
Recent posts

12 December 2024, 11:18 pm
Tadio yatoa mafunzo kwa waandishi wa Mtegani FM Radio
Mhariri wa Radio Tadio Hilali Ruhundwa (Aliyenyoosha kidole) akitoa mafunzo kwa waandishi wa habari wa Radio Mtegani FM. Picha na Saumu Ali Haji Watangazaji na waandishi wa habari wa radio jamii Mtegani FM Makunduchi Zanzibar wametakiwa kutumia kalamu zao vizuri…

30 November 2024, 12:14 pm
Jamii yatakiwa kuacha mfumo dume, iruhusu wanawake kusikiliza redio jamii
Wananchi Wa Kijiji Cha kizimkazi Mkunguni Watakiwa Kuacha Mila Potofu Za Kutowaruhusu Wanawake Kutumia Radio Jamii. Na Mwaka Mohd Mwita. Hayo yamesemwa na Ustadh Yahya katika kijiji cha Kizimkazi Mkunguni wakati akiongea na Mtegani FM radio. Amesema kuwa jamii sasa…

12 August 2023, 3:22 pm
Tadio yatoa mafunzo kwa waandishi wa Radio Mtegani
Watangazaji na waandishi wa habari wa radio jamii Mtegani FM Makunduchi Zanzibar wametakiwa kutumia mtandao wa Radio Tadio ili kuifikia jamii kimataifa. Na Fatma Saleh Ushauri huo umetolewa na mhariri wa jukwaa la kupashana habari la Radio Tadio lililo chini…

12 August 2023, 1:43 pm
Taasisi zisizo za kiserikali Kusini Unguja zachochea maendeleo Kizimkazi
Wakazi wa kijiji cha Kizimkazi Mkunguni wilaya ya Kusini Unguja wameendelea kunufaika na mafunzo na miradi inayotolewa na taasisi zisizo za kiserikali kijijini kwao. Na Miraji Manzi Kae Kuwepo kwa taasisi zisizo za kiserikali zinazofuata taratibu za maeneo husika kuwawezesha…

12 August 2023, 1:11 pm
Kipindi cha Sauti Yangu: Uwajibikaji wa viongozi na maendeleo Makunduchi

28 September 2021, 10:27 am
Udhalilishaji katika mkoa wa Kusini
Mkuu wa kitengo cha kuziua ukatili wa kijinsia katika jeshi la polisi wilaya kusini Unguja, akiwa katika kituo cha Radio jamii kuelezea jinsi ya tatizo linavyo pungua katika Mkoa wa kusini Unguja.