Habari
18 February 2023, 17:41 pm
Wakuu wa Wilaya watakiwa kuhakiki ubora wa Miradi ya Mwenge
Na Musa Mtepa Wakuu wa wilaya na wataalamu ngazi zote wametakiwa kukagua nyaraka mbalimbali zinazotakiwa kuwepo kwenye miradi itakayopitiwa wakati wa mbio za mwenge mkoani mtwara kutekelezwa kwa ubora ili kuepuka ubadhirifu unaoweza kujitokeza. “Navielekeza vyombo vinavyotakiwa kuchukua hatua watakapo…
17 February 2023, 10:42 AM
Mkuu wa Wilaya ya Masasi mpya Asisitiza Wananchi kumuunga mkono katika ELIMU na…
Mkuu wa Wilaya ya masasi LAUTERI KANONI ameiyomba jamii ya Masasi imuunge mkona katika mikakati yake ya kuboresha elimu Wilayani humo kwani amekuja na mpango wa kuakikisha kila Shule ya Sekondari ya Kata inajengwa Hosteli ili kuwafanya Wanafunzi waweze kusoma…
16 February 2023, 4:09 pm
Ombi la Aweso kwa Mkuu wa wilaya ya Pangani
Na Saa Zumo Mbunge wa Jimb la Pangani Mkoani Tanga Mheshimiwa Jumaa Hamidu Aweso amemshauri mkuu wa wilaya ya Pangani Bi. Zainabu Abdalla kuliweka suala la kushughulikia changamoto zilizopo katika Hospitali ya Halmashaur ya wilaya hiyo katika moja ya vipaumbele…
16 February 2023, 2:44 pm
Mhe. Gondwe aagiza Bahi kuongeza Mapato
Mkuu wa wilaya ya Bahi Mheshimiwa Godwin Gongwe ameiagiza halmashauri ya wilaya ya Bahi kuhakikisha inabuni, kusimamia na kuongeza vyanzo vya mapato ili kutekeleza kikamilifu agizo la Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la kila wilaya kuhakikisha inakusanya mapato…
15 February 2023, 4:55 pm
Hatua zaanza dhidi ya athari za mabadiliko ya tabianchi kwa wanawake Pangani
Na Erick Mallya Wadau mbalimbali wilayani Pangani Mkoani Tanga wametakiwa kuogeza jitihada zao katika utunzaji wa mazingira na kuiwezesha jamii kushiriki kikamilifu katika kuzuia na kustahimili mabadiliko ya tabia nchi ili kuwanusuru wanawake dhidi ya masaibu mbalimbali wanayokutana nayo ambayo…
13 February 2023, 3:57 pm
Siku ya Redio yaadhimishwa Kilosa
Siku ya Redio duniani huadhimishwakila ifikapo Tarehe 13, Februari kila mwaka, ambapo siku hii ilianzishwa na Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO), mnamo mwaka 2012 mara baada ya baraza kuu la Unesco kutambua umuhimu wake.…
10 February 2023, 5:32 pm
Watanzania waaswa juu ya usambazaji picha chafu mtandaoni
Akichangia hoja ya Mbunge wa Jimbo la Kinondoni Abbas Tarima Bungeni Jijini Dodoma ambaye aliitaka serikali kuweka mfumo maalum utakaodhibiti usambazaji wa picha chafu mitandaoni Na Mariam Matundu. Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya habari Nape Nnauye amewashauri watanzania…
8 February 2023, 3:23 pm
Mh.Gondwe ameagiza miradi kutekelezwa kuendana na fedha iliyotolewa na serikali
Mkuu wa wilaya ya Bahi Mkoani Dodoma Mheshimiwa Godwin Gondwe ameagiza miradi yote ya maendeleo wilayani humo kuanza kutekelezwa kwa wakati huku akisisitiza miradi hiyo kuendana na thamani ya fedha iliyotolewa na serikali. Na. Benard Magawa. Mheshiwa Gondwe ameyasema hayo…
8 February 2023, 12:08 pm
Yaliyoibuka kwenye ziara ya kushtukiza ya DC kwenye soko la Pangani
Soko la Pangani liko kwenye maboresho makubwa yaliyoplekea kituo cha mabasi ya Pangani-Tanga na Pangani-Muheza kilichokuwa ndani ya Soko hilo kuhamishwa ili kupisha maboresho hayo. Kwa miaka mingi soko hilo limekuwa taswira ya mji wa Pangani na kituo maarufu kwa…
7 February 2023, 9:26 am
Mamlaka ya serikali mtandao eGA inatarajia kufanya kikao kazi
Mamlaka ya serikali mtandao eGA inatarajia kufanya kikao kazi cha 3 cha serikali mtandao kwa lengo la kuwakutanisha wadau mbalimbali wa serikali mtandao ili kujadiliana juu ya mafanikio, changamoto. Na Alfred Bulahya. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma Mkurugenzi…