Dodoma FM

Mnadani

23 February 2023, 4:46 pm

Wananchi waelezwa utaratibu wa kupata Hati miliki za Ardhi

hati miliki zina faida nyingi kwa Serikali na wananchi ikiwemo kupata fursa za mikopo katika ofisi za kifedha. Na Benadetha Mwakilabi. Wananchi wameelezwa umuhimu na utaratibu wa kupata hati miliki za ardhi ili ziweze kuwasaidia katika fursa mbalimbali ikiwemo mikopo.…

23 January 2023, 10:25 am

Wizara ya Ardhi kutoa hatimiliki

Na; Seleman Kodima. Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi (LTIP) inatarajia kutoa Hati Milki za Ardhi milioni moja katika maeneo ya mijini pamoja na Hati Miliki za Kimila laki…

18 January 2023, 2:20 pm

Wananchi watakiwa kuacha ubinafsi

Na; Lucy Lister. Naibu waziri wa sanaa utamaduni na michezo na mbunge wa jimbo la Babati mjini Mh. Pauline Gekul amewataka watanzania kuacha ubinafsi na kuwa na moyo wa kusaidia wengine kama alivyofanya baba wa Taifa mwalimu Julius Kambarage Nyerere…

18 January 2023, 2:03 pm

Wananchi waomba elimu Umiliki ardhi

Na; Mariam Matundu. Wananchi jijini Dodoma wamesema kuwa elimu ya umiliki wa ardhi inatakiwa kutolewa kwa jamii ili kupunguza migogoro ya ardhi inayojitokeza maeneo mbalimbali. wakizungumza na Taswira ya habari wamesema baadhi ya wananchi hawajui ni kwanamna gani wanaweza kuwa…