Maji
2 August 2023, 2:59 pm
Mlimwa walalamikia upungufu wa huduma ya maji
Ngulelo amesema kuwa hali hiyo inawalazimu kutumia maji ambayo si safi na salama na kuiomba Serikali kuingili kati suala hilo. Na Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha Mlimwa wilayani Chamwino wamelalamikia changamoto ya upungufu wa huduma ya maji hali inayowapa…
1 August 2023, 4:17 pm
Mwananchi Mpendo anusuru vitongoji vitatu adha ya maji
Waswahili wanasema penye nia pana njia hivyo ndivyo Leonard Daudi amesaidia kutatua changamoto kubwa ya maji katika eneo lake. Na Mindi Joseph. Mwananchi mmoja katika kijiji cha Hamia kata ya Mpendo wilayani Chemba mkoani Dodoma amejitolea kuchimba kisima cha maji na…
28 July 2023, 5:07 pm
Fahamu shughuli zinazofanyika bwawa la Hombolo
Je bwawa hili linawanufaisha vipi wakazi wa Hombolo hususani katika shughuli mbalimbali kama kilimo na uvuvi? Na Yussuph Hassan. Bwawa la Hombolo limekuwa likitumika na wakazi wa eneo hilo kwa ajili ya uvuvi wa samaki aina ya perege na wengine…
28 July 2023, 4:48 pm
Mradi wa maji Nzuguni sio porojo, wafika asilimia 76
Mradi wa Nzuguni unatarajiwa kuongeza uzalishaji wa maji kutoka wastani wa lita mlioni 68.7 mpaka milioni 76.3 kwa siku sawa na ongezeko la 11.4% ya uzalishaji wa sasa, na litapunguza mahitaji kwa 11.7% ya mahitaji ya sasa ya lita 133.4…
28 July 2023, 4:15 pm
Wananchi Kapalala walia na maji safi, salama
KATAVI Baadhi ya wananchi wa vitongoji vya kata ya Kapalala halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi wameiomba serikali kuwaongezea mtandao wa upatikanaji wa maji safi na salama katika kata yao. Wakizungumza na Mpanda Radio FM wamesema baadhi ya maeneo ya kata…
28 July 2023, 3:50 pm
Ifahamu historia ya bwawa la Hombolo
Wananchi katika vijiji vingi vya jirani walikimbia makazi yao na kuhamia vijiji vingine wakati wa ujenzi wa bwawa hilo, ikiwa ni pamoja na Zepisa. Na Yussuph Hassan. Bwawa la Hombolo lilijengwa ili kuunda bwawa lililopo katika kijiji cha Hombolo Bwawani. Bwawa hilo lilijengwa na serikali ya kikoloni…
21 July 2023, 09:16
Aweso amwagiza DC Kibondo kumchukulia hatua mkandarasi
Mkandarasi anayetekeleza mradi wa uchimbaji wa visima vya maji Wilayani Kibondo ametakiwa kukamilisha mradi huo kwa haraka baada ya kutelekeza mradi huo kwa kipindi kirefu na kusababisha wananchi kukosa hudum ya maji. Na, Kadislaus Ezekiel Waziri wa maji Jumaa Aweso…
16 July 2023, 14:02
Waziri Aweso akerwa na watumishi wa maji, washidwa kusimamia miradi.
Waziri wa Maji Mheshimiwa Jumaa Aweso katika picha ya ukaguzi wa miradi ya maji Kasulu, picha na Tryphone Odace Watumishi wa idara za maji Mkoani Kigoma, watakiwa kusimamia miradi kulingana na fedha zinazotolewa na Serikali. NA, Kadisilaus Ezekiel. Waziri wa…
13 July 2023, 11:58
Vijiji 8 Kigoma vyakabiliwa na ukosefu wa maji
Ukosefu wa maji katika baadhi ya vijiji vya halmashauri ya wilaya na mkoani Kigoma umetajwa kuendelea kuwatesa wananchi kwani hulazimika kutumia maji ya visima na mito yasiyokuwa safi na salama. Na, Kadislaus Ezekiel Wananchi wa vijiji vinane vya halmashauri ya…
July 11, 2023, 5:52 pm
KUWASA yamlipisha Faini ya Shilingi Milioni mbili Samweli Samson Mwita
Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Kahama (KUWASA) imeanzisha kampeni ya kuwabaini watu wanaohujumu mamlaka hiyo ndani ya manispaa ya Kahama kwa kushirikiana na wananchi Na William Bundala Mamlaka ya maji safi na usafi wa Mazingira Wilayani Kahama…