Mnadani
24 February 2023, 3:05 pm
Wizara ya ardhi yaanza majarabio usalama wa milki za ardhi
Mradi wa uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi una lengo la kwenda kuongeza idadi ya miamala itokanayo na nyaraka za umiliki. Na Selemani Kodima Wizara ya ardhi kupitia ofisi ya Ardhi mkoa wa Dodoma imeanza majaribio ya mradi wa Uboreshaji…
23 February 2023, 4:46 pm
Wananchi waelezwa utaratibu wa kupata Hati miliki za Ardhi
hati miliki zina faida nyingi kwa Serikali na wananchi ikiwemo kupata fursa za mikopo katika ofisi za kifedha. Na Benadetha Mwakilabi. Wananchi wameelezwa umuhimu na utaratibu wa kupata hati miliki za ardhi ili ziweze kuwasaidia katika fursa mbalimbali ikiwemo mikopo.…
23 January 2023, 10:25 am
Wizara ya Ardhi kutoa hatimiliki
Na; Seleman Kodima. Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi (LTIP) inatarajia kutoa Hati Milki za Ardhi milioni moja katika maeneo ya mijini pamoja na Hati Miliki za Kimila laki…
18 January 2023, 2:20 pm
Wananchi watakiwa kuacha ubinafsi
Na; Lucy Lister. Naibu waziri wa sanaa utamaduni na michezo na mbunge wa jimbo la Babati mjini Mh. Pauline Gekul amewataka watanzania kuacha ubinafsi na kuwa na moyo wa kusaidia wengine kama alivyofanya baba wa Taifa mwalimu Julius Kambarage Nyerere…
18 January 2023, 2:03 pm
Wananchi waomba elimu Umiliki ardhi
Na; Mariam Matundu. Wananchi jijini Dodoma wamesema kuwa elimu ya umiliki wa ardhi inatakiwa kutolewa kwa jamii ili kupunguza migogoro ya ardhi inayojitokeza maeneo mbalimbali. wakizungumza na Taswira ya habari wamesema baadhi ya wananchi hawajui ni kwanamna gani wanaweza kuwa…
21 October 2022, 10:18 am
Wakazi jijini Dododma wafurahishwa na msamaha wa riba ya kodi ya Pango
Na; Mariam Matundu. Kufuatia Rais Samia Suluhu Hassan kutoa msamaha wa riba ya kodi ya pango la ardhi uliotolewa kuanzia mwezi julai hadi Desemba mwaka huu ,wananchi jijini Dodoma wameoneshwa kufurahishwa na hatua hiyo. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi…
10 August 2022, 2:33 pm
Urasimishaji ardhi ni changamoto kwa wananchi wasio kuwa na elimu juu ya zoezi h…
Na; Victor Chigwada. Pamoja na faida za urasimishaji na upimaji wa ardhi nchini lakini zoezi hili limekuwa na changamoto kadhaa wa kadha kwa baadhi ya maeneo kutokana na uelewa mdogo wa wananchi Taswira ya habari imezungumza na Jane samsoni ambaye…
26 May 2022, 11:43 am
Wakazi wa Chididimo waiomba halmashauri kuwashirikisha katika suala la ununuzi…
Na;Mindi Joseph. Wananchi wa Mtaa Chididimo Kata Zuzu wameiomba halmashauri ya jiji la Dodoma kuwashirikisha kikamilifu katika suala la kutaka kununua mashamaba yao kwa ajili ya kufanya kilimo cha kisasa cha zao la zabibu. Wameyasema hayo wakati wakizungumza mbele ya…
26 April 2021, 7:03 am
Uongozi wa kata ya Mnadani waahidi kutatua kero ya barabara
Na; Alfred Bulahya Wananchi wa kata ya Mnadani jijini Dodoma wametakiwa kutoa ushirikiano pamoja na kuwa wavumilivu, wakati uongozi wa kata hiyo ukifanya jitihada za kutatua kero ya ubovu wa miuno mbinu ya barabara za mtaa ili kusaidia kufanikisha zoezi…