Wazee
23 Oktoba 2025, 4:21 um
Ole Lekisongo: Kabila la kimasai ni jeshi la jamii
Na Evanda Barnaba Laigwanani Mkuu wa Jamii ya Wamasai, Ndugu Isack Ole Lekisongo, ameongoza uzinduzi rasmi wa shughuli za jando kwa rika jipya la Irmegoliki, ikiashiria mwanzo wa msimu wa 2025-2032 wa sherehe za mila. Sherehe hizo za kihistoria zilifanyika…
25 Septemba 2025, 15:46
Zaidi ya milioni 555 zatolewa kwa vikundi 58 Kigoma
Serikali imesema itaendelea kuweka mikakakti ya kuwawezesha wanafaika wa mikopo ya asilimia kumi ili waweze kujiinua kiuchumi Na Sadick Kibwana Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Dkt Rashid Chuachua, ametoa wito kwa wananchi zaidi ya 500 ambao ni wanufaika wa mikopo…
25 Agosti 2025, 1:01 um
Watoto watatu wafariki kwa kukosa hewa Busega
“Walezi/Wazazi tunalo jukumu kubwa la kuwalinda watoto wetu wakati wote bila kujali mazingira waliyopo ili kuwakinga na vitu vinyoweza kuzuilika maana watoto ni tunu ya taifa lijalo”. Na,Anitha Balingilaki Watoto watatu wa kutoka kwenye familia tatu wawili wakiwa wa kitongoji…
8 Agosti 2025, 12:26 um
DC Lulandala awataka vijana kuchangamkia fursa ya mikopo inayotolewa na serikali
Mkuu wa wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara Faki Lulandala, amewataka wakulima, wavuvi na wafugaji kutumia fursa ya mikopo inayotolewa na halmashauri kukuza mitaji Yao na kujiinua kiuchumi. Na Mzidalfa Zaid Lulandala ametoa wito huo mkoani Arusha ,alipokuwa mgeni rasmi wa…
14 Julai 2025, 22:16
Wananchi waililia serikali urejeshwaji wa Mv Kilambo
Wananchi wa Kilambo, Mtwara, wameiomba serikali kurejesha feri ya MV Kilambo ili kuondoa adha ya usafiri, gharama kubwa na hatari ya kutumia viboti vidogo kuvuka mpaka kuelekea Msumbiji Na Musa Mtepa Baadhi ya wananchi na watumiaji wa kivuko cha Kilambo…
10 Julai 2025, 11:50
Simbeye: Wenye ulemavu changamkieni fursa za mikopo
Serikali imeahidi kuendelea kutoa mikopo kwa makundi ya watu wenye ulemavu, vijana na wanawake wilayani Kasulu mkoani Kigoma. Na Hagai Ruyagila Watu wenye ulemavu katika Halmashauri ya Mji wa Kasulu Mkoani Kigoma, wametakiwa kuchangamkia fursa ya mikopo ya asilimia kumi…
30 Juni 2025, 5:42 um
Majirani wakerwa na choo cha muuza pombe
Choo kinachowakera ya wananchi. Picha na Anna Mhina “Hapa sisi tunapata shida na harufu ya kinyesi” Na Anna Mhina Baadhi ya wananchi wa kata ya Mpanda hotel manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamelalamikia kero wanayoipata ya harufu mbaya ya choo…
23 Juni 2025, 13:20
Vijana, wanawake, ulemavu wapewa mil. 800 Kasulu
Halamshauri ya Wilaya ya Kasulu imekabidhi hundi ya zaidi ya shilingi milioni 800 kwa vijana, wanawake na watu wenye ulemavu katika robo ya tatu na nne ya January hadi june 2024/2025. Akiwakabidhi hundi hiyo mgeni rasmi wa hafla hiyo, Mbunge…
10 Machi 2025, 18:46
Zaidi ya tani 9,000 za salfa zawasili bandari ya Mtwara
Hii ni meli ya kwanza kati ya meli nne zinazotarajia kubeba tani 40,000 za pembejeo ya zao la korosho kwa msimu wa mwaka 2025/2026 ambapo kwa mujibu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho wakulima wanahitaji tani 40’000 ili kufanikisha uzalishaji…
18 Febuari 2025, 09:26
ATCL yarejesha safari za ndege Dar es Salaam, Mtwara
Meneja wa Uwanja wa Ndege wa Mtwara Jordan Mchami amesema kutokana na kuwepo kwa gharama ndogo za nauli kwenda na kurudi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam ambayo ni shilingi 199,000, kutapelekea kuongezeka kwa abiria watakaotumia usafiri huo. Na Musa…