Radio Tadio

Wazee

22 April 2026, 14:57

Mikopo umiza ilivyo mwiba kwa wananchi Kasulu

Kujiepusha na mikopo ya kausha damu kunasaidia kulinda uhuru wa kifedha, afya ya akili, na heshima ya mtu binafsi. Na Michael Mpunije Wenyeviti wa Serikali za mitaa katika Kata ya Nyansha halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kutoa elimu…

22 April 2026, 12:19

Jukwaa la uwezeshaji wanawake kiuchumi Uvinza lazinduliwa

Wanawake wa wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma wametakiwa kuchangamkia fursa zilizopo katika maeneo yao ikiwemo mikopo ya kuwawezesha kufanya shughuli mbalimbali za kiuchumi ili kuwasaidia kuepukana na uchumi tegemezi. Na Mwandishi wetu Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza imezindua rasmi jukwaa…

8 April 2026, 09:40

Mbunge Villa akabidhi meza 90 kwa wajasiriamali

Meza hizo zimekabidhiwa ikiwa ni hatua ya kuwafanya wajasiriamali wafanye kazi zao katika mazingira rafiki. Na Fredrick Siwale Mbunge wa Jimbo la Mafinga Mjini Mh. Dickson Lutevele Villa ametimiza ahadi yake kwa kukabidhi meza 90 kwa wajasiriamali wa Soko la…

3 April 2026, 10:28

DC Kigoma ataka vikundi kurejesha mikopo kwa wakati

Benki ya CRDB Kigoma imetoa elimu ya fedha kwa vikundi mbalimbali vilivyopo katika Manispaa ya Kigoma Ujiji lengo likiwa ni kuviwezesha vikundi hivyo kufahamu namna ya kutumia mikopo wanayopewa ili iweze kuwanufaisha zaidi. Na Tryphone Odace Mkuu wa Wilaya Kigoma…

25 March 2026, 16:32

Changamoto ya umeme Zanzibar kubaki historia

Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar, Dk Juma Malik Akil, amesema Zanzibar itapata umeme wa uhakika ndani ya miezi michache ijayo kutokana na miradi mipya ya nishati. Amesema serikali inawekeza katika umeme wa jua na upepo ili kuongeza uzalishaji hadi…

3 March 2026, 11:14

Wananchi waaswa kujiepusha na mikopo umiza

Katika miaka ya karibuni, kumekuwa na ongezeko la taasisi na programu za simu zinazotoa mikopo ya haraka inayojulikana kama mikopo kausha damu na mikopo hii huvutia watu wengi kwa sababu ya urahisi wa kuipata bila dhamana kubwa au taratibu ndefu…

19 February 2026, 18:35

Uongozi wa Mguso wawafungua MTAKUWWA Mkata

“Mafunzo haya yameniwezesha kukumbuka majukumu yangu katika kamati hii ya MTAKUWWA hivyo nilichokipokea ni kujitathimini na pia kuwa na mshikamano kwa ajili ya kwenda kupinga ukatili katika maeneo yetu” Wajumbe wa MTAKUWWA Mkata Na Cosmas Clement Wajumbe wa kamati ya…

9 January 2026, 11:53

Mikopo ya 10% ilivyoinua maisha ya wananchi Kigoma

Mikopo ni nyenzo muhimu ya kuwawezesha vijana, wanawake na watu wenye ulemavu katika kujenga maisha bora na kuchangia maendeleo endelevu. Na Orida Sayon Baadhi ya wananchi katika Manispaa ya Kigoma Ujiji hasa vijana wameomba kuendelea kupewa elimu ya mikopo ya…

4 January 2026, 12:45

Ni lini MV Kilambo itarejea?

Wananchi wa Kilambo na maeneo ya mpakani na Msumbiji wanaiomba Serikali kurejesha kivuko cha MV Kilambo kilichosimama kufanya kazi, Serikali imesema matengenezo yanaendelea Na Musa Mtepa Wananchi na watumiaji wa kivuko cha Kilambo kinachounganisha Tanzania na nchi jirani ya Msumbiji…