Radio Tadio

Wazee

11 September 2023, 21:58

Wazee wanolewa kuhusu matumizi bora ya fedha

Wazee wa kikundi cha wazee Bikolweengozi kata ya Bugandika wilayani Missenyi wameanzisha chama cha kuweka akiba ya fedha na kukopa kwa lengo la kujiinua kiuchumi. Na: Jovinus Ezekiel Missenyi Mwenyekiti wa kikundi cha wazee Bikolweengozi cha kata ya Bugandika wilayani…

3 August 2023, 20:00

Wazee CCM Iringa walaani wanaobeza uwekezaji wa Bandari

Na Frank Leonard Wazee wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Iringa wametangaza kuishiwa na uvumilivu na kuamua kulaani vikali mwenendo wenye viashiria vya kisiasa unaotishia kuigawa nchi kupitia matamko na maoni mbalimbali yanayotolewa kuhusu suala la uwekezaji wa bandari.…

26 July 2023, 10:37 pm

Wajitolea kuwasaidia wazee wasiojiweza

Kusaidia ni moyo na si utajiri kama msemo wa wahenga, hivyo unaweza kusaidia pale penye uhitaji kama ambavyo amesisitiza mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Magogo B. Na Kale Chongela- Geita Jamii imekumbushwa kujenga desturi ya kuwatembelea wazee na kuwasaidia…

26 September 2021, 11:15

40% ya vifo vya watoto hutokana na watoto kuzaliwa njiti

Imeelezwa  kuwa  asilimia  Arobaini  ya  vifo  vya  Watoto  nchini  vinatokana   na  watoto  kuzaliwa  kabla   ya  siku  zao   (Njiti). Hayo  yamesemwa  na  Mwenyekiti  wa  Kamati  ya  Kudumu   ya  Bunge  ya  Huduma  na  maendeleo  ya  Jamii  na  Mbunge  wa  Jimbo  la  Maswa …