Radio Tadio

Habari za Jumla

5 Aprili 2024, 13:51

Shughuli za binadamu zaathiri uhifadhi wa wanyamapori Kigoma

Licha ya Serikali na wadau wa uhifadhi nchini kuhimiza utunzaji wa mazingira kwa lengo la kunusuru uhai wa viumbe vinavyoishi kwenye misitu imeelezwa kuwa bado shughuli za binadamu zimeendelea kuathiri uhifadhi wa wanyamapori ikiwemo sokwe. Hayo yameelezwa na Mtafiti Dkt…

4 Aprili 2024, 8:45 um

Wananchi Katavi watakiwa kuchukua vitambulisho vya taifa

Afisa  Msajili  mamlaka ya vitambulisho vya taifa  wilaya ya Mpanda Mauna Karumbeta akiwa katika Studio za Mpanda Redio Fm .Picha na Anna Milanzi Amewataka wananchi kuthamini juhudi za serikali kwa kufika kuchukua vitambulisho na kuvitunza kwani serikali imetumia gharama“ Na…

4 Aprili 2024, 6:45 um

Baada ya daraja kubomoka wananchi wakosa huduma Rungwe

wananchi wakishuhudia daraja likisobwa na maji baada ya mvua kunyesha[picha na Lennox Mwamakula] Jamii imeshauriwa kutolima kwenye vyanzo vya maji kwani kunapelekea madhara makubwa kwenye shughuli za kibinadamu. Rungwe-Mbeya Na lennox Mwamakula Wananchi wilayani Rungwe wameiomba serikali kuwajengea daraja lililo…

4 Aprili 2024, 3:02 um

DC Maswa Atoa Siku 14 Watendaji Kukabidhiana Ofisi

Watendaji wote waliotajwa kula fedha za maendeleo zitokanazo na michango ya Wananchi ndani ya siku kumi na Nne warudishwe Ili kuja kujibu tuhuma na kufanya makabidhiano Mbele ya Serikali ya Kijiji. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani  Simiyu  Aswege Kaminyoge  ametoa siku…

4 Aprili 2024, 10:17

Madaktari bigwa kuweka kambi Mbeya,wananchi kunufaika

Unapokuwa na afya njema inakupa kuwa na mwendelezo wa kutimiza majukumu yako ikiwemo yale ya kiuchumi na yakijamii. Na Ezra Mwilwa Hospital ya Rufaa kanda ya Mbeya Imeandaa kambi maalumu ya upasuaji wa Ubongo, Uti wa mgongo na Mishipa ya…