Habari za Jumla
Febuari 14, 2026, 10:26 mu
Diwani aomba serikali kujenga shule ya sekondari
”Kata ya Nyahanga ina shule za msingi tano, huku ikiwa na shule moja ya sekondari ambayo imekuwa ikipokea wanafunzi wengi hali inayosababisa kuongeza shule nyingine ya pili ili kuondokana na changamoto kuwa na wanafunzi wengi” Diwani wa kata ya Nyahanga,…
13/02/2026, 10:50
Upendo na ukarimu hakupunguzi kiwango cha elimu zenu
Misemo na methali mbalimbali zinaendelea tukumbusha kutenda mema kama vile usimdharau usiemjua hii inatukumbusha kuwa kutenda mema wakati wote bila kuchagua ni nani wakumtendea wema huo hii uleta amani na upendo kwa aliyetendewa. Na,Lilian Martin Waziri wa Afya Mhe,Muhammed Mchengerwa…
13/02/2026, 08:59
CBT yasisitiza wakulima upogoleaji na utibuaji wa Mashamba ya Mikorosho
Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania, Frances Alfred, amewataka wakulima kuzingatia upogoleaji na utibuliaji wa mashamba kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Amesema ruzuku za pembejeo zimeongeza uzalishaji, huku akisisitiza umuhimu wa kudumisha ubora wa korosho ili kupata bei nzuri…
Febuari 12, 2026, 8:14 um
Wanafunzi wote wanapaswa kuripoti shuleni
‘Tunapaswa kuhakikisha wanafunzi wote wenye sifa wanaenda shule madiwani waote na wakuu wa idara ya elimu mkasimamie hilo na kuzingatia chakula kinapatikana shuleni Kwa ajili ya lishe Kwa wanafunzi” Katibu tawala Wilaya ya Bunda Salmu Alfan Mtelela Na Amos Marwa…
12/02/2026, 16:59
TMA Manyara yatoa mwelekeo wa mvua mwezi march –may
Mamlaka ya hali ya hewa mkoa wa Manyara imesema kwa kipindi cha kuanzia mwezi march hadi mwezi mei kunatarajiwa kuwa na mvua za kiwango cha kawaida hadi wastani. Na Mzidalfa Zaid Akiongea na fm Manyara meneja wa TMA mkoa wa…
Febuari 11, 2026, 7:44 mu
Madiwani Ushetu hakikisheni miradi ya maendeleo inakamilika
”Madiwani hakikisheni miradi ya maendeleo inakamilika kwa wakati katika kata zenu” Madiwani wa Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuhakikisha miradi ya maendeleo inakamilika kwa wakati katika kata zao, pamoja na kutatua changamoto zinazowakabili wananchi. Wito huo umetolewa…
05/02/2026, 16:58
97% ya watanzania wanafanya kazi sekta ya madini
Mabadiliko makubwa ya sheria ya madini yaliyofanyika mwaka 2017 yameleta mafanikio makubwa kwa Watanzania katika sekta ya madini, ambapo katika migodi mikubwa ya madini iliyopo nchini asilimia 97 ya wafanyakazi ni Watanzania na zaidi ya asilimia tisini ya uongozi na…
Febuari 5, 2026, 12:39 um
Benki ya NMB yatoa msaada taasisi za elimu na afya
Picha ya meneja wa Benki ya NMB Baraka Ladislaus Katika kuchangia wanafunzi kupata elimu bora na huduma bora za afya Benki ya NMB imetoa msaada wa vifaa mbalimbali katika zahanati na shule za msingi halmashauri ya Babati Mkoani Manyara Na…
02/02/2026, 18:57
RC Songwe azindua gari SORECU
Hafla ya uzinduzi na kukabidhi gari ya SORECU. Na Devi Moses MKUU wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Jabiri Makame, amezindua na kukabidhi gari la Chama Kikuu cha Ushirika Mkoa wa Songwe (SORECU), lililonunuliwa kwa fedha za chama hicho, katika hafla…
2 Febuari 2026, 4:58 um
‘Maendeleo ya kijiji yanaletwa na wananchi wenyewe’ – Edwine L…
Na Henry Keto, Hai-Kilimanjaro Wananchi wa kijiji cha kwasadala kata ya Masama Kusini, Wilaya ya Hai Mkoani Kilimajaro wamejitokeza kwa wingi kusikiliza bajeti ya mapato na matumizi ya kijiji pamoja na kujadili maendeleo ya kijiji chao. Na Henry Keto, Hai-Kilimanjaro…