Mazingira
02/05/2023, 15:49
Wakazi wa Msalato waomba mazingira ya mnada kuboreshwa
Mnada wa nyama msalato ni miongoni ma maeneo maarufu ya asili ambapo wananchi hufika kwa ajili ya kujipatia nyama choma . Na Thadei Tesha. Wakazi wa Msalato Jijini Dodoma wameiomba serikali kuboresha mazingira ya eneo la mnada wa msalato ambao…
02/05/2023, 13:23
Wafanyabiashara watakiwa kutunza mazingira
Mifuko ya plastiki ilipigwa marufuku kutumika hapa chini hii ni kutokana na wataalamu mbalimbali wa maingira kubainisha kuwa matumizi ya mifuko hiyo huongoza katika suala la uchafuzi wa mazingira. Na Thadei Tesha. Wafanyabiashara jijini Dodoma wametakiwa kuendelea kutunza mazingira kwa…
27 Aprili 2023, 11:44 um
mafuriko ya haribu miundombinu ya barabara na makazi ya watu Ifakara
Mvua za masika zinazoendelea kunyesha Wilayani Kilombero Mkoani Morogoro zimesababisha mafuriko na athari katika baadhi ya maeneo ikiwemo kitongoji cha Kwa shungu, kata ya Mbasa na Lumemo kata ya Lumemo halmashauri ya mji wa Ifakara. Na; Isidory Mtunda Kata sita za…
27/04/2023, 10:13
Miaka 59 ya Muungano Kilosa yaadhimisha kwa kupanda miti katika mto Mkondoa
Viongozi wa kata na vijiji wilayani Kilosa wametakiwa kujiwekea malengo ya upandaji miti kuanzia ngazi ya kata kupanda miti takribani 500 kwa mwezi ili kutimiza azma ya serikali ya kufikisha idadi ya miti milioni moja na nusu kwa mwaka 2022…
26 Aprili 2023, 12:07 um
Makala fupi kuhusu ukataji miti na mkaa unavyoharibu mazingira
Wananchi wa kijiji cha Makifu kilichopo tarafa ya Idodi mkoani Iringa wanakabiliwa na janga la ukame kutokana na uharibifu wa mazingira unaondelea katika maeneo hayo. MWANAHABARI WETU HAFIDH ALLY AMETUANDALIA TAARIFA KAMILI………………………..
20/04/2023, 19:46
kuelekea miaka 59 ya muungano Lindi yazindua siku ya upandaji miti kimkoa
Na loveness Daniel Kuelekea maadhimisho ya sikukuu ya miaka 59 muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambayo hufanyika April 26 kila mwaka Mkoa wa Lindi umezindua siku ya upandaji miti kimkoa ikiwa ni miongoni mwa utekelezaji wa agizo la Rais Samia…
20/04/2023, 11:05
Taasisi na vituo vinavyo hudumia watu wengi kupigwa marufuku kutumia mkaa na k…
Watu wengi hutumia nishati hiyo kwa sababu ni rahisi kupatikana na wanaweza kumudu gharama yake tofauti na nishati nyingine kama umeme na gesi. Na Fred Cheti. Inaelezwa kuwa zaidi ya hekta 46,960 za misitu huharibiwa kila mwaka nchini kwa ajili…
18/04/2023, 18:06
NEMC yaanza oparesheni kudhibiti vifungashio visivyo takiwa
Mnamo tarehe 1 Juni, 2019, Serikali ilipiga Marufuku Uzalishaji; Uingizaji nchini, Usafirishaji nje ya nchi; Usambazaji; na Matumizi ya mifuko ya plastiki kwa kile kinachodaiwa kuwa mifuko hiyo ni chanzo cha uchafuzi wa mazingira. Na Fred Cheti. Serikali kupitia baraza…
18/04/2023, 14:07
Serikali yawataka wamiliki na wasambazaji wa mifuko ya plastiki kujisajili
Hivi karibuni Baraza la uhifadhi na usimamizi wa Mazingira NEMC kupitia Mkurugenzi wake Mkuu Dkt Samuel Gwamaka lilitoa maelezekezo kwa wamiliki na wazalishaji wa mifuko ya plastiki nchini kuhakikisha wanajisajili. Na Fred Cheti. Serikali hivi karibuni kupitia baraza la hifadhi…
16 Aprili 2023, 3:17 um
Mabaki ya Mazao na Utunzaji wa Mazingira
KATAVI Ili kuinua uchumi na kusaidia kulinda mazingira Wananchi mkoani Katavi wameaswa kutumia majiko Banifu katika shughuli zao. Mtaalamu wa Masuala ya Mazingira Manispaa ya Mpanda Bwana Prosper Mwesiga amesema kuwa matumizi ya Majiko banifu yanasaidia kwa kiwango kikubwa upunguzaji…