Miundombinu
24 Oktoba 2023, 11:58
Wakazi wa Chisamila na Manzase kuondokana na kero ya barabara
Bajeti ya ujenzi, ukarabati na matengenezo ya barabara vijijini na mijini imekuwa ikiongezeka kutoka Shilingi bilioni 272.56 mwaka 2020/21 hadi Shilingi bilioni 722 katika mwaka wa fedha 2021/22 sawa na ongezeko la asilimia 185. Na Mindi Joseph. Zaidi ya millioni…
16 Oktoba 2023, 11:48 mu
Wananchi Tukuyu walilia matuta kupunguza ajali za barabarani
Na Sabina Martin Rungwe-MbeyaKufuatia uwepo wa ajali za mara kwa mara katika eneo la ushirika mji mdogo wa Tukuyu wilayani Rungwe mkoani Mbeya wananchi wa eneo hilo wameiomba serikali kuweka matuta katika eneo hilo. Baadhi ya wananchi waliozungumza na chai…
12 Oktoba 2023, 12:40
Km 19 za barabara kujengwa katika mitaa zaidi ya minne Makulu
Tayari wananchi waliopisha ujenzi wa Barabara hizo wameshalipwa stahiki zao. Na Mindi Joseph. Kilomita 19 za barabara zinatarajiwa kuchongwa katika zaidi ya Mitaa 4 katika Kata ya Dodoma Makulu kabla ya msimu wa mvua kuanza. Hii ni kufuatia ujenzi wa…
11 Oktoba 2023, 17:13
Kiwanda cha kutengeneza meli kujengwa Kigoma
Hatua ya kuanza ujenzi wa kiwanda cha kutengeneza meli kinatjwa kuwa ni miongoni mwa mikakati ya Serikali kuboresha huduma za usafirishaji ndani ya Ziwa Tanganyika. Na, Tryphone Odace Serikali Kupitia Wizara ya Uchukuzi, imetia Saini makubaliano ya kuanza ujenzi wa…
10 Oktoba 2023, 17:48
Pangani kupata usafiri wa majini wa uhakika
“Fanyeni kazi mkiwa na amani, hayo mengine mlionieleza mimi ni mlezi wenu nitakwenda kuyashughulikia.“ Na Saa Zumo Halmashauri ya Pangani mkoani Tanga iko mbioni kupata uhakika wa usafiri wa majini baada ya kufanya mazungumzo na wawekezaji wa usafirishaji wa majini.…
9 Oktoba 2023, 20:16
Vilindoni yakabiliwa na upungufu wa matundu ya vyoo
Shule zinapaswa pamoja na mambo mengine kuwa na vyoo bora na vya kutosha kwa walimu na wanafunzi. Na Mindi Joseph. Shule ya Msingi Vilindoni inakabiliwa na uhaba wa matundu ya vyoo 15. Shule hiyo inajumla ya matundu 9 ya vyoo…
9 Oktoba 2023, 3:27 um
Chongolo hajaridhishwa na kasi ya mkandarasi ujenzi barabara Kibaoni – Mpi…
Katibu mkuu CCM Daniel Chongolo hajaridhishwa na kasi ya Mkandarasi anaetekeleza mradi wa Ujenzi wa Barabara ya Kiwango cha Lami kutoka Kibaoni hadi Halmashauri ya Mpimbwe. Na John Benjamin – MleleKatibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo hajaridhishwa…
8 Oktoba 2023, 10:26 um
Kwa mara ya kwanza ndege yenye kubeba abiria 72 kuanza safari Pemba
Kuwepo kwa changamoto ya usafiri wa anga kisiwani Pemba kumepelekea kuengezeka kwa kampuni nyengine ya usafirishaji abiria kwa njia ya anga. Na Fatma Rashid. Wazir wa ujenzi mawasoliano na uchukuzi Dr Khalid Salim Mohd amesema Ujenzi wa uwanja wa ndege…
6 Oktoba 2023, 10:29
Shilingi bilioni 70 zatengwa kuwalipa wakandarasi nchini
Na Frank Leonard Serikali imetangaza kutenga Sh bilioni 70 kila mwezi kwa ajili ya kulipa madeni ya wakandarasi wa ndani na nje wanaotekeleza miradi mbalimbali ya ujenzi nchini. Akitoa taarifa hiyo leo mara baada ya kukagua maendeleo ya ukarabati wa…
6 Oktoba 2023, 08:01
Wananchi waipa kongole serikali kwa ujenzi wa madaraja ya mawe
Teknolojia ya ujenzi wa madaraja kwa kutumia mawe imetajwa kuwa mkombozi kwa wananchi wa wilaya za Kigoma baada ya kurahisisha shughuli za usafirishaji. Na. Tryphone Odace Wananchi wa vijiji vya Nyamidaho, Bitale Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma na Nyamihanga wilaya…