Habari za Jumla
28 Machi 2024, 11:55
wapiga ramli chonganishi kuchukuliwa hatua kali za kisheria
Baraza la Madiwani katika halmashauri ya wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma limeazimia kuchukua hatua kali za kisheria kwa wapiga ramli chonganishi maarufu kamchape kufuatia kufanya shughuli za uvunjifu wa amani ndani ya halmashauri hiyo. Na, hagai Ruyagila Katika kikao hicho…
28 Machi 2024, 10:19 mu
LAAC yaipongeza Maswa kwa usimamizi mzuri wa miradi
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa – LAAC imeipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Maswa kwa Usimamizi Mzuri wa Fedha za Miradi ya Maendeleo zinazoletwa Wilayani hapo. Akitoa Pongezi hizo mara baada ya kutembelea Jengo la …
27 Machi 2024, 7:30 um
Watakaoharibu uchaguzi serikali za mitaa kukiona
Kutokana na uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika mwaka huu,serikali yatoa onyo. Na Edwine Lamtey Serikali imetoa onyo kwa vikundi vya watu,Taasisi ama vyama vya siasa vinavyojipanga kwa ajili ya kuharibu uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika baadaye…
27 Machi 2024, 7:04 um
Bodi ya maji Losaa Kia yafanya uchaguzi,waweka mikakati
Bodi ya maji Losaa Kia yapata viongozi wapya,waomba ushirikiano. Na Edwine Lamtey Wananchi wanaoishi karibu na vyanzo vya maji wametakiwa kuvilinda na kuvitunza vyanzo hivyo ili kusaidia upatikanaji wa huduma hiyo na itakayokuwa toshelevu katika maeneo yote ikiwemo yale ya…
27 Machi 2024, 6:43 um
Uzalishaji taka waongezeka Zanzibar kipindi cha mwezi Mtukufu wa Ramadhani
Na Rahma Hassan. Kuelekea katika kipindi cha mvua za masika wakaazii wa shehia ya mikunguni wameliomba Baraza la Manispaa Zanzibar kulitafutia ufumbuzi suala la taka zilizozagaa katika jaa la shehia yao. Wakizungumza na zenji FM Wananchi hao Wamesema karibu wiki…
27 Machi 2024, 16:00
wakimbizi wapewa miezi 9 kurudi Burundi kwa hiari
Zaidi ya Wakimbizi Laki Moja Kutoka Nchini Burundi wanaohifadhiwa Katika Kambi za Wakimbizi NDUTA na NYARUGUSU Mkoani Kigoma, Wamepewa miezi tisa kuanzia sasa wote wawe wamerudi nchini Burundi kwa hiyari, Kabla ya kufutia hadhi ya ukimbizi ili kuungana na ndugu…
27 Machi 2024, 15:39
Mkandarasi barabara ya Kasulu Kibondo kuchukuliwa hatua
Wananchi na watumiaji wa barabara ya Kasulu Kibondo mkoani Kigoma, wameingiwa na hofu baada ya kukatika miundombinu ya barabara hiyo katika kijiji na kata ya Busunzu wilayani Kibondo, ikiwa ni wiki kadhaa zimepita eneo hilo kuanza kupitika, hali ambayo imeacha…
27 Machi 2024, 14:49
Wananchi watakiwa kutokuwa sehemu ya uvunjifu wa amani Kigoma
Wakazi wa kata ya Mahembe halmashauri ya wilaya ya Kigoma wamepatiwa elimu ya namna ya kulinda amani iliyopo huku wakitakiwa kushirikiana na vyombo vya usalama katika kufichua wahalifu ambao wamekuwa chanzo cha uvunjifu wa amani. Na, Josephine Kiravu.Awali akizungumza kwenye…
27 Machi 2024, 13:01
Convenant Edible Oil Ltd yamwaga vifaa vya michezo Kajunjumele Kyela
Kampuni ya kuzarisha mafuta ya Kyela Cooking Oil Convenant Edible Oil Ltd chini mkurugenzi Babylon Mwakyambile wamekabidhi mipira nane kwa timu nane shiriki katika ligi ya chama cha Mapinduzi ccm kata ya Kajunjumele. Na Nsangatii Mwakipesile Mkurungenzi wa kampuni ya…
27 Machi 2024, 12:21 um
Tawa inavyolinda Pori la Akiba la Kilombero kama chanzo muhimu cha maji-Makala
Makala inayoelezea Jitihada zinazofanywa na Tawa kulinda Pori la Akiba la Kilombero kama chanzo muhimu cha maji katika Bwawa la Mwalimu Nyerere.