Radio Tadio

Mawasiliano

10 July 2023, 10:33 am

Mawasiliano kuimarika Katavi

MPANDA Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, kupitia mradi wa Tanzania ya Kidigitali inatarajia kujenga minara ya mawasiliano katika mkoa wa Katavi ili kuimarisha mawasiliano kwa wananchi na kuchochea ukuaji wa uchumi mkoani humo. Hayo amesema na Naibu…

7 June 2023, 10:59 am

Mafunzo uongozi yatolewa Katavi

KATAVI Maafisa tarafa na watendaji wa kata mkoa wa Katavi wametakiwa kutekeleza majukumu ya serikali katika maeneo yao. Hayo yamesemwa na mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph akimwakilisha mkuu wa mkoa wa Katavi wakati wa utolewaji wa mafunzo ya…

15 May 2023, 7:34 pm

Waandishi wa Habari Katavi, Kazi Iendelee

KATAVI Waandishi wa Habari Mkoa wa Katavi wameaswa kuendelea kuhabarisha mambo yanayofanywa na serikali katika sekta Mbalimbali ili wananchi wafahamu namna serikali inanyo sogeza huduma hizo kwa Wananchi. Deodatus Kangu Afisa utumishi wa Manispaa ya Mpanda aliye Mwakilisha Msitahiki meya…

8 March 2023, 11:19 am

TASAC labainisha kutekeleza miongozo inayotolewa na serikali

Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limebainisha kuwa linatekeleza miongozo inayotolewa na Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA). Na Mindi Joseph. Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limebainisha kuwa inatekeleza miongozo inayotolewa na Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) katika…

11 November 2022, 5:24 am

Kauli ya Nape malalamiko ya kupunjwa ‘bando’

Waziri wa Mawasiliano Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape amesema wizara yake imeiagiza Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) kuwaita watoa huduma baada ya kutokea sintofahamu ya bei ya vifurushi. Spika Dk Tulia Ackson amemtaka Waziri huyo kufafanua uwepo wa utata…

27 October 2022, 10:35 am

Wakazi wa Gulwe wakosa mawasiliano ya simu

Na; Victor Chigwada. Changamoto ya mawasiliano katika Kijiji Cha Gulwe imeendelea kuwaathiri wananchi kutokana na uhaba wa minara ya mitandao ya simu. Wananchi hao wa Gurwe wamesema kuwa wamekuwa wakipata wakati mgumu wanapo hitaji kufanya mawasiliano kwa njia ya simu…

25 October 2022, 4:02 pm

Mikoa Mitano Yaongoza Kuwa Na Laini Za Simu Zinazotumika

Ripoti ya Utendaji wa Kisekta imeonesha ongezeko la asilimia 3.4 kwa laini za simu zinazotumika, ambapo hadi mwezi Juni 2022 kulikuwa na laini Milioni 56.2 idadi iliyoongezeka hadi kufikia laini milioni 58.1 Septemba 2022. Takwimu zinaonyesha kwamba mikoa mitano nchini…