanashtakiwa na makosa 153 ikiwemo utakatishaji wa fedha, kuunda genge la uhalifu na kugushi malipo kwa njia ya mtandao kinyume na utaratibu“ Na Ben Gadau -Katavi Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa…
19 March 2024, 3:19 pm
Katavi, Wafanyabiashara 24 Mbaroni Kupandisha bei ya Sukari
Picha na Mtandao “Ni wajibu wa kila mfanyabiashara kuzingatia bei elekezi inayotolewa na Serikali ili kupunguza usumbufu kwa mlaji“ Na Betord Benjamin-Katavi Jumla ya Wafanyabiashara 24 Katika Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wamekamatwa kutokana na kuuza sukari kinyume na bei…
7 March 2024, 3:29 pm
Wanawake Katavi wapanda miti kutunza mazingira
“Miti hiyo inayopandwa itakuwa ni kumbukumbu ya maadhimisho ya siku ya mwanamke mwaka huu lakini pia ni sehemu uendelezaji wa utunzaji mazingira mkoani hapa“ Na Deus Daud-katavi Kuelekea kilele cha maadhimisho ya siku ya mwanamke duniani manispaa ya Mpanda imefanya…
7 March 2024, 2:31 pm
MPANDA, Madiwani Wahofia Bajeti Ya TARURA
“Madiwani Wa Halmashauri ya Manispaa Ya Mpanda Wameonyesha Kutoridhishwa Na Bajeti Hiyo Na Kumtaka Manager Wa Tarura Kwenda Kupitia Upya Na Kuiwasilisha Kwa Baraza Hilo Ifikapo Jumatatu ya tarehe 11 mwezi wa tatu mwaka huu” Picha na Deus Daud Na…
16 February 2024, 11:58 pm
Baraza la madiwani Tanganyika lapitisha mapendekezo ya bajeti bil. 33
Picha na Festo Kinyogoto Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika Hamad Mapengo amesema bajeti hiyo inakwenda kutatu changamoto mbalimbali huku nguvu kubwa ikiwa imeelekezwa katika sekata ya Elimu na Afya. Na Leah Kamala-Katavi Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya…
9 February 2024, 2:41 pm
Sungusungu Mpanda wageuka vibaka
Na John Benjamin-Katavi Baadhi ya wananchi katika mtaa wa Airtel kata ya Uwanja wa Ndege halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamelalamikia kuwepo kwa kundi ambalo limekuwa likijitambulisha kuwa ni ulinzi shirikishi ambalo limekuwa likifanya matukio ya kiharifu kama…
9 February 2024, 2:29 pm
Wananchi Katavi watakiwa kuacha kuchukua mikopo umiza
Wananchi wamehimizwa kujenga tabia ya kuchukua mikopo katika taasisi za kifedha zinazozingatia sheria na miongozo ya serikali zikiwemo benki ili kuepuka usumbufu wa mikopo umiza. Na Veronica Mabwile-Katavi Imeelezwa kuwa Uwepo wa Elimu ndogo juu ya madhara ya tokanayo na…