MAENDELEO
15 May 2024, 11:59 pm
Mpanda Madiwani WaivaaTanesco Umeme Kukata Mara kwa Mara
“Kukatika kwa umeme baadhi ya maeneo imekuwa inajirudia na kumekuwa hakuna taarifa kutoka mamlaka husika jambo ambalo limekuwa likipeekea changamoto ya kusimama kwa baadhi ya kazi za watu zinazotegemea nishati ya umeme” Picha na Lilian Vicent Na Lilian Vicent-Katavi Wananchi…
15 May 2024, 11:12 pm
Rc Katavi, Wazazi Zungumzeni na Watoto Kulinda Maadili
Mkuu wa mkoa wa katavi Mhe. Mwanamvua Mrindoko alipokuwa akitoa hotuba kwa Wananchi katika viwanja vya kituo cha Afya Nsemulwa katika siku ya familia duniani. Picha na Gladness Richard Kauli mbiu ya maadhimisho hayo kwa mwaka huu ni ‘Tukubali tofauti…
15 May 2024, 11:04 am
Mabomu ya jeshi la polisi yawa kero kwa wananchi mkoani Katavi
Picha na Gladness Richard “zoezi la kusikiliza kero za wananchi ni kwa kila kata ambapo jeshi la polisi litahakikisha linawafikia wananchi wote katika kata hizo“ Na Samwel Mbugi -Katavi Kamanda wa Polisi mkoa wa Katavi Kaster Ngonyani ameanzisha ziara ya…
15 May 2024, 10:07 am
Waumini wilayani Tanganyika watakiwa kumjua Mungu ili kutokomeza vitendo vya uk…
Waumini wa makanisa mbalimbali wiliojetokeza katika kongamano.picha na Samwel Mbugi “Wanapaswa kusoma vitabu vya neno la Mungu ili kumjua Mungu na kuepukana na vitendo vya ukatili kutokana na kuwa na hofu ya Mungu“ Na Samwel Mbugi -Katavi Waumini wa makanisa…
15 May 2024, 9:36 am
Katavi: Kodi ya pango la ardhi ni iliyopimwa na kumilikishwa
“Silaa amesema Kitendo cha kutolipa Kodi ya Pango la Ardhi ndani ya muda uliowekwa na sheria, kinasababisha mmiliki wa ardhi kuvunja moja ya sharti la umiliki” Picha na mtandao Na John Benjamin-katavi Baadhi ya wananchi mkoani hapa Katavi wametoa maoni…
1 May 2024, 11:25 pm
Waendesha bodaboda mkoani Katavi wapaza sauti zao kuhitaji uchaguzi
picha na mtandao “Tunasababishiwa ajali ,tunagongwa na Magari bodaboda tunapigwa ,tunanyanyasika “ Na Lilian Vicent -Katavi Waendesha bodaboda mkoani Katavi Wametaka kufanyika kwa uchaguzi wasafu ya uongozi wa boda boda mkoani hapa kutokana na uongozi uliopo madarakani kushindwa kuwatatulia matatizo…
21 April 2024, 2:09 pm
Mbunge Nsimbo akabidhi msaada kwa waathirika wa mafuriko
“Wananchi wanatakiwa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya mvua ambazo tayari zimeonyesha kuwa na athari ya mafuriko katika jamii” Na Ben Gadau -Katavi Mbunge wa Jimbo la Nsimbo Anna Lupembe amekabidhi msaada kwa wahanga wa mafuriko katika vijiji vya kaburonge A…
19 April 2024, 11:41 pm
Rais wa chemba ya wafanyabiashara nchini azitaka taasisi binafsi kuungana
Rais wa chemba ya wafanyabiashara Tanzania [TCCIA] Vicent Bruno Minja akizungumza na wafanyabiashara mkoani Katavi.Picha na Veronika Mabwile “changamoto zinashindwa kutatuliwa kutokana na wafanyabiashara wenyewe kutokuwa na umoja“ Na Veronika Mabwile -Katavi Rais wa chemba ya wafanyabiashara Tanzania [TCCIA] Vicent…
12 April 2024, 8:21 pm
RC Katavi: Serikali inatambua umuhimu wa Vvongozi wa dini
Picha na Mtandao “Amewapongeza viongozi wa Baraza la BAKWATA kwa kuonyesha Ushirikiano katika juhudi zinazofanywa na Serikali na kuainisha kuwa Serikali inatambua Mchango wa Dini katika kufanya Shughuli za Maendeleo “ Na Samwel Mbugi-Katavi Viongozi wa Baraza kuu la Waislamu…
10 April 2024, 11:24 pm
Bilioni 16 zatengwa ujenzi umeme gridi ya taifa Tabora-Katavi
Picha na Mtandao “Wakandarasi wanaohusika na ujenzi huo kutokana na kasi ya ujenzi na kuwataka kuuongeza ufanisi wa ujenzi ili kuweza kuukamilisha kwa wakati” Na Betold Chove-Katavi Kiasi cha Bilioni 16 zimetengwa na serikali kwa ajili ya kugharamia mradi wa…