Siasa
13 Julai 2023, 12:00 um
Uchaguzi mdogo wa madiwani Tanzania bara kufanyika leo
Upigaji kura unafanyika katika vituo vilivyotumika wakati wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 na mpiga kura aliyepoteza kadi au kadi yake kuharibika ataruhusiwa kutumia kitambulisho mbadala iwapo tu atakuwa ameandikishwa kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura . Na Mindi…
13 Julai 2023, 11:49 mu
Baiskeli 58 zatolewa kwa vikundi vya wanawake UWT Tabora
Jumla ya baiskeli 58 zimetolewa na kugawiwa; baiskeli mbili kila kata kwa vikundi vya wanawake UWT pamoja na vijana mkoani Tabora ili kuwasaidia kujikwamua kiuchumi. Na Zaituni Juma Mbunge wa viti maalum mkoani Tabora Munde Tambwe amesema baiskeli hizo zilizotolewa…
7 Julai 2023, 7:33 um
ACT wazalendo walalamikia bendera zao kushushwa
Katibu wa ACT- Wazalendo amekuja juu na kutoa shutuma baada ya bendera kadhaa za chama chao kushushwa katika mitaa na barabara za mjini Geita, jambo lililopelekea Katibu wa chama hicho kuzungumzia hilo. Na Said Sindo- Geita Bendera za chama cha…
6 Julai 2023, 4:50 um
Uzinduzi kampeni za uchaguzi wa udiwani CCM Kilosa mgombea akabidhiwa ilani ya c…
Kutokana na kuachwa wazi katika kata mbalimbali Tanzania bara, Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC ilitangaza kufanyika kwa uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata 14 utakaofanyika Julai 13 mwaka huu na kampeni zilianza tangu Julai mosi hadi Julai 12 mwaka…
4 Julai 2023, 2:27 um
Wanawake mkoani Mara watakiwa kuzingatia muda kujiletea maendeleo
Na Adelinus Banenwa Mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM Taifa kupitia umoja wa wanawake UWT Bi Joyce Mang’o amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuwapeleka wanawake viongozi kupata mafunzo nchini China.
Juni 26, 2023, 7:20 mu
Viongozi vyama vya siasa, dini wafanya kikao kuelekea uchaguzi udiwani kata Kiny…
Viongozi wa Dini, Siasa na wazee maarufu wakiwa kwenye Kikao kuelekea uchaguzi mdogo wa Udiwani Kata ya Kinyika
Juni 23, 2023, 8:05 mu
Uchaguzi udiwani ndani ya CCM Kinyika wafanyika
Mwangalizi wa Uchaguzi ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) mwenye Koti Jeusi Ndg. Award Mpandila akishuhudia mchakato wa maoni ndani ya chama Kata ya Kinyika
21 Juni 2023, 3:16 um
Chongolo: Watoto wasimamiwe waende shule
Chongolo amesema wakati watoto wanapokuwa mashuleni sio wakati wa viongozi kukaa ofisini badala yake wajipange na kuratibu kuhakikisha watoto wote wanajiunga na masomo na si vinginevyo. Na Bernadetha Mwakilabi. Katibu mkuu wa Chama Chama Mapinduzi CCM Ndugu Daniel Chongolo amewataka…
30 Mei 2023, 11:05 um
UWT Kilosa yatoa msaada mashuka ya wagonjwa kituo cha afya Kidodi
Katika juhudi za kuunga mkono juhudi za serikali kuboresha huduma za afya nchini , Umoja wa Wanawake Tanzania UWT wilaya ya Kilosa wametembelea kituo cha Afya Kidodi kuwafariji wagonjwa pamoja na kutoa misaada ya kijamii kama vile sabuni na mashuka…
26 Mei 2023, 10:26 mu
CHADEMA na Katiba Mpya kabla ya uchaguzi
KATAVI Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kuwa kitaendelea kusimamia misingi ya chama hicho kwa kutetea haki, uhuru, na demokrasia kwa wanachama wa chama hicho na wananchi wa taifa kwa ujumla. Akiwahutubia wanachama wa chama hicho katika uzinduzi wa…