Jinsia
11 Oktoba 2023, 16:49
Mimba za utotoni zaendelea kumkwamisha mtoto wa kike
Picha kwa hisani ya mitandao ya kijamii “Watoto wetu wamekuwa wakibakwa, wamekuwa wakipata mimba za utotoni hili ni eneo ambalo tunataka kusimamia kwa miguu miwili kupaza sauti kwa kushirikiana na wadau wengine ili elimu iwafikie watu wengi na hivi vitendo…
22 Septemba 2023, 12:21
Jeshi la polisi Mbeya lawataka wanandoa hasa wanaume kutoa taarifa za ukatili
Ukatili ni hali ya kusababisha kwa makusudi mateso na kukosesha raha dhidi ya mtu mwingine, ilihali suluhisho la wazi linapatikana kwa urahisi. Na Mwanaisha Makumbuli Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya Benjamin Kuzaga amesema kuwa jeshi la polisi kupitia dawati…
6 Septemba 2023, 11:39 mu
Maadili yatajwa kuwa mwarobaini wa vitendo vya ukatili
RUNGWE – MBEYA Na Fadhili Mwaifulile Jamii wilayani Rungwe Mkoani Mbeya imetakiwa kusimamia maadili kwa watoto wao hususani watoto wa shule za misingi na sekondari. Kauli hiyo imetolewa na katibu tawala wa wilaya ya Rungwe ndg,ALLY KIUMWA kwenye sherehe za…
6 Septemba 2023, 10:18 mu
Wanawake Waaswa Kuwa Wabunifu
MPANDA Baadhi ya wananchi Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wametoa maoni mseto juu ya namna gani wanawake wanaweza kuchangamkia fursa za uvumbuzi na ubunifu katika kujitafutia kipato na kuondokana na umaskini. Wameyasema hayo wakati wakizungumza na Mpanda Radio Fm kwa…
26 Agosti 2023, 8:53 mu
Waandishi wa habari Pemba kupewa mbinu mpya kuandika habari za udhalilishaji
Waandishi wa habari Kisiwani Pemba kupatiwa mafunzo maalum ya uandishi wa habari za udhalilishaji kwa lengo la kuisaidia jamii endapo watapata kadhia hiyo. Na Khadia Ali Waaandishi wa habari kisiwani Pemba wametakiwa kufanya ufuatiliaji wa kuzielezea na kuzichakata kwa kutumia…
24 Agosti 2023, 3:37 um
Kipindi: NGOs Pemba zafanikiwa kukabiliana na kesi za udhalilishaji
16 Agosti 2023, 13:53
Usawa kijinsia sio kukandamiza kundi fulani
Kikao kazi hicho cha siku moja, kinapokea taarifa za utekelezaji wa sekta na wadau kuhusu usawa wa kijinsia kwa kipindi Januari hadi Juni, 2023. Na WMJJWM, Dodoma Katibu Mkuu, Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt…
9 Agosti 2023, 12:43
Viongozi wa dini wajadili mustakabali wa malezi na matunzo ya mtoto nchini
Vitendo vya ukatili katika jamii vimetajwa kuchochewa na uwepo wa mmomonyoko wa maadili hali ambayo inatajwa kuchangiwa kwa kiasi kikubwa na baadhi ya wazazi ambao hawatimizi wajibu wao ipasavyo kwa watoto. Na Josephine Kiravu Viongozi mbalimbali wa dini kutoka mikoa…
7 Agosti 2023, 11:14
Waratibu Shehia acheni kutoa taarifa kwa mazoea
Vitendo vya udhalilishaji vinarejesha nyuma maendeleo ya wanawake na watoto Na Vuai Juma Waratibu wa shehia pamoja na wasaidizi wa sheria Mkoa wa kaskazini Unguja wametakiwa kuachana na tabia ya kutoa taarifa kwa mazoea hususani katika masuala ya kesi za…
28 Julai 2023, 8:27 mu
Mwanaume wa miaka 30 atuhumiwa kumbaka mtoto wa miaka miwili Sengerema
Matukio ya ubakaji yamezidi kushika kasi wilayani Sengerema, jambo linalopelekea wadau wa kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia kujitokeza hadharani na kupinga vikali vitendo hivyo na kuiomba serikali kuwachukulia hatua kali wanaofanya vitendo hivyo. Na. Anna Elias Mtoto wa miaka…