Radio Tadio

Jinsia

16 August 2023, 1:53 pm

Usawa kijinsia sio kukandamiza kundi fulani

Kikao kazi hicho cha siku moja, kinapokea taarifa za utekelezaji wa sekta na wadau kuhusu usawa wa kijinsia kwa kipindi Januari hadi Juni, 2023. Na WMJJWM,  Dodoma Katibu Mkuu, Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt…

7 August 2023, 11:14 am

Waratibu Shehia acheni kutoa taarifa kwa mazoea

Vitendo vya udhalilishaji vinarejesha nyuma maendeleo ya wanawake na watoto Na Vuai Juma Waratibu wa shehia pamoja na wasaidizi wa sheria Mkoa wa kaskazini Unguja wametakiwa kuachana na tabia ya kutoa taarifa kwa mazoea hususani katika masuala ya kesi za…

11 May 2023, 9:23 am

Makala fupi kuhusu chanzo mimba za umri mdogo

Uoga wa wazazi na walezi kuzungumza na watoto wao waliopo katika rika balehe manispaa ya Iringa umetajwa kuwa chanzo cha ongezeko la mimba katika umri mdogo. MWANAHABARI WETU FABIOLA BOSCO AMETUANDALIA TAARIFA KAMILI……………… MWISHO

20 March 2023, 4:56 pm

Wanawake wawe Mstari wa mbele, Mtoto wa Kike Kupata Elimu

KATAVI Wanawake Mkoani Katavi wametakiwa kuwa mstari wa mbele katika kuwahamasisha watoto wa kike juu ya umuhimu wa elimu sambamba na kuwaeleza fursa zinazotolewa na serikali ili kuwasaidia kutimiza ndoto zao . Wito huo umetolewa hivi karibuni na Mkuu wa…