Mawasiliano
2 Oktoba 2023, 17:55
Mapogoro walia kukosa huduma ya mawasiliano
Kukosekana kwa mawasiliano ya kutosha kunapelekea baadhi ya wananchi hasa waishio vijijini kushindwa kuwasiliana na ndugu zao pamoja na uzalishaji mali kudorola na kushindwa kufikia malengo yao. Na Mwanaisha Makumbuli Baadhi ya wanakijiji wa Mapogoro halmashauri ya wilaya ya Chunya…
27 Septemba 2023, 3:21 um
UCSAF kupeleka mawasiliano katika kata 1900 Nchini
Mfuko wa Mawasiliano kwa wote UCSAF umeendelea na jitihada za kuhakikisha upatikanaji wa huduma za mawasiliano ambapo kwa kpindi cha mwaka mmoja julai 2022 hadi june 2023 umejenga minara 304. Na Mariam Matundu. Mfuko wa mawasiliano kwa wote UCSAF umesaini…
Septemba 23, 2023, 3:41 um
TADIO yawapiga msasa waandishi Kitulo FM
Mtandao wa Redio jamii nchini (TADIO) umefanya mafunzo ya ndani kwa waandishi wa Habari wa Kituo cha Jamii Kitulo FM
18 Septemba 2023, 5:43 um
Taasisi za umma zaombwa kuitumia mamlaka ya serikali mtandao
Mamlaka ya serikali mtandao inatekereza program ya kukuza bunifu katika tehama kwa wanafunzi wa Elimu ya juu kuanzia kwa miaka 5 sasa tangu mwaka 2019 hadi mwaka 2023. Na Mariam Matundu. Taasisi za Umma zimeombwa kuitumia Taasisi ya mamlaka ya…
Septemba 12, 2023, 8:16 mu
Wanajamii kunufaika na intaneti Nyasa
lengo la mradi huo ni kuhakikisha jamii hasa vijijini wanapata huduma ya intanenti yenye kasi na gharama zinazoweza kufikiwa na watu wote Mkurugenzi wa Tzcna Dr Matogolo jabhera akifunga kifaa cha kusaidia upatikanaji wa intaneti katika shule ya sekondari luhangarasi…
7 Septemba 2023, 1:50 um
Tume ya Utangazaji Zanzibar yasitisha matangazo ya Adhana FM
Ni Baada ya Masafa yake Kuingiliana Masafa ya Anga Na Harith Subeit Zanzibar Kituo cha Radio Adhana Fm kilichopo mtaa wa Rahaleo Zanzibar kimesitisha matangazo yake kupitia masafa ya 104.09 FM kutokana na masafa hayo kuingiliana na masafa ya mawasiliano…
28 Agosti 2023, 5:45 um
Serikali yakamilisha ujenzi wa minara 304 ndani ya Mwaka mmoja.
Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote(UCSAF) unaendelea na ukaguzi wa minara yote iliyowashwa ili kuona utendaji kazi wake unakidhai vigezo vilivyowekwa kwa mujibu wa Mikataba Na Selemani Kodima Katika kuendelea kutatua changamoto za mawasiliano nchini ,Serikali imefanikiwa kukamilisha miradi ya mawasiliano …
21 Julai 2023, 12:02
Kigoma: Wananchi watakiwa kuacha shughuli karibu na hifadhi za barabara
Wananchi Mkoani Kigoma wametakiwa kuacha kufanya shughuli za kibinadamu katika ya hifadhi za barabara Na, Josephine Kiravu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kamishna Jenerali Mstaafu wa jeshi la zimamoto na uokoaji Thobias Andengenye amewataka wakazi wa Mkoani hapa kufuata sheria…
14 Julai 2023, 4:05 um
Storm FM yaendelea kujengewa uwezo na TADIO
Mtandao wa Redio Jamii wa TADIO umeendelea kuziimarisha redio hizo kwendana na wakati hususani katika kurusha matangazo kwa njia ya mtandao. Na Mrisho Sadick: Mtandao wa TADIO umeendelea kuijengea uwezo Storm FM wa namna ya kutumia mtandao wa Redio Portal…
10 Julai 2023, 10:33 mu
Mawasiliano kuimarika Katavi
MPANDA Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, kupitia mradi wa Tanzania ya Kidigitali inatarajia kujenga minara ya mawasiliano katika mkoa wa Katavi ili kuimarisha mawasiliano kwa wananchi na kuchochea ukuaji wa uchumi mkoani humo. Hayo amesema na Naibu…