Kilimo
23 Novemba 2023, 3:53 um
Bei elekezi ya parachichi iliyotolewa na serikali yawanufaisha wakulima Rungwe
Kutokana na kuwepo kwa wanunuzi wanaowadanganya wakulima, serikali imeamua kutoa bei inayotakiwa kampuni zinunue parachichi ili kumkomboa mkulima. Mkuu wa mkoa akizungumza na wadau wa parachichi[picha na Lennox Mwamakula] Afisa kilimo wa wilaya Juma Mzala amebainisha utaratibu wakufuata kwa mnunuzi…
20 Novemba 2023, 12:24 um
Geita kuzalisha hekta zaidi ya laki tano za mazao ya chakula
Geita kuondoa vikwazo kwa wakulima ikiwemo kutatua changamoto ya upatikanaji wa mbolea ili kufikia malengo ya uzalishaji wa mazao ya chakula kwa wingi. Na Mrisho Sadick – Geita Mkoa wa Geita umekusudia kuzalisha Hekta zaidi ya laki tano za chakula…
18 Novemba 2023, 12:44 um
Uzinduzi wa msimu wa kilimo biashara mkoa wa Mtwara
Wadau wa kilimo kila mmoja anawajibika katika kutekeleza majukumu yake ili kufikia malengo tuliyojiwekea kama mkoa ikiwepo kuondoa changamoto zinazowakabiri wakulima Na Musa Mtepa Mkuu wa mkoa wa Mtwara Kanal Ahmed Abasi Novemba 17, 2023 amefanya uzinduzi wa msimu wa…
16 Novemba 2023, 1:08 um
Chai yenye ubora chachu ongezeko la bei
Imetajwa kuwa ongezeko la bei ya chai sokoni inategemea ubora wa majani mabichi ya chai kwani huzalisha majani makavu yenye kiwango kizuri hali inayopelekea kuuzwa kwa bei nzuri katika soko la kimataifa. Na Sabina Martin: Rungwe-Mbeya Kufuatia kuzinduliwa kwa mnada…
16 Novemba 2023, 12:24 um
TARURA Rungwe yatakiwa kuboresha barabara za vijijini zipitike kipindi chote
Wakala wa Barabara za Mjini na Vijijini TARURA katika wilaya ya Rungwe wametakiwa kujenga miundombinu ya barabara za vijijini ili zipitike wakati wote hususani wakati wa mvua ili kurahisisha usafirishaji wa majani mabichi ya chai kutoka shambani hadi kiwandani. Hayo…
15 Novemba 2023, 17:51
Zaidi ya wakulima 1326 na maafisa ugani 20 wamepatiwa elimu kilimo bora
Na Ivillah Mgala Zaidi ya wakulima 1326 na maafisa ugani 20 kupatiwa elimu na mafunzo ya kilimo katika halmashauri ya wilaya ya mbarali mkoani Mbeya. Hayo yamesemwa na mkuu wa wilaya ya mbarali mkoani Mbeya Kanali Denis Mwila katika hafla…
15 Novemba 2023, 14:58
‘Feed the Future’ yatoa mafunzo kwa wakulima wa Mboga na Matunda Mbarali
Na Mawanaisha Makumbuli Na Mwanaisha Makumbuli Shirika lisilo la kiserikali feed the future wakishirikiana na USAD kutoka nchini marekani wamewapatia mafunzo wakulima wa mboga mboga na matunda namna bora ya kulima kilimo chenye tija katika mikoa ya Njombe, Morogoro ,Iringa…
12 Novemba 2023, 12:18 um
Wakulima Kibokwa watakiwa kupisha uwekezaji
Picha ya waziri wakilimo na umwagiliaji Shamata Shame (aliye nyoosha kidole)akiwa katika kikao na wakulima wa bonde la mpunga kibokwa. Na Abdul – Sakaza. “Ushirikishwaji kati ya serekali na wakulima katika harakati za kimaendeleo kutasaidia kutatua changamoto mbalimbali hasa linapokuja…
8 Novemba 2023, 8:10 um
Wakulima Kagera watakiwa kupanda miti ya matunda kwa wingi
Na Jovinus Ezekiel Serikali mkoani Kagera imepongeza jitihada zinazoendelea kutekelezwa na taasisi ya KADERES inayohudumia wakulima katika wilaya mbalimbali za mkoa huo kwa kuanzisha mafunzo ya kilimo na uzalishaji wa miche ya miti rafiki kwa mazingira kwa ajili ya kuendeleza…
1 Novemba 2023, 9:15 mu
Wilaya ya Bunda kulima ekari elfu 69 za pamba msimu huu
Kiasi cha ekari elfu 69,110 za zao la pamba zinatarajiwa kulimwa ndani ya wilaya ya Bunda katika katika msimu wa mwaka 2023 – 2024. Na Adelinus Banenwa Kiasi cha ekari elfu 69,110 za zao la pamba zinatarajiwa kulimwa ndani ya…