Mnadani
21 July 2023, 4:11 pm
Viongozi wa kijiji Zejele watakiwa kuacha kujihusisha na uuzaji wa maeneo
Mhe Nolo amesema kuwa serikali ya kijiji isijiingize kwenye udalali wa kuuza ardhi kwani itakuwa ni chanzo cha mgogoro kwa wananchi . Na Seleman Kodima. Viongozi wa serikali ya kijiji cha Zejele kata ya Nondwa wametakiwa kuacha kujihusisha na uuzaji…
19 July 2023, 11:10 am
Jamii yatakiwa kushirikiana na wataalam kuandaa mipango ya matumizi bora ya ardh…
Itakumbukwa kuwa mpango wa matumizi bora ya ardhi kwa vijiji unaotekelezwa na mradi Uboreshaji wa Milki Salama za Ardhi, ni wa miaka ishirini (20) ijayo kuanzia mwaka huu 2023 mpaka 2043 ukiwa na lengo kuu la kusimamia matumizi ya ardhi…
14 July 2023, 7:33 pm
Wadau na wananchi watakiwa kushiriki katika utekelezaji mpango wa Ardhi
Mradi huu wa Uboreshaji usalama wa milki za ardhi unagharamiwa na Serikali kuu kwa kushirikiana na Benki ya Dunia na katika Halmashauri ya Wilaya ya chamwino Mradi huo utatekelezwa katika vijiji 60 vilivyopo wilayani humo Na Seleman Kodima. Mkuu wa…
7 July 2023, 1:03 pm
Halmashauri yaeleza mikakati yake ya kutatua migogoro ya ardhi
Itaundwa timu ya wataalam wa ardhi wa jiji la Dodoma kwa kushirikiana na baadhi ya wananchi hao ambayo itakaa ndani ya siku 7 na kupitia maeneo mbalimbali ya mgogoro. Na Fred Cheti. Halmashauri ya jiji la Dodoma imesema moja ya…
3 July 2023, 2:15 pm
Halmashauri ya jiji Dodoma kugawa viwanja 1,035 kama fidia
Mwaka wa fedha ujao 2023/2024 halmashauri inatarajia kupima takribani viwanja 6,000. Na Fred Cheti. Halmashauri ya jiji la Dodoma inatarajia kugawa jumla ya viwanja 1,035 kwa kufidia na kuwapunguzia wananchi wanaodai viwanja takribani viwanja 3,995 eneo la Nala. Hayo yameelezwa…
30 June 2023, 4:34 pm
Wizara ya Ardhi yajadili namna ya kumaliza migogoro ya ardhi Dodoma
Juni 30 Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula atakutana na wananchi jijini Dodoma Kusikiliza changamoto za upatikanaji wa hatimiliki ya ardhi. Na Mindi Joseph. Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula…
8 May 2023, 4:27 pm
Diwani Nzuguni atakiwa kushughulikia changamoto yamigogoro ya viwanja
Mradi wa Visima vya Maji Nzuguni utaandika historia kwa wananchi kutokana na eneo hilo Tangu uhuru halijawahi kuwa na chanzo cha maji safi na salama. Na Mindi Joseph. Diwani wa kata ya Nzuguni Aloyce Luhega ameomba kushughulikiwa changamoto ya Migogoro…
21 March 2023, 4:50 pm
Hatimaye mgogoro wa ardhi Kingale watatuliwa
Baada ya mgogoro wa ardhi wa muda mrefu kutatuliwa hatimaye zoezi la upimaji limeanza rasmi katika eneo hilo. Na Nizar Mafita. Siku chache baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kutatua mgogoro wa ardhi…
20 March 2023, 4:17 pm
Uongozi wa Shule za Ephiphany wamtaka mwekezaji kufuata sheria ili kuepu…
Mwekezaji huyo anaedaiwa kuingilia mpaka wa eneo la shule hiyo anadai kuuziwa eneo hilo na halamshauri husika. Na Fredi Cheti. Uongozi wa shule za Ephiphany zilizopo kata ya Mwegamile Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma umejikuta ukiingia katika mgogoro wa kugombania mpaka…
8 March 2023, 12:52 pm
Wananchi waingia taharuki kufuatia maeneo wanayomiliki kutaka kuuzwa
Wananchi wamejikuta wakiingiwa na taharuki kufuatia maeneo wanayoyamiliki yakiwemo mashamba kukutwa yakipimwa na kutaka kuuzwa bila kuwepo kwa taarifa yoyote. Na Fred Cheti. Wananchi wa Mitaa wa Chihikwi, Nala, pamoja na Ndachi jijini Dodoma wamejikuta wakiingiwa na taharuki kufuatia maeneo…