Habari
20 October 2021, 18:48 pm
Makala: Nafasi ya wanawake katika Tasnia ya Habari
Wananwake katika tasnia ya habari na Vyombo vya habari ni makala ambayo imeandaliwa ili kuangalia nafasi yake, Fursa na changamoto zilizopo katika mkoa wa Mtwara. Karibu katika makala haya ili uweze kujua masuala mbalimbali yanayofanywa na wanawake katika vyumba vya…
19 October 2021, 14:51 pm
Makala: Kilimo Biashara ndani ya Mtwara
Karibu usikilize Makala ya Kilimo biashara ambapo tumezungumzia mazao mbalimbali pamoja na hali ya biashara ya mazao haya ndani ya mkoa wa Mtwara, Ungana na Musa Mtepa katika makala haya.
19 October 2021, 14:33 pm
Makala: Vyombo vya habari vina wajibu gani kwa watu wenye mahitaji maalum
Karibu usikilize makala inayohusu namna Vyombo vya habari vinawajibika kwa watu wenye mahitaji maalum, Makala haya yameandaliwa na Ramla Masali kutoka hapa Jamii fm Radio
18 October 2021, 16:35 pm
Makala: Elimu ya usafirishaji wa mitungi ya Gesi kwa bodaboda
Karibu usikilize makala haya juu ya usafirishaji wa mitungi ya Gesi kwa bodaboda, Makala haya yameandaliwa na Karim Faida. baada ya kusikiliza tunaamini utakuwa umeelimika na masuala mbalimbali yanayohusu Mitungi ya Gesi na matumizi ya jiko la gesi.
18 October 2021, 16:21 pm
Makala: Upatikanaji wa mikopo kwa wanawake
Makala haya yameandaliwa na Habiba Mpimbita kuhusu thamani ya mwanamke na safari hii anaangalia uelewa wa wanawake kama wanafahamu juu ya mikopo inayotolewa na halmashauri juu ya wajasiliamali.
12 September 2021, 9:51 am
Magazeti ya leo 12 Septemba 2021
August 29, 2021, 11:04 am
DODOMA:Serikali yaombwa kuanzishwa vituo vya kuhifadhia Data katika jamii.
SERIKALI imeombwa kuanzisha na kutoa leseni kwa vituo jamii vya kuhifadhi taarifa (yaani community-owned data centre) ili kuongeza idadi maudhui ya ndani (yaani local content) ambavyo vitakuwa chachu ya kuongeza idadi ya watumiaji wa internet kama ilivyo lengo la serikali…
9 July 2021, 16:30 pm
VIKUNDI 52 KUKOPESHWA MILIONI 205 MTWARA
Na Karim Faida. Jumla ya vikundi 52 kutoka Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara, wamepewa mkopo wenye thamani ya Tsh 205,047,000. Hayo yametanabaishwa na Afisa maendeleo ya jamii manispaa ya Mtwara mikindani mkoani hapa Bi Juliana Manyama jana katika hafla…
8 July 2021, 16:17 pm
Mtu mmoja afariki na wengine 11 majeruhi kwenye ajali kiwandani Dangote
Na Gregory Millanzi, MTU mmoja amefariki Dunia, watatu hali zao siyo nzuri na wengine nane kujeruhiwa kufuatia ajali iliyookea kwenye Kiwanda cha kuzalisha Saruji (DANGOTE ) kilichopo Kijiji cha Hiyari halmashauri ya Wilaya ya Mtwara. Tukio hilo limetokea Julai 7…
28 June 2021, 06:29 am
WAJIFUNGUA KWA TOCHI MTWARA
Na Karim Faida Wanawake wa kijiji cha Kilombero kata ya Mahurunga mkoani Mtwara wameiomba serikali kuwawekea umeme katika Zahanati ya kijiji hicho kwa kuwa wanapitia mazingira Magumu ya kujifungualia kwa mwanga wa tochi za simu majira ya usiku na nguzo…