Radio Tadio

Jinsia

11 Oktoba 2023, 16:49

Mimba za utotoni zaendelea kumkwamisha mtoto wa kike

Picha kwa hisani ya mitandao ya kijamii “Watoto wetu wamekuwa wakibakwa, wamekuwa wakipata mimba za utotoni hili ni eneo ambalo tunataka kusimamia kwa miguu miwili kupaza sauti kwa kushirikiana na wadau wengine ili elimu iwafikie watu wengi na hivi vitendo…

6 Septemba 2023, 11:39 mu

Maadili yatajwa kuwa mwarobaini wa vitendo vya ukatili

RUNGWE – MBEYA Na Fadhili Mwaifulile Jamii wilayani Rungwe Mkoani Mbeya imetakiwa kusimamia maadili kwa watoto wao hususani watoto wa shule za misingi na sekondari. Kauli hiyo imetolewa na katibu tawala wa wilaya ya Rungwe ndg,ALLY KIUMWA kwenye sherehe za…

6 Septemba 2023, 10:18 mu

Wanawake Waaswa Kuwa Wabunifu

MPANDA Baadhi ya wananchi Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wametoa maoni mseto juu ya namna gani wanawake wanaweza kuchangamkia fursa za uvumbuzi na ubunifu katika kujitafutia kipato na kuondokana na umaskini. Wameyasema hayo wakati wakizungumza na Mpanda Radio Fm kwa…

16 Agosti 2023, 13:53

Usawa kijinsia sio kukandamiza kundi fulani

Kikao kazi hicho cha siku moja, kinapokea taarifa za utekelezaji wa sekta na wadau kuhusu usawa wa kijinsia kwa kipindi Januari hadi Juni, 2023. Na WMJJWM,  Dodoma Katibu Mkuu, Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt…

7 Agosti 2023, 11:14

Waratibu Shehia acheni kutoa taarifa kwa mazoea

Vitendo vya udhalilishaji vinarejesha nyuma maendeleo ya wanawake na watoto Na Vuai Juma Waratibu wa shehia pamoja na wasaidizi wa sheria Mkoa wa kaskazini Unguja wametakiwa kuachana na tabia ya kutoa taarifa kwa mazoea hususani katika masuala ya kesi za…