Habari za Jumla
4 Aprili 2024, 13:29
Kyela:Covenant Edible Oil yamwagiwa pongezi na mbunge jimbo la Kyela
Baada ya mkurugenzi wa Covenant Edible Oil Ltd kufanya juhudi kubwa za kuwaletea maendeleo na fursa za ajira wakazi wilayani hapa mbunge wa jimbo la Kyela Ally Mlaghila Jumbe amempongeza mkurugenzi huyo na kuwataka wadau wengine kufuata njia hiyo ili…
4 Aprili 2024, 13:17
Kyela:Mvua za ng’oa daraja wananchi wapiga mbizi kufuata huduma
Wananchi katika kata ya ngana hapa wilayani kyela wapo hatarini kuliwa na mamba kufuatia daraja la mto mwega kubomoka na kulazimika kuvuka kwa kuogelea ndani ya mto huo unaosifika kuwa na mamba wengi kufuata huduma kijiji cha pili. Na Masoud…
4 Aprili 2024, 13:07
Kyela:Kishindo maadhisho ya wiki ya jumuiya ya wazazi Kyela Bondeni A yang’ara
Wakati chama cha mapinduzi ccm taifa kikiadhimisha wiki ya jumuiya ya wazazi wananchi wilayani kyela wametakiwa kusimamia kikamirifu suala la maadili na kutunza mazingira. Na Nsangatii Mwakipesile Maadhimisho ya wiki ya jumuiya ya wazazi wilayani kyela yamefanyika kwa kufanya usafi…
4 Aprili 2024, 11:56 MU
Jela miaka 30 Kwa kosa la kumbaka mwanafunzi wake
Mbaroni Kwa kosa la kumbaka mwanafunzi wake
4 Aprili 2024, 10:17
Madaktari bigwa kuweka kambi Mbeya,wananchi kunufaika
Unapokuwa na afya njema inakupa kuwa na mwendelezo wa kutimiza majukumu yako ikiwemo yale ya kiuchumi na yakijamii. Na Ezra Mwilwa Hospital ya Rufaa kanda ya Mbeya Imeandaa kambi maalumu ya upasuaji wa Ubongo, Uti wa mgongo na Mishipa ya…
3 Aprili 2024, 5:05 um
Mkoa wa Manyara wapaa mashindano Tajwid
Shekhe Kadidi aipongeza BAKWATA kwa kuuheshimisha mkoa wa Manyara Na mwandishi wetu Hawa Rashid Shekhe mkuu wa mkoa wa Manyara Mohamed Kadidi amelishukuru baraza kuu la wa Islam Tanzania BAKWATA kwa kuuheshimisha mkoa wa Manyara katika mashindano yakusoma Quraan tukufu…
3 Aprili 2024, 12:19
Halmashauri ya Songwe yaendelea kuhamasisha mfumo wa stakabadhi ghala kijiji kwa…
Timu maalumu ya mfumo wa stakabadhi ghala inafanya uhamasishaji ikiwa ni pamoja na kutoa elimu ya faida ya mfumo wa stakabadhi ghala ikiwa ni maandalizi ya msimu wa mavuno wa 2023/2024. Na mwandishi wetu Timu maalumu ya uhamasishaji wa mfumo…
3 Aprili 2024, 11:58 mu
Ujenzi wa Mabwawa ya kuvuna maji ya mvua yatasaidia kuondoa Mafuriko- Ifakara
“Maelekezo ya Mh Rais Samia Suluhu Hassani kwa Wizara ya maji na sekta zake ni kuhakikisha wanajenga mabwawa ya kimkakati ya kuvuna maji ya mvua ili kuzuia mafuriko”=Waziri wa Maji Mh,Juma Aweso Na Elias Maganga Wizara ya maji imesema leo…
3 Aprili 2024, 10:20 mu
DC KAMINYOGE ; Wananchi Jitokezeni kwenye Mikutano ya Hadhara
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Mhe, Aswege Enock Kaminyoge amewataka Wananchi wilaya hapo kujitokeza kwa Wingi katika Mikutano ya Hadhara inayoitishwa na Viongozi wao wa Vijiji na kata ili kutoa kero zao na changamoto mbalimbali zinazowakabiri. Mh Kaminyoge …
2 Aprili 2024, 3:43 um
Dkt. Biteko aipongeza Tanesco kurejesha umeme
“Hakuna mgao wala upungufu wa umeme kwa sasa hiki kilichotokea ni hitilafu kwenye mitambo ya kuzalisha umeme” Naibu Waziri Mkuu Dotto Biteko Na Elias Maganga Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amelipongeza shirika la…