Radio Tadio

Habari za Jumla

20/03/2024, 17:27

Kyela:Mwalimu atuhumiwa kubaka mwanafunzi darasa la saba

Mwalimu mmoja mkazi wa kata ya njisi hapa wilayani kyela anatuhumiwa kumbaka motto mwenye umri wa miaka 14 huku akimuahidi kumuoa na kumpa fedha za kulia shuleni. Na Nsangatii Mwakipesile Katika hali isiyo ya kawaida mtu mmoja aliye tambulika kwa…

20 Machi 2024, 16:47

Afisa tarafa akerwa na watendaji wazembe

Unapoaminiwa na kupewa kufanya kazi fulani huna budi kuonyesha jitihada zako za utendaji kazi kwa weledi. Na mwandishi wetu Afisa Tarafa ya Ilongo Magdalena Sikwese ameagiza Maafisa Watendaji wa Kata na Vijiji kuhakikisha wanatumia nafasi zao kwa kuwatumikia Wananchi vizuri…

20 Machi 2024, 15:18

Prof. Ndalichako alipa deni kwa wananchi Kasulu

Waziri  ofisi ya waziri mkuu kazi , vijana , ajira na wenye ulemavu prof Joyce ndalichako amezindua magati matano ya maji katika mtaa wa nyachijima kata ya kigondo halmashauri ya mji wa kasulu ikiwa ni mwendelezo wa kuhakikisha serikali inamtua…

20/03/2024, 11:52

Kyela:Ccm Itunge yang’ara kwa manoti ya Mwakyambile

Mkurugrnzi wa kampuni ya Convenant Edible Oil Ltd wazalishaji wa mafuta ya Kyela Cooking Oil Babylon Mwakyambile amewataka wanachama wa chama cha mapinduzi kata ya itunge kushikama ili kufanikisha ujenzi wa ofisi za chama hicho. Na Nsangatii Mwakipesile Harambee ya…

20/03/2024, 11:44

Kyela:Wenye 3d Kyela sasa kukiona cha moto

Mkuu wa usalama barabarani wilayani kyela Assistant Inspecta Seif amewataka madereva ambao bado hawajatoa pleti namba za 3d kutoingiza magari yao barabarani mpaka hapo watakapotekeleza agizo hilo. Na James Mwakyembe Jeshi la polisi wilayani kyela kitengo cha usalama barabarani limesema…

20 Machi 2024, 09:13

“mtu mwenye akili timamu hawezi kufanya ukatili”

Serikali ya Tanzani imeshauriwa kuendelea kutoa elimu ya ukatili wa kijinsia katika jamii ili kupunguza na kutokomeza vitendo vya ukatili hali itakayosaidia kujua usawa wa mwanamke na mwanaume ndani ya jamii. Hayo yameelezwa na Katibu Mtendaji wa Kanisa la Anglikana…

19 Machi 2024, 18:42

10 wakamatwa wakitorosha kilo 9.8 za dhahabu mkoani Mbeya

Shughuli za kila mwanadamu zinatengemea kufanywa kupitia taratibu na sheria za nchi,na endapo mtu akikiuka hayo ni lazima achukuliwe hatua kwa mujibu wa taratibu na sheria za nchi. Na Hobokela Lwinga Watu 10 wanashikiliwa na jeshi la polisi Mkoani Mbeya…