Uyui FM

Ukosefu wa elimu ya afya ya uzazi kwa vijana chanzo cha mimba za utotoni

3 June 2026, 2:27 pm

Daktari wa Kituo cha Afya Mailitano Festor Mnyiriri akizungumza na UFR. Picha na Elison Sabuni

Makala hii inaelezea Binti aliyekatisha masomo kutokana na kupata ujauzito akiwa na umri mdogo.

Na Zaituni Juma akishirikiana na Nicholaus Mwaibale

Binti Linaya (ambaye si jina lake halisi) mkazi wa Manispaa ya Tabora alipata ujauzito akiwa kidato cha nne na kukatisha ndoto zake, sababu kubwa ilikuwa ni ukosefu wa elimu ya afya ya uzazi hali iliyosababisha kujiingiza kwenye makundi yasiyofaa.