Radio Tadio

Habari za Jumla

25 Aprili 2024, 16:05

DC Kasulu: Mnafanyia kazi mahali pachafu

Natamani kuona juhudi za serikali inazofanya kuboresha majengo ya vituo vya afya zinatumika pia kwenye kusimamia usafi ili wananchi wapate huduma mahali pasafi sio mgonjwa anakutana na uchafu hawezi hata kupona. Na Michael Mpunije – Kasulu Mkuu wa Wilaya ya…

25 Aprili 2024, 14:49

Wanachuo Kasulu wakosa vifaa vya kujifunzia

Serikali imeombwa kusaidia kutatua changamoto ya ukosefu wa vifaa vya kujifunzia wanafunzi wa chuo cha ualimu kaslu Mkoani Kigoma. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Chuo cha Ualimu Kasulu (Kasulu TTC) kilichopo halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma kinakabiliwa na changamoto…

25 Aprili 2024, 1:49 mu

Dsw kuimarisha mifumo ya kuzuia ukatili wa kijinsia

ili kukabiliana na vitendo ya ukatili wa kijinsia kwa watoto jamii imetakiwa kuwa mstari wa mbele kutoa tarifa kwenye vyombo vya kisheria. MBEYA Na Lennox Mwamakula Shirika lisilo la kiserikali la DSW Tanzania linalojihusisha na masuala ya maendeleo Kwa vijana…

24 Aprili 2024, 19:42

CSK: watoa elimu ya ukatili Mtwara vijijini

Matukio ya ukatili wa kijinsia umekuwa ukitokea katika maeneo mbalimbali ya wilayani Mtwara hivyo ndio sababu iliyotufanya kuja kutoa elimu hapa katika Kijiji cha Nanguruwe. Na Gregory Milanzi Shirika lisilo la kiserikali la utafiti (CSK) kwa kushirikiana na Jeshi la…

24 Aprili 2024, 15:02

Ujasiriamali kuwaponza walimu Kibondo

Baadhi ya walimu katika shule ya msingi Boma wilayani Kibondo mkoani Kigoma kwa kushirikiana na kamati ya shule hiyo wanatuhumiwa kuwazuwia wajasiliamali wadogo kuuza bidhaa zao kando na shule hiyo na badala yake walimu ndio wamegeuka wafanyabiashara badala ya kufundisha…

24 Aprili 2024, 10:46 mu

Maswa wanogesha muungano kwa kutoa madawati

Wakuu wa Idara Halmashauri ya Wilaya ya Maswa wamekabidhi Seti za Madawati Miatatu kwa ajili ya Shule za Msingi na Sekondari ili kupunguza Uhaba unaozikabiri shule hizo baada ya kujibana kwenye Bajeti za Matumizi ya Ofisi zao Na Nicholaus Machunda…

23 Aprili 2024, 6:12 um

Dc Maswa awashukia viongozi wazembe

Wananchi wakeleka na utendaji kazi wa wenyeviti wa vitongoji na vijiji kushindwa kuwasikiliza kero zinawakabili ambazo zipo kwenye uwezo wa viongozi hao hivyo kuondoa uaminifu kwao Na,Paul Yohana Mkuu wa wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, Aswege Kaminyoge awewataka wenyeviti wa…

23 Aprili 2024, 17:20

Vijiji 52 Mvomero kunufaika na mradi wa LTIP

lengo ni kuandaa jumla ya Mipango Shirikishi ya Matumizi ya Ardhi ya Vijiji 52 katika Wilaya ya Mvomero ambapo hadi kufikia sasa tayari mipango 48 imekwishaandaliwa Na Mwandishi Wetu Vijiji takribani 52 katika Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro vitanufaika na…