Habari za Jumla
14 Machi 2024, 3:19 um
Nguzo zaanguka Longido, Ngorongoro yakosa umeme
Umeme umeendelea kuwa kero kwa wananchi kutokana na kukosekana kwa huduma hii muhimu kwa shughuli za kila siku kwa kukatika mara kwa mara kwenye maeneo mengi hapa nchini. Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro Mh Kanali Wilson Sakulo tarehe 13 Machi…
14 Machi 2024, 14:24
Polisi Mbeya wapokea vitendea kazi kutoka Lulu saccos
Kila mwananchi anapaswa kushiriki shughuli za ulinzi kwa namna yoyote ile,ikiwa huwezi kushiriki kwa nguvu basi unapaswa kujitoa kwa mali hivi ndivyo taasisi ya fedha ya lulu saccos imeamua kushiriki kuimarisha ulinzi kwa kulipatia jeshi la polisi vitendea kazi. Na…
14 Machi 2024, 14:13
Mume aua mke kwa kutenganisha kichwa na kiwiliwili Igurusi Mbeya
Mwanaume mmoja katika eneo la Igurusi wilayani Mbarali mkoani Mbeya amejichukulia hatua mkononi kwa kumchinja mke wake mithiri ya kuku na kumtenganisha kichwa na kiwiliwili. Na Ezekiel Kamanga Simanzi na vilio vimetawala kwa wakazi wa kitongoji cha Masista kijiji cha…
14 Machi 2024, 10:20
Vibao vya anuani za makazi vyageuzwa vyuma chakavu Kigoma
Katibu Tawala wa Wilaya ya Kigoma Mganwa Nzota amekemea tabia za wananchi wanaoharibu miundombinu ya nguzo na vibao vya anuani ya makazi na kutumia kama vyuma chakavu. Ameyasema hayo wakati akifungua mafunzo ya utekelezaji wa mfumo wa anuani za makazi…
14 Machi 2024, 8:08 mu
Chakula shuleni chachu ya ufaulu Rungwe
Katibu tawala wa halmashauri ya wilaya ya Rungwe Ally Kiumwa akizungumza na wajumbe kwenye kikao cha Tathimini juu ya lishe [picha na Lennox mwamakula] Imeelezwa kuwa asilimia 93.7 ya wanafunzi wanaofanya vizuri katika masomo yao ni wale wanaokula chakula cha…
13 Machi 2024, 7:56 um
Mama mjamzito apigwa nusura ujauzito utoke
Ukatili wa kijinsia bado unaendelea kuwa tishio kwa maisha ya wanawake wengi hasa kwenye jamii ya kimaasai, kufuatia vipigo kutumika kama sehemu ya adhabu inayotumiwa na baadhi ya wanaume wa jamii hii kwa wake zao. Na Joyce Elius. Bi. Penina…
13 Machi 2024, 14:19
Mwaisango: Iwe mvua, jua tunaingia kwenye uchaguzi
Chama cha CHADEMA wilayani kyela kimeitaka serikali ya chama cha mapinduzi wilayani hapa kujiandaa kikamilifu katika uchaguzi ujao wa serikali za mitaa na ule mkuu wa mwaka 2025 kuwa ni lazima wakiondoshe madarakani. Na James Mwakyembe Chama cha Democrasia na…
13 Machi 2024, 12:13 um
Ushirika Hai waanza kuleta tija, Saashisha aishukuru serikali
Mkataba wa kwanza wa Wazi katika vyama vya ushirika na ulioandikwa kwa lugha ya kiswahili na kingereza umesainiwa leo kati ya chama cha ushirika cha MUROSO SANGI dhidi ya Kampuni ya MACJARO LTD ambapo unatajwa kuwa ni mkataba wenye manufaa…
13 Machi 2024, 11:35 mu
DC Maswa aagiza viongozi, watendaji kusikiliza kero za wananchi
Mkuu wa Wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu Mh Aswege Kaminyoge ametoa maagizo kwa watendaji na viongozi wengine kusikiliza kero za za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi na siyo kusubiri viongozi wa ngazi za juu kuja kusikiliza kero ambazo zingetatuliwa na viongozi …
13 Machi 2024, 10:44 mu
Rais atoa zana za kilimo Maswa kuongeza uzalishaji wa pamba
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mh Aswege Kaminyoge amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa zana za kilimo kwa wakulima wa kata ya Senani ili kumsaidia mkulima katika kuongeza tija katika zao la pamba. DC Kaminyoge ametoa shukrani hizo wakati wa kuzindua zana…