Jinsia
7 August 2023, 11:14
Waratibu Shehia acheni kutoa taarifa kwa mazoea
Vitendo vya udhalilishaji vinarejesha nyuma maendeleo ya wanawake na watoto Na Vuai Juma Waratibu wa shehia pamoja na wasaidizi wa sheria Mkoa wa kaskazini Unguja wametakiwa kuachana na tabia ya kutoa taarifa kwa mazoea hususani katika masuala ya kesi za…
28 July 2023, 8:27 am
Mwanaume wa miaka 30 atuhumiwa kumbaka mtoto wa miaka miwili Sengerema
Matukio ya ubakaji yamezidi kushika kasi wilayani Sengerema, jambo linalopelekea wadau wa kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia kujitokeza hadharani na kupinga vikali vitendo hivyo na kuiomba serikali kuwachukulia hatua kali wanaofanya vitendo hivyo. Na. Anna Elias Mtoto wa miaka…
4 July 2023, 2:54 pm
Je mfumo dume unawanyima wanawake nafasi za uongozi ndani ya vyombo vya habari?
Na Groly Kusaga Wanawake wengi wamekuwa wakikutana na changamoto mbalimbali zinazowakwamisha katika kutekeleza majukumu yao na kusahau kuwa wanawake wana uwezo wa kufanya mambo makubwa wanapopewa nafasi ndani ya vyombo vya habari na uongozi kwa ujumla.
11 May 2023, 09:23
Makala fupi kuhusu chanzo mimba za umri mdogo
Uoga wa wazazi na walezi kuzungumza na watoto wao waliopo katika rika balehe manispaa ya Iringa umetajwa kuwa chanzo cha ongezeko la mimba katika umri mdogo. MWANAHABARI WETU FABIOLA BOSCO AMETUANDALIA TAARIFA KAMILI……………… MWISHO
20 April 2023, 14:50
Viongozi wa Dini na Serikali waungana Kupinga ulawiti na Ushoga Iringa
Matukio ya ulawiti na Ushoga yamezidi kukithiri katika Jamii jambo lililopelekea Viongozi wa Dini na Serikali kukemea vikali. Na Hafidh Ally Viongozi wa Dini na serikali Mkoani Iringa wameungana kupinga vita vitendo vya ulawiti na ushoga ambavyo ni kinyume na…
20 March 2023, 4:56 pm
Wanawake wawe mstari wa mbele mtoto wa kike kupata elimu
KATAVI Wanawake Mkoani Katavi wametakiwa kuwa mstari wa mbele katika kuwahamasisha watoto wa kike juu ya umuhimu wa elimu sambamba na kuwaeleza fursa zinazotolewa na serikali ili kuwasaidia kutimiza ndoto zao . Wito huo umetolewa hivi karibuni na Mkuu wa…
4 March 2023, 6:12 pm
RC Katavi alia na matukio ya ukatili, ushoga
KATAVI Mkuu wa mkoa Wa Katavi Mwanamvua Hoza mrindoko amelitaka Jeshi la Polisi Mkoani Katavi kupitia Kitengo cha dawati kuandaa mikakati ya Kupambana na Matukio ya unyanyasi wa kijinsia kwa watoto na ulawiti yanayoendelea kushika kasi mkoani Katavi. Akizungumza Katika…
3 February 2023, 3:54 pm
Akamatwa na jeshi la polisi kwa kumshushia kipigo mtoto mdogo
Mama mlezi aliyemshambulia kwa kipigo kikali mwanafunzi wa darasa la kwanza katika shule ya Msingi Bukala Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza na kumjeruhi vibaya sehemu mbalimbali za mwili wake kwa madai ya kukojoa kitandani hatimaye amekamatwa na jeshi la Polisi wilayani…
19 December 2022, 11:32
Kipindi: Wazazi au walezi wanamlinda vipi mtoto asipate unyanyasaji wa kijinsia
Na Grace Hamisi Sikiliza kipindi hiki maalumu juu ya jamii inavyopambana katika kumlinda mtoto dhidi ya unyanyasaji wa kijinsia. Sikiliza hapa
26 May 2022, 9:49 am
RUNGWE-MBEYA NA:LETHISIA SHIMBI Jamii wilayani Rungwe mkoani Mbeya imetakiwa kuachana na mtazamo hasi kuhusu watu wenye ulemavu badala yake wametakiwa kujumuika kwa pamoja na kushirikiana katika mambo mbalimbali. Rai hiyo imetolewa na Meneja wa shirika la TRAIDCRAFT EXCHARGE Ndg Ledis…