Radio Tadio

Habari

18 February 2023, 17:41 pm

Wakuu wa Wilaya watakiwa kuhakiki ubora wa Miradi ya Mwenge

Na Musa Mtepa Wakuu wa wilaya na wataalamu ngazi zote wametakiwa kukagua nyaraka mbalimbali zinazotakiwa kuwepo kwenye miradi itakayopitiwa wakati wa mbio za mwenge mkoani mtwara kutekelezwa kwa ubora ili kuepuka ubadhirifu unaoweza kujitokeza. “Navielekeza vyombo vinavyotakiwa kuchukua hatua watakapo…

16 February 2023, 4:09 pm

Ombi la Aweso kwa Mkuu wa wilaya ya Pangani

Na Saa Zumo Mbunge wa Jimb la Pangani Mkoani Tanga Mheshimiwa Jumaa Hamidu Aweso amemshauri mkuu wa wilaya ya Pangani Bi. Zainabu Abdalla kuliweka suala la kushughulikia changamoto zilizopo katika Hospitali ya Halmashaur ya wilaya hiyo katika moja ya vipaumbele…

16 February 2023, 2:44 pm

Mhe. Gondwe aagiza Bahi kuongeza Mapato

Mkuu wa wilaya ya Bahi Mheshimiwa Godwin Gongwe ameiagiza halmashauri ya wilaya ya Bahi kuhakikisha inabuni, kusimamia na kuongeza vyanzo vya mapato ili kutekeleza kikamilifu agizo la Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la kila wilaya kuhakikisha inakusanya mapato…

13 February 2023, 3:57 pm

Siku ya Redio yaadhimishwa Kilosa

Siku ya Redio duniani huadhimishwakila ifikapo Tarehe 13, Februari kila mwaka, ambapo siku hii ilianzishwa na Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO), mnamo mwaka 2012 mara baada ya baraza kuu la Unesco kutambua umuhimu wake.…

10 February 2023, 5:32 pm

Watanzania waaswa juu ya usambazaji picha chafu mtandaoni

Akichangia hoja ya Mbunge wa Jimbo la Kinondoni Abbas Tarima Bungeni Jijini Dodoma ambaye aliitaka serikali kuweka mfumo maalum utakaodhibiti usambazaji wa picha chafu mitandaoni Na Mariam Matundu. Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya habari Nape Nnauye amewashauri watanzania…

7 February 2023, 9:26 am

Mamlaka ya serikali mtandao eGA inatarajia kufanya kikao kazi

Mamlaka ya serikali mtandao eGA inatarajia kufanya kikao kazi cha 3 cha serikali mtandao kwa lengo la kuwakutanisha wadau mbalimbali wa serikali mtandao ili kujadiliana juu ya mafanikio, changamoto. Na Alfred Bulahya. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma Mkurugenzi…