Radio Tadio

Kilimo

18 Novemba 2023, 12:44 um

Uzinduzi wa msimu wa kilimo biashara mkoa wa Mtwara

Wadau wa kilimo kila mmoja anawajibika katika kutekeleza majukumu yake ili kufikia malengo tuliyojiwekea kama mkoa ikiwepo kuondoa changamoto zinazowakabiri wakulima Na Musa Mtepa Mkuu wa mkoa wa Mtwara Kanal Ahmed Abasi Novemba 17, 2023 amefanya uzinduzi wa msimu wa…

16 Novemba 2023, 1:08 um

Chai yenye ubora chachu ongezeko la bei

Imetajwa kuwa ongezeko la bei ya chai sokoni inategemea ubora wa majani mabichi ya chai kwani huzalisha majani makavu yenye kiwango kizuri hali inayopelekea kuuzwa kwa bei nzuri katika soko la kimataifa.      Na Sabina Martin: Rungwe-Mbeya Kufuatia kuzinduliwa kwa mnada…

12 Novemba 2023, 12:18 um

Wakulima Kibokwa watakiwa kupisha uwekezaji

Picha ya waziri wakilimo na umwagiliaji Shamata Shame (aliye nyoosha kidole)akiwa katika kikao na wakulima wa bonde la mpunga kibokwa. Na Abdul – Sakaza. “Ushirikishwaji kati ya serekali na wakulima katika harakati za kimaendeleo kutasaidia kutatua changamoto mbalimbali hasa linapokuja…

8 Novemba 2023, 8:10 um

Wakulima Kagera watakiwa kupanda miti ya matunda kwa wingi

Na Jovinus Ezekiel Serikali mkoani Kagera imepongeza jitihada zinazoendelea kutekelezwa na taasisi ya KADERES inayohudumia wakulima katika wilaya mbalimbali za mkoa huo kwa kuanzisha mafunzo ya kilimo na uzalishaji wa miche ya miti rafiki kwa mazingira kwa ajili ya kuendeleza…