Mpanda FM
Mpanda FM
1 June 2026, 13:20
Wauguzi ni nguzo muhimu katika mfumo wa afya na maendeleo ya taifa kwa sababu wanasaidia kuhakikisha wananchi wanakuwa na afya bora na uwezo wa kushiriki katika shughuli za maendeleo Na Emmanuel Kamangu Wauguzi mkoani Kigoma wameaswa kuendelea kuzingatia maadili ya…
31 May 2026, 14:54
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema Serikali kupitia ZIPA imekamilisha maandalizi ya kuwapokea wawekezaji wa kimataifa watakaoshiriki katika Kongamano la Uwekezaji 2026 (Zanzibar Investment Summit Zanzibar 2026). Mary Julius. Makamu wa Pili wa Rais wa…
25 May 2026, 09:49
Ugonjwa wa Ebola ni hatari kubwa kwa sababu husababishwa na virusi vinavyoenea kwa haraka kupitia kugusana na majimaji ya mwili wa mtu aliyeambukizwa kama damu, mate, jasho, mkojo au matapishi Na Hagai Ruyagila Mkuu wa wilaya ya Kasulu Kanali Isaac…
25 May 2026, 08:01
Afya ni msingi muhimu katika maisha ya mwanadamu na jamii yenye watu wenye afya bora huwa na maendeleo mazuri kiuchumi, kijamii na kielimu Na Timotheo Leonard Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kusini, Nuru Issa Kashakari, amewashukuru wananchi wa Kijiji cha…
20 May 2026, 16:19
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais, Hamza Hassan Juma amesema Serikali kupitia Wakala wa Vipimo Zanzibar (ZAWEMA) itaendelea kuhamasisha matumizi ya vipimo sahihi ili kujenga mazingira ya biashara yenye haki na usawa. Aidha, amewataka wafanyabiashara kushirikiana…
20 May 2026, 3:05 pm
Wakulima mkoani Katavi wameshauriwa kutumia mizani katika mauzo ya mazao na kuachana na vipimo batili. Na Anna Milanzi-Katavi Katika kuadhimisha siku ya vipimo duniani meneja wakala wa vipimo mkoa wa Katavi Mrinde Elihaki amewashauri wakulima kuzingatia matumizi ya vipimo halali…
16 May 2026, 22:47
Mkuu wa Wilaya ya Kati Rajab Ali Rajab amewataka madiwani wa Wilaya ya Kati kubuni vyanzo vipya vya mapato pamoja na kusimamia ukusanyaji wa mapato katika wadi zao ili kuongeza mapato ya Baraza la Manispaa Kati. Na Hakika Mwinyi. Madiwani…
10 May 2026, 4:07 pm
Watumishi wa umma wametakiwa kuzingatia maadili ya kazi, kutunza nyaraka na mali za serikali pamoja na kuwajibika ipasavyo ili kulinda ajira zao. Na Mrisho Sadick: Mtumishi wa serikali katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe anayedaiwa kuweka rehani nyaraka za serikali…
6 May 2026, 10:12
“Ikiwa mnahitaji kupata maendeleo nilazima viongozi mkubali kuwashirikisha wananchi kutoka kwenye makundi yote ndani ya jamii bila ya ubaguzi. Na Vuai juma. Viongozi wa Wilaya Kaskazini “B” Unguja wametakiwa kuwajibika katika majukumu yao sambamba na kuwashirikisha wananchi wakati wa kufanya…
1 May 2026, 9:50 am
RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Madiwani wilayani Rungwe wameombwa kupitia taarifa ya mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali ili kuweza kurekebisha makosa na changamoto zilizo bainishwa kwenye taarifa hiyo kwa lengo ya kuendelea kupata hati safi. Kauli hiyo imetolewa na…