Radio Tadio

Vijana

5 May 2026, 7:14 pm

Wawekezaji watakiwa kuchangamkia fursa Manyara

Wawekezaji  mkoani Manyara wametakiwa kuchangamkia fursa ya kuwekeza biashara mbalimbali  ili kujiinua kiuchumi  baada  ya Geti la Mamire  kufunguliwa  kwa ajili ya  kupitisha  magari  ya watalii. Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga  ameyasema hayo leo wakati…

1 May 2026, 7:39 pm

MATI Super Brand yapongezwa kuongeza ajira kwa vijana

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga, ameipongeza Kampuni ya MATI Super Brand ya mjini Babati mkoani Manyara kwa kuwaajiri vijana wengi na kupunguza changamoto ya vijana kuwa tegemezi . Na Mzidalfa Zaid Sendiga amesema hayo leo katika maadhimisho ya…

26 February 2026, 3:47 pm

Wakazi walia miundombinu duni msimu wa mvua

Licha ya mvua kuleta neema kwa wakulima , hali imekuwa tofauti kwa wakazi wa Nyatorotoro B, kata ya Nyankumbu wilayani na mkoani Geita kwani wanalazimika kulala wakiwa wamesimama. Na: Ester Mabula Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini, Wakazi wa…

8 February 2026, 5:23 pm

Msalala yatoa bilioni moja kwa vikundi vya wajasiriamali

Mkuu wa wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga Frank Nkinda  amewaasa wanufaika wa mikopo ya asilimia 10 ya Halmashauri kuitumia vizuri kwa kuinua uchumi wao na zisiwe chanzo cha malumbano na ugomvi baina yao. Nkinda ameyasema hayo wakati akikabidhi hundi ya Shilingi…

23 December 2025, 11:48

SHIMKIATA yakuza mila, tamaduni za asili kwa jamii Kigoma

Asili na jadi ni msingi wa kukuza, kuhifadhi na kuendeleza utamaduni na mila kwa kuzithamini na kuzifundisha kwa vizazi vipya na kuhakikisha jamki inabaki na utambulisho imara huku ikikua na kubadilika katika njia chanya. Na Tryphone Odace Wito umetolewa kwa…

5 October 2025, 6:40 pm

Kuna umuhimu gani kwa mwanamke kushiriki mikutano ya kampeni?

Baadhi ya wachangiaji wa mada.Picha na Anna Mhina “Tunashindwa kuhudhuria kwasababu hawatekelezi ahadi zao” Na Anna Mhina na Roda Elias Baadhi ya wanawake wa mtaa wa Mpadeko uliopo kata ya Makanyio wilayani Mpanda mkoani Katavi wameiomba mamlaka husika kutoa elimu…

3 September 2025, 7:09 pm

Wafanyabiashara watakiwa kuwekeza Manyara

Wafanyabiashara mkoani Manyara wametakiwa kuwekeza katika mkoa huo kwa kujenga hotel za kisasa, migahawa na nyumba za kulala wageni kutokana na kasi ya ukuaji wa mkoa. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa na mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga…