Wazee
13 June 2026, 13:16
Timu ya kutathmini mikopo yakagua miradi ya vikundi Uvinza
Wakati vikundi mbalimbali vilivyokidhi vigezo na kupokea mikopo vikiwa vinaendelea utekelezaji wa miradi yao timu ya kutathimini mikopo imewatembelea ili kujionea shughuli wanazofanya Na Mwandishi wetu Timu ya tathmini ya vikundi ngazi ya Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza imetembelea vikundi…
10 June 2026, 14:04
Plan yaacha alama Kilombero
Shirika la Plan International limehitimisha shughuli zake za ufadhili wa watoto katika Wilaya ya Kilombero baada ya zaidi ya miaka 30, likiacha mafanikio makubwa katika elimu, afya, ustawi wa watoto na uwezeshaji wa jamii. Na: Isidory Mtunda Baada ya zaidi…
9 June 2026, 11:22
Vikundi 30 vyanufaika na mikopo ya milioni 300 Kigoma
Mikopo hiyo inayotolewa na Benki ya CRDB ambayo inatokana na mapato ya ndani ya Halmashauri ni moja ya njia muhimu za kuwawezesha wananchi wenye kipato cha kujikwamua kiuchumi na mikopo hii imeanzishwa kwa lengo la kuwapa wanufaika mtaji wa kuanzisha…
2 June 2026, 11:23
Ngajilo awawezesha wajasiriamali 400 Iringa
Ufunguzi wa mafunzo pichani Mafunzo hayo, ambayo ni msimu wa pili kufanyika, yamelenga kuwapa wajasiriamali wadogo na wa kati maarifa ya kisasa kuhusu usimamizi wa biashara, upatikanaji wa mitaji, masoko na fursa mbalimbali za kiuchumi ili kuongeza tija na mchango…
20 May 2026, 15:00
Viongozi wa kamati za mikopo ya 10% wafanya tathmini Uvinza
Kikao cha kamati za mikopo ya asilimia 10 husaidia kuhakikisha uwazi na usahihi katika utoaji wa mikopo kwani viongozi hupitia taarifa mbalimbali za vikundi na waombaji wa mikopo ili kuhakikisha fedha zinawafikia walengwa sahihi wenye sifa zinazotakiwa. Na Mwandishi wetu…
15 May 2026, 15:27
Mil. 214 zawanufaisha walemavu, wanawake, vijana Kasulu
Mikopo ni mojawapo ya njia muhimu zinazosaidia maendeleo ya kiuchumi na kijamii katika jamii kwa makundi tofauti ya watu ili kuwawezesha kujiletea maendeleo na miongoni mwa makundi yanayonufaika sana na mikopo ni wanawake, vijana na watu wenye ulemavu. Na Hagai…
6 May 2026, 12:41
DAS Kasulu ataka wanufaika mikopo ya 10% kuirejesha kwa wakati
Kamati ya Uhakiki wa mikopo ya asilimia 10 katika Wilaya ya Kasulu imefanya zoezi la kuhakiki vikundi mbalimbali vilivyowasilisha maombi ya mikopo kupitia Halmashauri ya Wilaya hiyo, kwa ajili ya kutolewa katika kipindi cha robo ya tatu ya mwaka wa…
4 May 2026, 17:26
Uroa gizani kwa wizi wa transfoma, serikali yachukua hatua
Meneja wa ZECO, Haji Haji, amewataka wananchi kuacha mara moja kuharibu miundombinu ya umeme visiwani Zanzibar akibainisha kuwa vitendo hivyo vinaleta hasara kubwa kwa serikali. Na Mary Julius. Meneja wa Shirika la Umeme Zanzibar ZECO Haji Haji amewataka wananchi kuacha…
April 30, 2026, 6:11 pm
Sekta binafsi Geita wafungua fursa za ajira
Serikali inathamini nafasi ya sekta binafsi ambayo ni asilimia 70 kwenye pato la taifa na kwamba itaendelea kutekeleza malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ili kupiga hatua zaidi. Na Clement Shawishi- GEITA. Serikali imesema kuwa uwekezaji unaofanywa na…
29 April 2026, 12:11
Vikundi 13 vya wenye ulemavu vyapatiwa mikopo Kakonko
Vikundi 13 vya walemavu vimepatiwa mkopo kati ya vikundi 23 ambavyo vimepatiwa mkopo wa halmashauri ya wilaya ya Kakonko katika robo ya pili ya mwaka wa fedha wa 2025/2026 Mkopo huo umetolewa ikiwa ni mkakati wa serikali wa kuviwezesha vikundi…