Mpanda FM
Mpanda FM
30 June 2026, 19:31
Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) imeendelea kuwa nguzo muhimu ya maendeleo ya uchumi na kuwataka kuongeza uwekezaji katika huduma za kidijitali ili kuboresha huduma kwa wananchi. Akizungumza katika maadhimisho ya miaka…
25 June 2026, 14:00
Ugonjwa wa kifua kikuu bado ni moja ya changamoto za kiafya zinazokabili jamii nyingi nchini Tanzania pamoja na juhudi zinazofanywa na Serikali pamoja na wadau wa afya katika kutoa elimu na huduma za matibabu, bado baadhi ya wananchi wanaendelea kushikilia…
20 June 2026, 15:06
Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) imekabidhi Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar gawio la zaidi ya shilingi bilioni 15.3, ikiwa ni ongezeko la asilimia 53 ikilinganishwa na mwaka uliopita. Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar, Juma Malik Akil, amepongeza mafanikio…
11 June 2026, 14:44
Wananchi wa Zanzibar wamepongeza juhudi za Serikali ya Awamu ya Nane kwa kusogeza huduma za afya za kibingwa katika hospitali za wilaya, hatua iliyopunguza gharama na usumbufu wa kusafiri nje ya visiwa kwa matibabu. Na Mary Julius. Serikali ya Awamu…
10 June 2026, 14:54
Katibu tawala Mkoa wa Kigoma Hassan Rugwa amewataka wananchi wa Mkoa wa Kigoma kutoa ushirikiano na kulinda miradi ya maendeleo ambao inaendelea kutekelezwa. Na Mwandishi wetu Ujenzi wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) Kampasi ya Kigoma,…
4 June 2026, 17:20
Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Zanzibar imejipanga kuwa kitovu cha uwekezaji Afrika Mashariki kutokana na mazingira bora ya biashara, sera thabiti na miundombinu ya kisasa. Akifungua Jukwaa la Uwekezaji Zanzibar 2026 lililowakutanisha zaidi ya washiriki 700, amesema…
4 June 2026, 12:37
Huduma za afya karibu na maeneo ya wananchi husaidia kupunguza gharama na muda wa kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya mbali za maeneo. Na Mwandishi wetu Wananchi wa Kata ya Sunuka na maeneo jirani wamepata ahueni baada ya kuzinduliwa…
3 June 2026, 2:27 pm
Makala hii inaelezea binti aliyekatisha masomo kutokana na kupata ujauzito akiwa na umri mdogo. Na Zaituni Juma na Nicholaus Mwaibale Binti Linaya (ambaye si jina lake halisi) mkazi wa Manispaa ya Tabora alipata ujauzito akiwa kidato cha nne na kukatisha…
2 June 2026, 19:20
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeahidi kuendelea kuimarisha sekta ya nishati kwa kutumia teknolojia za kisasa ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma ya umeme ya kuaminika na nafuu. Hatua hiyo imejidhihirisha kupitia ushirikiano kati ya Shirika la Umeme Zanzibar (ZECO) na…
2 June 2026, 13:25
Na Ivan Mapunda Na Marry Julias