Radio Tadio

Ulinzi

13 November 2023, 18:57

34 mbaroni kwa uharifu Mbeya

Na Hobokela Lwinga Jeshi la polisi mkoa wa Mbeya limewakamata watuhumiwa 34 kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo utoroshaji madini, uhamiaji haramu, uvunjaji na wasambazaji wa noti bandia. Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya Benjamin Kuzaga amesema wanaoshikiliwa kwa tuhuma za kutorosha…

9 November 2023, 3:34 pm

Watu 25 wakamatwa kwa tuhuma za ujangili Geita

Matukio ya ujangili yamekithiri kiasi cha Jeshi la Polisi mkoa wa Geita kuamua kuchukua hatua za makusudi kukabiliana na hilo. Na Kale Chongela- Geita Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limewakamata watu 25 kwa tuhuma za ujangili wa misitu ikiwemo…

26 October 2023, 18:28

Mzee miaka 80 ukutwa na Gobole bila kibali

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linaendelea na oparesheni, misako na doria zenye tija kuhakikisha usalama wa raia na mali zao. Na Hobokela Lwinga mzee wa miaka 80 mkazi wa Kijiji cha Madundasi Wilaya ya Mbarali Mkoa wa Mbeya aitwaye…

13 September 2023, 14:04

Watu sita mbaroni matukio ya uvunjaji, wizi Kigoma

Watu sita wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kigoma wakituhumiwa kufanya uhalifu na wizi katika maeneo mbalimbali mkoani wa Kigoma. Na, Kadislaus Ezekiel. Jeshi la Polisi mkoani Kigoma, limethibitisha kuwakama watu sita wakituhumiwa kujihusisha na matukio ya uvunjaji na wizi…

11 September 2023, 13:21

DC Kasulu awataka vijana wa JKT Mtabila kuwa wazalendo

Vijana waliohitimu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT Kambi ya Mtabila Wialayni Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuwa wazalendo. Na Hagai Ruyagila Mkuu wa wilaya ya Kasulu Kanal Isack Mwakisyu amewataka wahitimu wa mafunzo ya awali ya kijeshi kikosi namba…

6 September 2023, 12:39

Vijana waliohitimu mafunzo JKT Bulombora watakiwa kuwa wazalendo

Kikosi cha Jeshi la kujenga Taifa JKT Bulombora kimesema kitaendelea kuwafundisha ujuzi na uzalendo vijana wote ili waweze kulitumikia Taifa. Na, Tryphone Odace. Vijana waliohitimu mafunzo ya kijeshi oparesheni miaka 60 katika kambi ya Jeshi la kujenga Taifa JKT, kikosi…