
Miundombinu

30 June 2023, 10:31 am
TARURA Mpanda kuboresha barabara
MPANDA. Meneja wa Tarura wilaya ya Mpanda mkoani Katavi Kahose Joseph ameeleza namna Tarura inavyotenda kazi katika barabara zilizo chini ya mamlaka hiyo. Kahose Joseph amebainisha hayo wakati akizungumza na Mpanda redio fm amesema lengo ni kuongeza uelewa kwa wananchi…

14 June 2023, 1:50 pm
Wakazi Msisi waipongeza serikali ujenzi maabara shule ya sekondari Msisi Juu
Maabara hizo zitachochea wanafunzi wengi wa shule hiyo ya Msisi Juu kupenda masomo ya sayansi. Na Bernad Magawa . Wananchi wa kata ya Msisi wilayani Bahi wameishukuru serikali kwa kujenga maabara za masomo ya sayansi kwenye shule ya sekondari Msisi…

14 June 2023, 1:14 pm
Bahi: Wakandarasi watakiwa kukamilisha, kukabidhi miradi ya maendeleo Juni 15
SSP Idd Abdala amesema Serikali imetoa fedha nyingi kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya elimu, hivyo ni vema miradi yote ikakamilika kwa wakati. Na Bernad Magawa. Serikali wilayani Bahi mkoani Dodoma imewaagiza mafundi wote wanaojenga miradi ya maendeleo miundombinu ya…

7 June 2023, 6:53 pm
Wananchi Mpwayungu waishukuru serikali kwa kuboresha barabara
Katika maeneo mbalimbali ndani ya mkoa wa dodoma ukarabati wa miundombinu mbalimbali umekuwa ukifanywa ambapo imekuwa ikisaidia kwa kiasi kikubwa katika kupunguza changamoto ya usafiri . Na Victor Chigwada. Wananchi wa kata ya Mpwayungu iliyopo katika wilaya ya Chamwino mkoani…

5 June 2023, 5:56 pm
DC Gondwe aagiza miradi ya BOOST kukamilika kwa wakati
Pia alitembelea jengo jipya la benki ya NMB wilaya ya Bahi ambalo tayari limekamilika na linatarajiwa kuanza kutoa huduma muda wowote. Na Bernad Magawa. Mkuu wa wilaya ya Bahi Mheshimiwa Godwin Gondwe ameagiza miradi yote ya miundombinu ya elimu wilayani…

1 June 2023, 1:50 pm
Serikali kufanya majaribio ya treni ya mwendokasi Julai
Hayo yamesemwa na msemaji mkuu wa serikali Gerson Msigwa alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma. Na Alfred Bulahya. Serikali inatarajia kufanya majaribio ya treni ya mwendokasi (SGR) ifikapo mwezi Julai mwaka huu badala ya mwezi Mei kama ilivyotangazwa…

31 May 2023, 5:11 pm
DUWASA kuchimba visima 30 kuanzia Julai
Hadi kufika mwaka 2051 Duwasa inatarajia kuzalisha lita za maji milion 417 kwa siku. Na Mindi Joseph. Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) inatarajia kuchimba visima 30 vya maji katika maeneo yote mkoani Dodoma kuanzia mwezi…

30 May 2023, 10:14 am
Mradi wa BOOST Kilosa kujenga shule mpya Mtumbatu
Serikali imedhamiria kuondoa adha za sekta ya elimu nchini kwa kuwaletea mradi wa Boost ambao umeanzishwa kwa makusudio ya uboreshaji wa miundombinu kwa madarasa ya awali na msingi, kuimarisha mapito ya wanafunzi wa awali na msingi kwa kuweka mpango wa…

26 May 2023, 10:47 am
TAKUKURU yabaini mapungufu wilaya ya Tanganyika
KATAVI Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Katavi imebaini kuwepo kwa mapungufu yakiwemo usimamizi mbovu wa ujenzi wa miradi, ukiukwaji wa mikataba na ucheleweshaji wa kukamilisha miradi mitano katika halmashauri ya wilaya ya Tanganyika mkoani hapa.…

19 May 2023, 6:42 pm
Chamwino watakiwa kukamilisha miradi kwa wakati
Katika ziara hiyo ya kikazi katibu Tawala amekagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la Ofisi za Wilaya ya Chamwino, Zahanati ya Kijiji Cha Wilunze na Mradi wa ujenzi wa vyumba viwili vya maabara ya kemia na baiolojia katika Shule ya…