Radio Tadio

Sheria

28 September 2023, 7:17 am

Mpanda na kampeni dhidi ya wazazi wanaoshindwa kupeleka watoto shule

Mansipaa ya Mapanda yaanzisha kampeni ya kufuatilia wazazi na walezi wanashindwa kuwapeleka Watoto shule Na John Benjamin – MpandaHalmashauri ya mansipaa ya Mapanda mkoani Katavi imeanzisha kampeni ya kufuatilia na kuhakikisha inawachukulia hatua wazazi na walezi ambao wanashindwa kuwapeleka Watoto…

15 September 2023, 12:36

Kushika simu ya mpenzi wako ni kosa kisheria

Kupekua simu ya mwenza au mpenzi imetajwa kuwa sababu ya mahusiano mengi kuvunjika bila kujua kama ni kosa kwa mujibu wa sheria. Na John Selijo – Mufindi l FM Wanaondoa na wapenzi wameshauriwa kuacha kupekua na kukagua simu za wenza…

7 September 2023, 10:21 pm

Akamatwa akituhumiwa kunajisi kanisa, lafungwa siku 30

Tukio la kunajisiwa Kanisa ni la pili kutokea mkoani Geita ikiwa ni miezi sita imepita baada ya kijana mmoja mkazi wa Geita kudaiwa kuvamia Kanisa Kuu la Kiaskofu Jimbo la Geita na kufanya uharibifu uliosababisha hasara ya Sh. milioni 48.2.…

14 August 2023, 11:56 am

Kamera kufungwa Majinja, Kitonga kudhibiti ajali

Na Hafidh Ally Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama Barabarani Salim Abri Asas ameahidi kufunga kamera katika maeneo ya Majinja na Mlima Kitonga ili kuwabaini madereva ambao watashindwa kufuata sheria za usalama barabarani. Salim Asas ameyasema hayo baada ya kamati ya…