Miundombinu
27 Septemba 2023, 5:42 um
Wanafunzi 180 wa kidato cha tano hawajaripoti shuleni Msalato
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule ametembela Jumla ya Miradi Mitatu inayoendelea Jijini Dodoma ikiwemo Ujenzi wa Mabweni Mawili ya Shule ya Sekondari Msalato, Hospitali ya Wilaya inayojengwa katika Kata ya Nala na Ujenzi wa Shule ya Sekondari Mpamaa…
Septemba 21, 2023, 7:02 mu
Barabara km 52.414 kulimwa kwa kiwango cha lami Ileje Samia apongezwa
Na Denis Sinkonde Askofu wa kanisa la Moraviani jimbo la Kusini Kenani Panja kwa niaba ya wananchi wa Kijiji cha Ibungu Kata ya Bupigu ametoa shukrani kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia_Suluhu Hassan pamoja na Viongozi…
20 Septemba 2023, 4:45 um
Hombolo Makulu walia na uchakavu wa shule
Mazingira magumu au uchakavu wa miundombinu ya shule pamoja ongezeko la wanafunzi ni moja ya changamoto zinazo ikabili sekta ya elimu. Na Victor Chigwada. Wananchi wa mtaa wa Hombolo Makulu wamelalamikia uchakavu wa miundombinu ya shule yao ya msingi hali…
19 Septemba 2023, 3:43 um
Shekimweri ataka ofisi ya mtaa wa kwa Mathias Miyuji kuwa ya mfano
Ujenzi wa jengo la ofisi ya mtaa wa mathias jijini dodoma unaosimamiwa na kampuni ya urasimishaji ardhi ya wise plan unatarajiwa kukamilika mwezi wa kumi mwaka huu ikiwa ni sehemu ya kurudisha fadhila kwa jamii. Na David Kavindi. Mkuu wa…
18 Septemba 2023, 11:03 mu
Manchali watakiwa kuwa walinzi wa vifaa vya ujenzi wa shule
Huu ni mwendelezo wa ziara zake za kikazi Mhe. Senyamule ambapo amekagua pia Ujenzi wa Mradi wa Shule Mpya ya kata ya Manchali, Mradi wa Shule ya Sekondari ya wasichana ya Mkoa wa Dodoma na Chuo cha Veta. Na Mindi…
Septemba 15, 2023, 11:33 mu
Serikali yatoa shilingi bilioni 5 ujenzi wa barabara km 5 Ileje
Na Denis sinkonde Mkandarasi aliyesaini mkataba wa ujenzi wa barabara ya lami yenye urefu wa Km 5 yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 5 Kiwila- Landani wilayani Ileje mkoani Songwe kumaliza kwa mradi kwa wakati. Mkuu wa wilaya ya…
13 Septemba 2023, 5:46 um
Wananchi Membe waomba semina zaidi mradi wa bwawa
Mradi huo wa kilimo cha umwagiliaji unatarajia kuchukua takribani hekari 8000 ambapo ndani yake ndipo yanapatikana mashamba ya wananchi wanao hitaji kufahamu hatima ya mashamba hayo. Na Victor Chigwada. Uelewa wa wananchi wa Kijiji cha Membe wilayani chamwini kuhusu Mradi…
12 Septemba 2023, 3:51 um
Vilindoni yahitaji uzio kuepuka migogoro na wananchi wa jirani
Hali ya usalama imekuwa Ndogo kwa wanafunzi kutokana na shule hiyo kukosa Uzio hali inayosababisha baadhi ya wananchi kufanya shughuli za kibinadamu ndani ya eneo la shule hiyo. Na Mindi Joseph. Ukosefu wa uzio katika shule ya Msingi vilindoni imeelezwa…
11 Septemba 2023, 10:08 um
Ujenzi daraja la Magufuli wafikia 76%
Serikali imeendelea kutoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa daraja la Magufuli la Busisi-Kigongo jijini Mwanza ambalo linatarajiwa kukamilika mapema mwaka kesho. Na Mrisho Sadick – Geita Ujenzi wa daraja la Magufuli la Kigongo Busisi jijini Mwanza umefikia asilimia 76…
6 Septemba 2023, 2:27 um
Upungufu wa madarasa Vilindoni wasababisha mrundikano wa wanafunzi
Jumla ya madarasa 19 yanahitajika kujengwa katika shule hiyo ili kupunguza mrundikano wa wananfunzi darasani. Na Mindi Joseph. Upungufu wa madarasa katika shule ya msingi Vilindoni umesababisha mrudukano wa wananfunzi darasani. Darasa moja wanafunzi wanakadiriwa kukaa 90 hadi 100. Hapa…