Radio Tadio

Ulinzi

22 Aprili 2026, 08:35

DC Kasulu ataka madiwani kudhibiti wahamiaji haramu

Madiwani ni kiungo muhimu kati ya wananchi na serikali katika kudhibiti wahamiaji haramu, hasa kwa upande wa taarifa, uhamasishaji, na ushirikiano wa kijamii. Na Hagai Ruyagila Mkuu wa wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, Kanali Isaac Mwakisu amewataka Madiwani wa halmashauri…

26 Febuari 2026, 4:03 um

Kaya maskini zapata bima ya afya

“Msikubali kupitwa na fursa ya bima ya afya” Na Betord Chove Watu wapatao 23,236 kutoka kaya maskini  wanatarajia kunufaika na huduma ya bima ya afya kwa wote kupitia mfuko wa TASAF mkoani Katavi. Akitoa taarifa wakati wa hafla ya  uzinduzi…

29 Januari 2026, 14:18

Waziri Mkuu aonya kupandisha bei za vyakula

Dkt. Mwigulu amesema pia kuwa serikali kupitia Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) inaendelea kusambaza chakula katika maeneo yenye uhitaji ili kuhakikisha Watanzania wanapata chakula cha kutosha. Na Mariam Kasawa. Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewaagiza wafanyabiashara wa…

21 Januari 2026, 5:23 um

90% ya wanawake hujitokeza kwenye fursa za ujasiriamali

Mara nyingi kwenye mafunzo kama haya wanawake hufika asilimia 90 huku wanaume na vijana huwa ni asilimia 10. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa vijana na akina mama kuchangamkia fursa za kujifunza ujuzi utakaowasaidia kujikwamua kiuchumi. Haya yamesemwa na Sarah…

24 Julai 2025, 2:12 um

Moto wateketeza karakana ya useremala Geita

Majanga ya moto yameendelea kuwa mwimba mchungu kwa wajasiriamali Geita huku sababu za majanga hayo nyingi zikiwa hazijulikani. Na Mrisho Sadick: Moto ambao chanzo chake hakijajulikana umeteketeza karakana moja ya useremala katika Mtaa wa Nyerere Road Manispaa ya Geita Mkoani…

5 Febuari 2024, 5:04 um

Mwizi wa kuku aua, atokomea kusikojulikana

Wananchi wataka sungusungu kurudishwa ili kukabiliana na vitendo vya uharifu pamoja na wizi wa kuku unaoendelea kutokea kata ya Sungamile Wilayani Sengerema. Na:Emmanuel Twimanye Mwanamme mmoja mwenye umri wa miaka 40 ameuawa kwa kudaiwa kuchomwa na kisu na mtu anayedaiwa…

26 Januari 2024, 21:45

Mwalimu mbaroni kwa tuhuma za unyang’anyi Mbeya

Na mwandishi wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa watatu akiwemo Mwalimu wa Shule ya Msingi Mwaselela Azimio Gerald [31] Mkazi wa ZZK mji mdogo wa Mbalizi na wenzake wawili Furaha Issa [32] na Goodluck Mwakajisi [25] wote…

16 Januari 2024, 14:34

Serikali kuendelea kuimarisha ulinzi kwa kutoa vitendea kazi

Na Mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mhe.Benno Malisa ameahidi kuendelea kushirikiana na Jeshi la Polisi kwa kuhakikisha linapata vitendea kazi ikiwemo magari kwa ajili ya kufanya kazi kwa ufanisi. Ametoa kauli hiyo wakati akikabidhi magari mapya matatu kwa…