Radio Tadio

Habari za Jumla

11 Machi 2024, 2:07 um

Diwani avunja kamati ya shule

Baada ya wazazi na walezi kuonesha kutokuwa na imani na kamati ya shule imemlazimu diwani kuingilia kati suala hilo. Na Cleef Mlelwa – Wanging’ombe Diwani wa kata ya Kijombe Seylvester Kigola ameagiza kuvunjwa kwa kamati ya shule ya msingi Ikwavila…

10 Machi 2024, 8:38 mu

Red Cross: Mwanamke ni nguzo muhimu kwa taifa

Chama cha msalaba mwekundu mkoani Simiyu kimesherekea siku ya Wanawake duniani kwa kufanya usafi katika hospitali ya wilaya ya Maswa katika kutambua na kuthamini mchango wa Wanawake katika Nyanja mbalimbali za kimaendeleo nchini. Na,Paul Yohana Katika kuenzi na kuthamini mchango…

8 Machi 2024, 16:27

Kyela: Vijana 10 wa greengard wakabidhiwa sare Itunge

Vijana wa chama cha mapinduzi uvccm  kata ya itunge wilayani kyela wamekabidhiwa sale aina kombati kwa ajili ya mandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa 2024-2025. Na Emmanuel Jotham Vijana kumi (10) wa Green Gard walio kwenda mafunzo kupitia chama…

8 Machi 2024, 4:17 um

Wanawake wahimizwa kushiriki ngazi za uongozi

Ili kuhakikisha uchumi wa familia unaimarika, wanawake wametakiwa kutambua nafasi zao kwenye jamii. Serikal imetakiwa kuhakikisha inaendelea kuwakwamua wanawake kiuchumi na kijamii ili kuweza kufikia maendeleo ya jamii na taifa kwa ujumla. Katibu tawala wa wilaya ya Rungwe Ally Kiumwa…

8 Machi 2024, 16:09

Nyani aingia ndani na kumjeruhi mtoto Kyela

Katika hali isiyokuwa ya kawaida nyani aina ya ngedere akiwa anakimbizwa kutoka sehemu nyingine kwenda sehemu nyingine gafla akikimbilia ndani na baadaye kumjeruhi mtoto. Na Masud Maulid nyani aliyekuwa anakimbizwa na watoto maeneo ya Majoka wialayni kyela  ameingia ndani ya…

8 Machi 2024, 11:24 mu

Zaidi ya milioni 3 kukarabati shule Rungwe

Shule ya msingi Katumba one ni shule iliyojengwa miaka 50 iliyopita na kutumika bila kufanyiwa ukarabati wowote, hatimaye sasa inakwenda kukarabatiwa kwa ufadhili wa mbunge. Na Bahati Obel Mbunge wa jimbo la Rungwe Anton Mwantona amekabidhi msaada wa bati 108…

8 Machi 2024, 09:42

Watumishi wa umma fuateni maadili ya kazi

Miradi ya maendeleo haiwezi kuwa na viwango kama viongozi hawana maadili ya kazi na viapo vyao. Na James Jovin. Watumishi wa umma katika Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma wametakiwa kufanya kazi zao kwa kuzingatia maadili ya kazi na…