Radio Tadio

Habari za Jumla

14 Machi 2024, 3:19 um

Nguzo zaanguka Longido, Ngorongoro yakosa umeme

Umeme umeendelea kuwa kero kwa wananchi kutokana na kukosekana kwa huduma hii muhimu kwa shughuli za kila siku kwa kukatika mara kwa mara kwenye maeneo mengi hapa nchini. Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro Mh Kanali Wilson Sakulo tarehe 13 Machi…

14 Machi 2024, 14:24

Polisi Mbeya wapokea vitendea kazi kutoka Lulu saccos

Kila mwananchi anapaswa kushiriki shughuli za ulinzi kwa namna yoyote ile,ikiwa huwezi kushiriki kwa nguvu basi unapaswa kujitoa kwa mali hivi ndivyo taasisi ya fedha ya lulu saccos imeamua kushiriki kuimarisha ulinzi kwa kulipatia jeshi la polisi vitendea kazi. Na…

14 Machi 2024, 10:20

Vibao vya anuani za makazi vyageuzwa vyuma chakavu Kigoma

Katibu Tawala wa Wilaya ya Kigoma Mganwa Nzota amekemea tabia za wananchi wanaoharibu miundombinu ya nguzo na vibao vya anuani ya makazi na kutumia kama vyuma chakavu. Ameyasema hayo wakati akifungua mafunzo ya utekelezaji wa mfumo wa anuani za makazi…

14 Machi 2024, 8:08 mu

Chakula shuleni chachu ya ufaulu Rungwe

Katibu tawala wa halmashauri ya wilaya ya Rungwe Ally Kiumwa akizungumza na wajumbe kwenye kikao cha Tathimini juu ya lishe [picha na Lennox mwamakula] Imeelezwa kuwa asilimia 93.7 ya wanafunzi wanaofanya vizuri katika masomo yao ni wale wanaokula chakula cha…

13 Machi 2024, 7:56 um

Mama mjamzito apigwa nusura ujauzito utoke

Ukatili wa kijinsia bado unaendelea kuwa tishio kwa maisha ya wanawake wengi hasa kwenye jamii ya kimaasai, kufuatia vipigo kutumika kama sehemu ya adhabu inayotumiwa na baadhi ya wanaume wa jamii hii kwa wake zao. Na Joyce Elius. Bi. Penina…

13 Machi 2024, 14:19

Mwaisango: Iwe mvua, jua tunaingia kwenye uchaguzi

Chama cha CHADEMA wilayani kyela kimeitaka serikali ya chama cha mapinduzi wilayani hapa kujiandaa kikamilifu katika uchaguzi ujao wa serikali za mitaa na ule mkuu wa mwaka 2025 kuwa ni lazima wakiondoshe madarakani. Na James Mwakyembe Chama cha Democrasia na…

13 Machi 2024, 11:35 mu

DC  Maswa  aagiza viongozi, watendaji  kusikiliza kero za wananchi

Mkuu  wa  Wilaya ya  Maswa  mkoa  wa  Simiyu  Mh  Aswege  Kaminyoge   ametoa  maagizo   kwa  watendaji na  viongozi  wengine  kusikiliza  kero za  za  wananchi  na kuzitafutia  ufumbuzi na  siyo  kusubiri viongozi  wa  ngazi  za  juu kuja  kusikiliza  kero  ambazo  zingetatuliwa na  viongozi …

13 Machi 2024, 10:44 mu

Rais atoa zana za kilimo Maswa kuongeza uzalishaji wa pamba

Mkuu  wa  Wilaya  ya  Maswa  Mh Aswege Kaminyoge   amemshukuru   Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa zana za kilimo kwa wakulima wa kata  ya  Senani  ili kumsaidia  mkulima  katika  kuongeza  tija  katika  zao la pamba. DC Kaminyoge  ametoa  shukrani  hizo  wakati  wa  kuzindua zana…