Maji
28 Julai 2023, 3:50 um
Ifahamu historia ya bwawa la Hombolo
Wananchi katika vijiji vingi vya jirani walikimbia makazi yao na kuhamia vijiji vingine wakati wa ujenzi wa bwawa hilo, ikiwa ni pamoja na Zepisa. Na Yussuph Hassan. Bwawa la Hombolo lilijengwa ili kuunda bwawa lililopo katika kijiji cha Hombolo Bwawani. Bwawa hilo lilijengwa na serikali ya kikoloni…
21 Julai 2023, 09:16
Aweso amwagiza DC Kibondo kumchukulia hatua mkandarasi
Mkandarasi anayetekeleza mradi wa uchimbaji wa visima vya maji Wilayani Kibondo ametakiwa kukamilisha mradi huo kwa haraka baada ya kutelekeza mradi huo kwa kipindi kirefu na kusababisha wananchi kukosa hudum ya maji. Na, Kadislaus Ezekiel Waziri wa maji Jumaa Aweso…
16 Julai 2023, 14:02
Waziri Aweso akerwa na watumishi wa maji, washidwa kusimamia miradi.
Waziri wa Maji Mheshimiwa Jumaa Aweso katika picha ya ukaguzi wa miradi ya maji Kasulu, picha na Tryphone Odace Watumishi wa idara za maji Mkoani Kigoma, watakiwa kusimamia miradi kulingana na fedha zinazotolewa na Serikali. NA, Kadisilaus Ezekiel. Waziri wa…
13 Julai 2023, 11:58
Vijiji 8 Kigoma vyakabiliwa na ukosefu wa maji
Ukosefu wa maji katika baadhi ya vijiji vya halmashauri ya wilaya na mkoani Kigoma umetajwa kuendelea kuwatesa wananchi kwani hulazimika kutumia maji ya visima na mito yasiyokuwa safi na salama. Na, Kadislaus Ezekiel Wananchi wa vijiji vinane vya halmashauri ya…
Julai 11, 2023, 5:52 um
KUWASA yamlipisha Faini ya Shilingi Milioni mbili Samweli Samson Mwita
Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Kahama (KUWASA) imeanzisha kampeni ya kuwabaini watu wanaohujumu mamlaka hiyo ndani ya manispaa ya Kahama kwa kushirikiana na wananchi Na William Bundala Mamlaka ya maji safi na usafi wa Mazingira Wilayani Kahama…
10 Julai 2023, 10:24 mu
Katavi: Maji safi na salama bado kilio Kamlenga
KATAVI Wananchi wa kitongoji cha Kamlenga kijiji cha Sibwesa halmashauri ya Tanganyika mkoani Katavi wameiomba serikali iwasaidie upatikanaji wa maji safi na salama ili kuepukana na magonjwa ya tumbo. Wakizungumza na Mpanda Radio fm wananchi hao wamesema kuwa wanatembea umbali…
4 Julai 2023, 4:39 um
Zaidi ya shilingi millioni 300 kujenga miundombinu ya maji Kigwe
Wazawa wametakiwa kupewa kipaumbele zaidi katika miradi mbalimbali inayo anzishwa wialayani humo. Na Bernad Magawa Zaidi ya Shilingi million 300 zinatarajiwa kujenga miundombinu ya maji katika kata ya kigwe ili kuwaondolea changamoto ya kukosa maji safi wananchi wa kata hiyo…
4 Julai 2023, 08:59
Kigoma: Wapigwa faini milioni 4.4 na KUWASA kwa kujiunganishia maji
Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Manispaa ya Kigoma Ujiji, KUWASA imewatoza faini ya shilingi milioni nne na laki nne watu wawili kwa kosa la kujiunganishia maji kinyume na taratibu. Na, Tryphone Odace. Mamlaka ya Maji safi na…
3 Julai 2023, 12:29 um
TANESCO wakata umeme chanzo cha maji Sengerema
Kutokana na Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira mjini Sengerema SEUWASA kukabiliwa na malimbikizo ya deni la umeme kiasi cha shilingi milioni mia tatu, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limekata huduma ya umeme katika chanzo cha maji kilichopo Nyamazugo.…
28 Juni 2023, 5:41 um
Milioni 560 kutatua kero ya maji Bahi
Upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama umeendelea kuwa changamoto katika baadhi ya vijiji mkoani Dodoma. Na Mindi Joseph. Milioni 560 zinatarajiwa kutumika katika kuchimba kisima cha maji ndani ya kijiji cha Uhelela wilayani Bahi mkoani Dodoma ambacho kitahudumia…