Radio Tadio

Habari za Jumla

15 Novemba 2025, 08:15

Mmoja afariki ajali Songwe

Kutokana na uzembe wa madereba barabara ajali zimezidi kukatisha uhai wa watu wengi Na Ezekiel Kamanga Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe, Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACP) Agustino Senga, amethibitisha kutokea kwa ajali mbaya ya barabarani iliyoua mtu mmoja…

13 Novemba 2025, 8:51 um

Rais wa Zanzibar ataja mawaziri 16

“Mawaziri na manaibu waziri nilioteua hakikisheni mnatekeleza majukumu yanu kwa uwajibikaji, uadilifu na kasi ya maendeleo, ili kutimiza matarajio ya wananchi wa Zanzibar” Na Mary Julius. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametangaza…

11 Novemba 2025, 5:12 um

RC Sendiga azindua majiko banifu

Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, amezindua rasmi mradi wa uuzaji na usambazaji wa majiko banifu kwa bei ya ruzuku mkoani Manyara ambapo Uzinduzi huu ni sehemu ya utekelezaji wa mkakati wa kitaifa wa upatikanaji na uhamasisha wa matumizi…

29 Oktoba 2025, 10:49 mu

DC Kiteto ajitokeza kupiga Kura

Mkuu wa wilaya ya Kiteto Remidius Mwema, amesema hali ya usalama katika wilaya yake imeimarika katika vituo vyote vya kupigia kura na kuwataka wananchi kuendelea kujitokeza kupiga kura Ili wawachague viongozi wanaowataka. Na Mzidalfa Zaid Mwema amesema hayo wilayani Kiteto…

28 Oktoba 2025, 6:20 um

Jeshi la polisi Manyara laimarisha usalama kuelekea October 29

Jeshi la polisi mkoani Manyara limesema  kuwa limejipanga kuimarisha  ulinzi na usalama siku ya uchaguzi mkuu ambao unatarajia kufanyika october 29 mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake,kamanda wa jeshi la polisi mkoani Manyara Ahmed Makarani, amesema jeshi…

28 Oktoba 2025, 9:52 mu

Athari za rushwa kipindi cha uchaguzi

Afisa TAKUKURU mkoa wa Katavi Leonard Minja. Picha na Anna Mhina Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Katavi imeweka bayana athari zitokanazo na rushwa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025.…

25 Oktoba 2025, 8:28 um

Wenye ulemavu Nyangh’wale wanufaika na mikopo 10%

Kupitia programu ya uwezeshaji wananchi kiuchumi, Halmashauri ya Wilaya ya Nyang’hwale imefanikiwa kukopesha vikundi 114 kwa mwaka wa fedha 2024/2025, kwa jumla ya shilingi milioni 674.5 Na Mrisho Sadick: Watu wenye ulemavu wilayani Nyang’hwale mkoani Geita wameendelea kunufaika na mpango…

25 Oktoba 2025, 16:37

RPC Mbeya aongoza wananchi mbio za pole

kutokana kiongozi mbio za mwenge mwaka huu kuitaja halmashauri ya Mbeya kuibuka washindi wa mbio hizo wamefanya tafrija ya kujipongeza pamoja na wananchi. Na Ezra Mwilwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Kamishina Msaidizi Mwandamizi (SACP) Benjamin Kuzaga ameongoza mbio…

25 Oktoba 2025, 3:16 um

Makarani 792  wa Uchaguzi Maswa wapewa Somo

Makarani  waongozaji  wapiga  Kura  katika  Jimbo la  Maswa  Mashariki na Jimbo la  Maswa Magharibi wameaswa  kuzingatia  Kanuni, Miongozo  na  Sheria  za  Uchaguzi   zilizotolewa na Tume Huru ya  Taifa ya Uchaguzi  ili kuepuka  migogoro isiyokuwa ya lazima Nasaha  hizo zimetolewa  na …