Radio Tadio

Habari za Jumla

4 Aprili 2024, 10:17

Madaktari bigwa kuweka kambi Mbeya,wananchi kunufaika

Unapokuwa na afya njema inakupa kuwa na mwendelezo wa kutimiza majukumu yako ikiwemo yale ya kiuchumi na yakijamii. Na Ezra Mwilwa Hospital ya Rufaa kanda ya Mbeya Imeandaa kambi maalumu ya upasuaji wa Ubongo, Uti wa mgongo na Mishipa ya…

3 Aprili 2024, 5:05 um

Mkoa wa Manyara wapaa mashindano Tajwid

Shekhe Kadidi aipongeza BAKWATA kwa kuuheshimisha mkoa wa Manyara Na mwandishi wetu Hawa Rashid Shekhe mkuu wa mkoa wa Manyara Mohamed Kadidi amelishukuru baraza kuu la wa Islam Tanzania BAKWATA  kwa kuuheshimisha mkoa wa Manyara katika mashindano yakusoma Quraan tukufu…

3 Aprili 2024, 10:20 mu

DC KAMINYOGE ;  Wananchi  Jitokezeni   kwenye  Mikutano  ya  Hadhara

Mkuu  wa  Wilaya  ya  Maswa  Mkoani  Simiyu  Mhe,  Aswege  Enock  Kaminyoge  amewataka  Wananchi  wilaya  hapo  kujitokeza  kwa  Wingi  katika  Mikutano  ya   Hadhara  inayoitishwa  na  Viongozi  wao  wa  Vijiji  na  kata  ili  kutoa  kero  zao  na  changamoto  mbalimbali  zinazowakabiri. Mh  Kaminyoge …

2 Aprili 2024, 3:43 um

Dkt. Biteko aipongeza Tanesco kurejesha umeme

“Hakuna mgao  wala upungufu wa umeme kwa sasa hiki kilichotokea ni hitilafu kwenye mitambo ya kuzalisha umeme” Naibu Waziri Mkuu Dotto Biteko Na Elias Maganga Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko  amelipongeza shirika la…