Mpanda FM

MAENDELEO

9 February 2024, 2:16 pm

TAKUKURU Katavi yajipanga uchaguzi serikali za mitaa

Tumejipanga kutoa elimu na kuzuia rushwa  kwa Wananchi na wagombea Ili kuhakikisha uchaguzi wa serikali za mitaa  unakuwa huru na haki kwa mwaka huu na Uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.Picha na mtandao Na Samweli Mbhugi-Katavi Taasisi ya kuzuia na kupambana…

30 March 2022, 4:59 pm

Uvamizi Misitu: Kilio kwa Sokwe Mtu

Uvamizi wa maeneo ya hifadhi za misitu mkoani Katavi imetajwa kuwa chanzo cha mnyama  sokwe mtu kuendelea kupungua. Josephine Lupia na afisa misitu kutoka ofisi ya mkuu wa mkoa amesema kuwa tabia ya baadhi ya wananchi kufanya shughuli za kibinadamu…

20 November 2021, 1:13 pm

Mabalozi Wapewa Darasa na Ewura

Mwenyekiti wa baraza la ushauri watumiaji wa huduma za nishati na maji katika mkoa wa Katavi EWURA CCC Steven Kinyoto amewataka wenyeviti wa mitaa katika manispaa ya Mpanda kuwa mabalozi kwa kuelimisha jamii katika kupata haki zao kwa watumiaji wa…

20 November 2021, 1:06 pm

Maoni ya Wananchi juu ya Katazo kwa Madalali

Baadhi ya wananchi manispaa ya mpanda  mkoani katavi wamekuwa na maoni tofauti juu ya katazo la madalali wa nyumba  kupewa kodi ya mwezi mmoja. wakizungumza na mpanda  radio fm wananchi hao wameleza kufurahishwa kwa marufuku hiyo huku wengine wakionesha kutoridhishwa…

20 November 2021, 12:30 pm

Mkuu wa Wilaya: Wakurugenzi Simamieni Miradi

Mkuu wa wilaya ya  mpanda Jamila Yusuph amewaagiza wakurugenzi wa manispaa ya  mpanda na halmashauri ya nsimbo  kusimamia miradi ya maendeleo ili inapokamilika iwe na ubora unaoendana na thamani ya pesa iliyotolewa. Akizungumza katika kikao cha kamati ya ushauri ya…

20 November 2021, 12:25 pm

Hifadhi ya Katavi na Utajiri wa Viboko

Hifadhi ya taifa mkoani katavi inatajwa kuwa moja ya hifadhi inayoongoza kuwa na  viboko wengi afrika huku idadi ya viboko hao  ikikadiriwa kuwa ni zaid ya milioni mbili . Hayo yamebainishwa na muongoza watalii katika hifadhi hiyo God listern Isaya…

20 November 2021, 10:32 am

TRA Mpanda Yakusanya Mil. 371 kwa Mwezi

Mamlaka ya mapato wilaya ya  mpanda Mkoani katavi  imefanikiwa kukusanya shilingi milioni mia tatu sabini na moja kwa kipindi cha mwezi augusti sawa na asilimia themanini na tisa ya lengo lililopangwa. Kauli hiyo imetolewa na afisa kodi daraja la kwanza…

19 November 2021, 12:41 pm

MUWASA Yawafutia Madeni Wateja 602

Jumla ya wateja 602 wa huduma ya maji wafutiwa madeni yao na mamlaka ya maji safi na mazingira Manispaa ya Mpanda Muwasa baada ya bodi kujilidhisha kuwepo kwa changamoto ya madeni hayo Akizungumza na Mpanda Redio FM afisa biashara wa…

19 November 2021, 10:29 am

Bilioni Nne Kunufaisha Halmashauri ya Nsimbo

Halmashauri ya  Nsimbo Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi imepata zaidi ya shiling bilioni nne kwa ajili  ya ujenzi wa miradi ya maendeleo ikiwemo vyumba vya madarasa. Akizungumza na kituo hiki mkurugenzi wa halmashauri hiyo Mohamed Ramadhani amesema kuwa  kupatikana fedha…