Maji
10 July 2023, 10:24 am
Katavi: Maji safi na salama bado kilio Kamlenga
KATAVI Wananchi wa kitongoji cha Kamlenga kijiji cha Sibwesa halmashauri ya Tanganyika mkoani Katavi wameiomba serikali iwasaidie upatikanaji wa maji safi na salama ili kuepukana na magonjwa ya tumbo. Wakizungumza na Mpanda Radio fm wananchi hao wamesema kuwa wanatembea umbali…
4 July 2023, 4:39 pm
Zaidi ya shilingi millioni 300 kujenga miundombinu ya maji Kigwe
Wazawa wametakiwa kupewa kipaumbele zaidi katika miradi mbalimbali inayo anzishwa wialayani humo. Na Bernad Magawa Zaidi ya Shilingi million 300 zinatarajiwa kujenga miundombinu ya maji katika kata ya kigwe ili kuwaondolea changamoto ya kukosa maji safi wananchi wa kata hiyo…
4 July 2023, 08:59
Kigoma: Wapigwa faini milioni 4.4 na KUWASA kwa kujiunganishia maji
Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Manispaa ya Kigoma Ujiji, KUWASA imewatoza faini ya shilingi milioni nne na laki nne watu wawili kwa kosa la kujiunganishia maji kinyume na taratibu. Na, Tryphone Odace. Mamlaka ya Maji safi na…
3 July 2023, 12:29 pm
TANESCO wakata umeme chanzo cha maji Sengerema
Kutokana na Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira mjini Sengerema SEUWASA kukabiliwa na malimbikizo ya deni la umeme kiasi cha shilingi milioni mia tatu, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limekata huduma ya umeme katika chanzo cha maji kilichopo Nyamazugo.…
28 June 2023, 5:41 pm
Milioni 560 kutatua kero ya maji Bahi
Upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama umeendelea kuwa changamoto katika baadhi ya vijiji mkoani Dodoma. Na Mindi Joseph. Milioni 560 zinatarajiwa kutumika katika kuchimba kisima cha maji ndani ya kijiji cha Uhelela wilayani Bahi mkoani Dodoma ambacho kitahudumia…
27 June 2023, 5:08 pm
Jumuiya za watumia maji Mpwapwa zatakiwa kuunganisha nguvu na serikali
Amewataka watendeji kuendelea kusisitiza suala la utunzaji wa mazingira ili kuokoa vizazi vya sasa na vijavyo. Na Fred Cheti. Jumuiya za watumia maji katika halmsahuri ya wilaya ya Mpwapwa zimeaswa kuunganisha nguvu na serikali kwa kutoa ushirikiano utaokaosaidia kuundwa utaratibu…
9 June 2023, 3:22 pm
Utiaji saini makabidhiano mradi wa maji kutoka RUWASA kwenda DUWASA
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Kongwa Mheshimiwa White Zuberi amesema kuwa Serikali inawajali na kuwathamini wananchi wake ndio maana inapambana kuzitatua changamoto za Maji. Na Bernadetha Mwakilabi. Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya Kongwa Dkt. Omary Nkullo amesema kuwa ni…
9 June 2023, 12:44 pm
Huduma ya maji nchini sasa 88% mijini, 77% vijijini
Aidha ametoa wito kwa jamii kuzingitia sheria na kulinda miundombinu ya maji ili kuunga mkono jitihada za upatikanaji wa huduma ya maji nchini. Na Alfred Bulahya. Imeelezwa kuwa hali ya upatikanaji wa huduma ya maji nchini imeendelea kuimarika na kufikia…
8 June 2023, 11:09 am
Kabati awasilisha bungeni changamoto ukosefu maji Ng’ang’ange
Na Hafidh Ally Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Iringa Ritta Kabati ameibana serikali kujua wana mpango gani wa kupeleka huduma ya maji katika kata ya Ng’ang’ange iliyopo wilaya ya Kilolo. Kabati ameyasema hayo bungeni jijini Dodoma katika kipindi cha…
7 June 2023, 5:06 pm
Bahi: Adha ya maji Lamaiti yafikia tamati
Mradi huo uliojengwa kwa hisani ya shirika la Water Mission ukigharimu zaidi ya milioni 800 za kitanzania, ni moja ya miradi mikubwa ya maji wilayani Bahi na umetatua changamoto za maji safi na salama kwa wananchi wa kijiji hicho cha…