Radio Tadio

Mawasiliano

11 June 2026, 7:49 pm

Ukarabati MV Liemba wafikia asilimia 75%

Mradi wa terminal ya kisasa ya abiria wenye thamani ya zaidi ya dola milioni 20 za Marekani unahusisha kuongeza kina cha bandari, kujaza maeneo maalum pamoja na ujenzi wa gati jipya lenye uwezo wa kuhudumia meli mbili kwa wakati mmoja.…

12 May 2026, 09:09

RC kheri awatembelea majeruhi wa ajali Iringa

Ajali hiyo imehusisha basi la abiria la kampuni ya THE CLASSIC linalofanya safari kati ya Zimbabwe na Tanzania pamoja na lori la mizigo, ambapo magari hayo yaligongana uso kwa uso. Na Hafidh Ally Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James,…

April 28, 2026, 6:35 pm

Wananchi Buhigwe watengeneza barabara kwa majembe

Juhudi za wananchi kujitolea kutengeneza Barabara hiyo zinaonesha namna walivyo tayari kushirikiana katika kuleta maendeleo ya eneo lao, huku wakiiomba serikali kuunga mkono jitihada hizo. Na Michael Mpunije- Buhigwe, Kigoma Wakazi wa kitongoji cha Janda Juu kata ya Janda wilayani…

23 April 2026, 13:59

Zaidi ya kaya 200 kata ya Idete zapatiwa vyandarua

Vyandarua hivi mnavyopewa na serikali lengo lake ni kuboresha afya zenu ili kujikinga na Malaria-Bi.Esther Nyasebwa, Mtendaji wa Kata. Na Kuruthum Mkata Mtendaji Kata ya Idete, Halmashauri ya Mlimba Wilayani Kilombero mkoani Morogoro, ameongoza zoezi la ugawaji wa vyandarua kwa…

16 March 2026, 10:20

Moto wateketeza maduka 20 ya wajasiriamali Iringa

Moto huo ulitekekeza bidhaa za wajasiriamali ambazo bado thamani yake haijawekwa wazi. Na Hafidh Ally Moto mkubwa ambao chanzo chake bado hakijafahamika umeteketeza maduka 20 ya wafanyabiashara wa bidhaa za kitalii katika eneo la Garden lililopo Manispaa ya Iringa na…

30 January 2026, 12:59

Ulinzi mkali Yanga ikivaana na Al Ahly New Amaan Complex

Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi limesema limejipanga kikamilifu kuhakikisha ulinzi na usalama vinaimarishwa kabla, wakati na baada ya mchezo wa kimataifa wa mpira wa miguu wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, CAF.…

2 December 2025, 19:16

Maambukizi ya VVU yaongezeka Pangani

“Sisi wana Pangani tukiweka nguvu za pamoja tutaweza kutokemeza janga hili na wilaya yetu inaendelea kupambana na gonjwa hili katika jamii zetu”. Amesema Bi. Sophia Kabome Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani. Na Rajabu Mrope Maambukizi ya Virusi…

3 October 2025, 12:19 pm

Vijana wa kike jamii ya wafugaji wanaingia kwenye siasa?

Na Dorcas Charles-Kurunzi Maalum Idadi ndogo ya vijana wa kike kutoka jamii za kifugaji katika Wilaya ya Simanjiro wanaojitokeza kugombea nafasi za uongozi inazua maswali mengi juu ya ushiriki wa wanawake vijana katika siasa. Hali hii inajiri wakati nchi ikiendelea…