Vijana
6 Disemba 2024, 8:22 mu
Vyoo, visima na nyumba vyazingirwa na maji Ibolelo, Geita
Ni moja ya eneo lililopo mtaa wa Ibolelo, kata ya Nyankumbu mjini Geita ambalo limeathirika na mvua, Je wananchi wanaishi vipi katika mazingira haya?. Na: Ester Mabula – Geita Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Geita zimeendelea…
1 Febuari 2024, 7:27 um
DSW lawajengea uwezo vijana kukabili ukatili wa kijinsia na kujitambua
“Mafunzo mliyopatiwa yakawe chachu kwa vijana wengine kujiingiza katika shughuli za uzalishaji mali ili kuondoa changamoto zitokanazo na ukosefu wa kipato” Na. Anthony Masai. Vijana zaidi ya 50 ambao ni viongozi wa vikundi vya mabadiliko katika mikoa ya Arusha na…
19 Januari 2024, 12:54 um
Mtetezi wa mama Chato kusimama na Rais Samia uchaguzi serikali za mitaa
Baadhi ya vijana wilayani Chato wameonesha hisia zao kwa kuungana na Rais Dkt Samia kwa kile walichokieleza kuwa wana imani na serikali yake. Na Daniel Magwina: Kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu na uchaguzi Mkuu mwaka 2025 vijana…
8 Januari 2024, 14:20
Viongozi CCM watakiwa kuwekeza kwa watoto
Viongozi wa umoja wa UVCCM Kata ya Gungu Manispaa ya Kigoma Ujiji wameomba viongozi wa chama hicho Mkoa wa Kigoma pamoja na wananchi kuwekeza katika malezi ya watoto kwa kuwalea katika misingi ya uadilifu ili baadaye waweze kulitumikia taifa na…
Disemba 7, 2023, 12:49 um
Bodaboda Ndulamo wakabidhiwa viaksi mwanga
Katika kukabiliana na ajali za barabarani vijana bodaboda wametahadharishwa kuwa makini wanapokuwa barabarani wakati wa usiku wakijitafutia kipato kutokana na matukio mbalimbali yanayotokea ya kiuharifu na shafii Madereva pikipiki (bodaboda) Wilayani Makete Mkoani Njombe wameshauriwa kufuata sheria za barabarani kwa…
Novemba 28, 2023, 11:58 mu
Bodaboda Ndulamo wakusanya Milioni 16 kwa mwaka
baadhi ya viongozi wa serikali ya kijiji na jeshi la polisi kwenye mkutano na waendesha bodaboda.picha na mwandishi wetu licha ya jitihada za serikali kuendelea kutoa elimu kwa vijana kuanzisha vikundi pamoja na kupata mikopo vijana wa bodaboda ndulamo kupitia…
16 Novemba 2023, 17:03
Familia ya kijana aliyefariki Kakonko yaomba uchunguzi ufanyike
Familia ya Kijana Enock Elias aliyefariki katika mazingira ya kutatanisha yaomba uchunguzi dhidi ya waliohusika na mauaji hayo. Na Kadislaus Ezekiel Familia ya kijana Enock Elias Sabakwishi, mkazi wa kijiji cha Ilabiro kata ya Katanga wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma,…
25 Oktoba 2023, 1:25 um
Madereva bodaboda wanaoendekeza tamaa Bahi waonywa
Bodaboda wamekuwa na mazoea ya kukodiwa usiku wa manane na watu ambao hawawafahamu matokeo yake wanauawa na kuporwa pikipiki. Na. Bernad Magawa. Kamanda wa Polisi wilaya ya Bahi SSP Idd Ibrahim amekemea vikali madereva wa bodaboda wanaoendekeza tamaa ya fedha…
28 Septemba 2023, 6:26 mu
Makundi ya kihalifu na utelekezaji wa watoto
Utelekezaji wa watoto katika familia inatajwa kuwa ni miongoni mwa sababu zinazopelekea ukosefu wa elimu kwa vijana na kuongezeka kwa makundi ya kihalifu Katavi. Na Ben Gadau – MpandaUtelekezaji wa watoto katika familia inatajwa kuwa ni miongoni mwa sababu zinazopelekea…
26 Septemba 2023, 16:20
Vibaka watoto tishio Ndobo Kyela
Kumekuwa na tabia ya baadhi ya wanafunzi wilayani Kyela kujiingiza katika vitendo viovu na kupelekea kushindwa kuendelea na masomo kutokana na sababu mbalimbali na wengine kujiingiza katika wimbi la uhalifu. Na Samwel Mpogole.. Imeibuka tabia kwa baadhi ya vijana katika…