Jamii
17 Agosti 2023, 3:40 um
Nani anapaswa kumlipa dalali kati ya mpangaji na mwenye nyumba?
Biashara ya udalali inekuwa ikifanywa na baadhi ya watu kwa lengo la kujipatia kipato na kuendesha maisha yao. Na Aisha Alim. Utaratibu wa upatikanaji wa nyumba za biashara na nyumba za kuishi kupitia madalali umekuwa ukihusisha gharama za ulipwaji wa…
15 Agosti 2023, 4:58 um
Sabra Machano arudishwa kazini
Na Ivan Mapunda. Aliyekuwa Mkurugenzi Muendeshaji wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar ZSSF Sabra Issa Machano amefutiwa mashtaka ya ubadhilifu wa fedha wa bilioni 3 . Akizungumza na Zenj fm mkurugenzi wa taasisi ya Warrior Women Sabra Issa Machano amesema amepokea barua…
15 Agosti 2023, 10:15 mu
Wananchi wa Kokota waililia jumuiya ya wasaidizi wa sheria wilaya Wete
Na Mwiaba Kombo. Wananchi wa shehia ya Mtambwe kijiji cha Kokota wilaya ya Wete mkoa wa kaskazini Pemba wamewataka wasaidizi wa sheria katika wilaya hiyo kuwasaidia upatikanaji wa huduma za kijamii katika shehia hiyo. Hayo yameelezwa na baadhi ya wananchi…
15 Agosti 2023, 10:05 mu
Mrindoko ‘Jiandaeni Kupokea Mwenge’
KATAVIMkuu wa mkoa wa katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko amewataka wananchi mkoani katavi kujiandaa na mapokezi ya mwenge wa uhuru ambao unatarajiwa kupokelewa August 24 katika shule ya msingi vikonge wilaya ya Tanganyika.Ametoa taarifa hiyo wakati akizungumza na waandishi wa habari…
13 Agosti 2023, 4:40 um
Wazazi wa kiume watakiwa kutenga muda kwa ajili ya watoto wao
Katika kuhakikisha watoto wanakuwa kwenye maadili, wazazi hawana budi kutenga muda wa kuwasikiliza na kuwa karibu nao ili kujenga jamii bora ya badae. Na. Is-haka Rubea Wazazi na Walezi wameombwa harakati zao za kutafuta maisha zisiwanyime muda wa kukaa na…
13 Agosti 2023, 4:08 um
Kituo cha polisi Tumbatu kwa mara ya kwanza
Kituo hicho cha polisi Tumbatu chenye hadhi ya daraja “c” kinatarajiwa kuwa mkombozi kwa wananchi wa kisiwa hicho. Na Said Bakari. Kamishna wa Polisi Zanzibar Hamad Khamis Hamad amesema kukamilika kwa mradi wa kituo cha Polisi katika Kisiwa cha Tumbatu kutapelekea…
12 Agosti 2023, 1:11 um
Kipindi cha Sauti Yangu: Uwajibikaji wa viongozi na maendeleo Makunduchi
8 Agosti 2023, 11:16 MU
Upendo Charity wamfariji Bibi Sabra
Wanakikundi wa Upendo Charity, kinachopatikana katika halamshauri ya Mji wa Masasi mkoani Mtwara, wameshiriki kufanya matendo ya huruma kwa kutoa maziwa ya Lactojeni dazeni moja na nguo za kujikinga na baridi kwa mtoto Sabra aliyezaliwa hivi karibuni katika Hospitali ya…
7 Agosti 2023, 11:13 mu
Wananchi Micheweni watakiwa kushirikiana na Polisi Jamii
Kamishina Msaidizi wa polisi Dkt Emmanuel amesema bado kuna mwamko mdogo kwa wananchi wa micheweni katika kushirikiana na polisi jamii. Na Omary Hassan. Mkuu wa Polisi jamii Zanzibar, Kamishna Msaidizi wa Polisi Dkt. Egyne Emmanuel awewataka wananchi kuzitumia kamati za…
4 Agosti 2023, 17:04
Sekta binafsi zatakiwa kutenga fedha kwa ajili miradi ya maendeleo
Mashirika yasiyo ya kserikali yametakiwa kuhakikisha wanatumia fedha za wafadhili katika kutekeleza miradi ya maendeleokwenye maeneoyao. Na Lucas Hoha Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kamishina Mstaafu wa Jeshi la zimamoto na uokoaji Thobias Andengenye amezitaka Sekta binafisi kutenga fedha kwa…