Mpanda FM

MAENDELEO

1 June 2026, 13:20

Wauguzi waaswa kudumisha maadili ya taaluma yao Kigoma

Wauguzi ni nguzo muhimu katika mfumo wa afya na maendeleo ya taifa kwa sababu wanasaidia kuhakikisha wananchi wanakuwa na afya bora na uwezo wa kushiriki katika shughuli za maendeleo Na Emmanuel Kamangu Wauguzi mkoani Kigoma wameaswa kuendelea kuzingatia maadili ya…

31 May 2026, 14:54

Zanzibar kutumia kongamano kuvuta wawekezaji

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema Serikali kupitia ZIPA imekamilisha maandalizi ya kuwapokea wawekezaji wa kimataifa watakaoshiriki katika Kongamano la Uwekezaji 2026 (Zanzibar Investment Summit Zanzibar 2026). Mary Julius. Makamu wa Pili wa Rais wa…

25 May 2026, 08:01

Mbunge aeleza 600m kukamilisha kituo cha afya Uvinza

Afya ni msingi muhimu katika maisha ya mwanadamu na jamii yenye watu wenye afya bora huwa na maendeleo mazuri kiuchumi, kijamii na kielimu Na Timotheo Leonard Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kusini, Nuru Issa Kashakari, amewashukuru wananchi wa Kijiji cha…

20 May 2026, 16:19

ZAWEMA yaendelea kuhamasisha matumizi sahihi ya vipimo Zanzibar

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais, Hamza Hassan Juma amesema Serikali kupitia Wakala wa Vipimo Zanzibar (ZAWEMA) itaendelea kuhamasisha matumizi ya vipimo sahihi ili kujenga mazingira ya biashara yenye haki na usawa. Aidha, amewataka wafanyabiashara kushirikiana…

20 May 2026, 3:05 pm

Wakulima watakiwa kutumia mizani sahihi kuuza mazao

Wakulima  mkoani  Katavi  wameshauriwa kutumia mizani katika mauzo ya mazao  na kuachana na vipimo batili. Na Anna Milanzi-Katavi Katika kuadhimisha siku ya vipimo duniani meneja wakala wa vipimo mkoa wa Katavi Mrinde Elihaki amewashauri wakulima kuzingatia matumizi ya vipimo halali…

16 May 2026, 22:47

DC Kati awataka madiwani kusimamia Ukusanyaji wa mapato

Mkuu wa Wilaya ya Kati Rajab Ali Rajab amewataka madiwani wa Wilaya ya Kati kubuni vyanzo vipya vya mapato pamoja na kusimamia ukusanyaji wa mapato katika wadi zao ili kuongeza mapato ya Baraza la Manispaa Kati. Na Hakika Mwinyi. Madiwani…

10 May 2026, 4:07 pm

Watumishi watakiwa kuzingatia maadili ya kazi

Watumishi wa umma wametakiwa kuzingatia maadili ya kazi, kutunza nyaraka na mali za serikali pamoja na kuwajibika ipasavyo ili kulinda ajira zao. Na Mrisho Sadick: Mtumishi wa serikali katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe anayedaiwa kuweka rehani nyaraka za serikali…

6 May 2026, 10:12

Mawazo ya wanajamii ni muhimu katika kufikia maendeleo

“Ikiwa mnahitaji kupata maendeleo nilazima viongozi mkubali kuwashirikisha wananchi kutoka kwenye makundi yote ndani ya jamii bila ya ubaguzi. Na Vuai juma. Viongozi  wa Wilaya Kaskazini “B” Unguja wametakiwa kuwajibika katika majukumu yao sambamba na kuwashirikisha wananchi wakati wa kufanya…

1 May 2026, 9:50 am

Madiwani msiwe chanzo cha migogoro Rungwe

RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Madiwani wilayani Rungwe wameombwa kupitia taarifa ya mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali ili kuweza kurekebisha makosa na changamoto zilizo  bainishwa kwenye taarifa hiyo kwa lengo ya kuendelea kupata hati safi. Kauli hiyo imetolewa na…