Radio Tadio

Habari za Jumla

8 Machi 2024, 4:17 um

Wanawake wahimizwa kushiriki ngazi za uongozi

Ili kuhakikisha uchumi wa familia unaimarika, wanawake wametakiwa kutambua nafasi zao kwenye jamii. Serikal imetakiwa kuhakikisha inaendelea kuwakwamua wanawake kiuchumi na kijamii ili kuweza kufikia maendeleo ya jamii na taifa kwa ujumla. Katibu tawala wa wilaya ya Rungwe Ally Kiumwa…

8 Machi 2024, 16:09

Nyani aingia ndani na kumjeruhi mtoto Kyela

Katika hali isiyokuwa ya kawaida nyani aina ya ngedere akiwa anakimbizwa kutoka sehemu nyingine kwenda sehemu nyingine gafla akikimbilia ndani na baadaye kumjeruhi mtoto. Na Masud Maulid nyani aliyekuwa anakimbizwa na watoto maeneo ya Majoka wialayni kyela  ameingia ndani ya…

8 Machi 2024, 11:24 mu

Zaidi ya milioni 3 kukarabati shule Rungwe

Shule ya msingi Katumba one ni shule iliyojengwa miaka 50 iliyopita na kutumika bila kufanyiwa ukarabati wowote, hatimaye sasa inakwenda kukarabatiwa kwa ufadhili wa mbunge. Na Bahati Obel Mbunge wa jimbo la Rungwe Anton Mwantona amekabidhi msaada wa bati 108…

8 Machi 2024, 09:42

Watumishi wa umma fuateni maadili ya kazi

Miradi ya maendeleo haiwezi kuwa na viwango kama viongozi hawana maadili ya kazi na viapo vyao. Na James Jovin. Watumishi wa umma katika Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma wametakiwa kufanya kazi zao kwa kuzingatia maadili ya kazi na…

8 Machi 2024, 8:45 mu

NSSF Hai watoa msaada kuelekea siku ya wanawake duniani

Katika kuelekea siku ya wanawake duniani ambayo huadhimishwa kila ifikapo Machi 8 kila mwaka NSSF wilaya ya Hai wametoa msaada kwa wenye uhitaji. Na Stanley Christian Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake duniani Shirika la Taifa la…

8 Machi 2024, 8:28 mu

Elimu ya malezi mwarobaini wa vitendo vya ukatili Makambako

Ili kukabiliana na vitendo vya ukatili katika jamii imeelezwa kwamba elimu ya malezi na makuzi kwa wazazi, walezi na watoto ni muhimu ikaendelea kutolewa Na Cleef Mlelwa – Makambako Wazazi na walezi katika halmashauri ya mji wa Makambako wametakiwa kuhakikisha…

7 Machi 2024, 5:22 um

SHIUMA Hai kufanya maonesho mwenge wa uhuru 2024

Hai Kuelekea kuashwa kwa mwenge kitaifa mkoani Kilimanjaro tarehe 2 April wafanyabiashara wadogowadogo maarufu machinga wilayan Hai wameaanda maonyesho makubwa ya bidhaa mbalimbali za utamaduni sanaa na utalii Na Janeth Joachim Kuelekea kuashwa kwa mwenge kitaifa mkoani Kilimanjaro tarehe 2…

7 Machi 2024, 15:57

Diwani Mariam:Wawepo wataalamu wa saikolojia kwenye kata

Mamilioni ya watanzania wanajihususha na ujasiriamali mdogo hali inayo wafanya wajiingizie kipato kutokana na hilo hawana budii kupata elimu inayowawezesha kufanya shughuli zao kwa weledi. Na Hobokela Lwinga Kuelekea kilele cha siku ya mwanamke duniani,diwani wa viti maalum jiji la…