Dodoma FM
Dodoma FM
18 January 2024, 9:23 am
Kata ya Handali ni wananchi 5 pekee ndio waliweza kukamilisha zoezi la upimaji udongo wa mashamba yao licha ya kipimo hicho kufanyika bure bila malipo katika ofisi za Wilaya ya Chamwino. Na Victor Chigwada. Imeeezwa kuwa wakulima wengi wamekosa elimu…
15 January 2024, 8:56 pm
Kesi hiyo kwa sasa ipo katika ofisi za ardhi za halmsahauri ya jiji la Dodoma ambapo Dodoma Tv Itaendelea kufatilia sakata hilo ili kujua hatma yake. Na Fred Cheti.Familia moja katika kijiji cha Vikonje Wilaya ya Dodoma Mjini Mkoani Dodoma…
5 January 2024, 7:26 am
Na Adelphina Kutika Wakulima wadogowadogo na wafugaji kutoka vijiji vinne vya mikoa ya Iringa na Morogoro wanaenda kunufaika na mipango wa matumizi bora ya ardhi na hatimiliki za kilmila (CCROs) baada la Shirika la Tanzania Grassroots Oriented Development (TAGRODE) la…
4 January 2024, 13:51
Wananchi kutoka katika kaya zaidi ya 300 katika kitongoji cha Kazaroho Kijiji cha Chakuru wilaya ya Uvinza hazina mahali pa kuishi baada ya serikali kuwaondoa katika maeneo waliyokuwa wakiishi tangu mwaka 2021 ambayo ni sehemu ya ya ranchi ya Uvinza.…
30 December 2023, 08:52
Na Hobokela Lwinga Mgogoro wa ardhi uliodumu kwa zaidi ya miaka 15 kati ya kanisa la Gofan, Jiji la Mbeya na kata ya Isanga, umechukua sura mpya baadaya Afisa mipango miji wa Jiji la Mbeya kukosa majibu ya namna walivyotwaa…
13 December 2023, 8:17 pm
Hivi karibuni Waziri wenye dhamana ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi Mh.Jerry Silla alielekeza watendaji wa sekta ya ardhi nchini kuhakikisha ndani ya siku mia moja kuanzia Sept 4-2023 wanatatua migogoro ya ardhi kwa kadri ya uwezo wa nafasi…
10 December 2023, 6:20 pm
Wananchi wa kijiji cha mkombozi wataka kubomoa nyumba ya mwananchi mmoja anayedaiwa kuvamia eneo la kijiji. Na Elizabeth Mafie Diwani wa kata ya Masama Kusini Cedrick Pangani amewataka wananchi wa kijiji cha Mkombozi Wilayani Hai mkoani Kilimanjaro kusitisha zoezi la…
28 November 2023, 19:49
Na Mwandishi wetu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amemuagiza Katibu Mkuu Wizara yake Eng. Anthony Sanga kuwasimamisha kazi Wapima Ardhi Enock Katete na Cleoface Ngoye kwa tuhuma za kuidhinisha na kubadilisha ramani ya eneo linalomilikiwa…
28 November 2023, 6:00 pm
Mradi huu unatekelezwa katika kipindi cha miaka mitano (5) na una vipengele vinne (4) ambavyo ni Kuongeza Usalama wa Milki; Kuimarisha Mifumo ya Taarifa za Ardhi; Kujenga Miundombinu ya Ardhi na Usimamizi wa Mradi. Na Seleman Kodima. Wakurugenzi wa Halmashaurii…
21 November 2023, 5:59 pm
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko.Picha na Betrod Benjamini Mrindoko amemwagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Tanganyika Shaban J. Juma kufika ofisini kwake akiwa na nyaraka zinazoonesha ramani ya eneo la Luhafwe na mikataba yote ya uwekezaji…