Radio Tadio

Habari za Jumla

25 October 2025, 3:16 pm

Makarani 792  wa Uchaguzi Maswa wapewa Somo

Makarani  waongozaji  wapiga  Kura  katika  Jimbo la  Maswa  Mashariki na Jimbo la  Maswa Magharibi wameaswa  kuzingatia  Kanuni, Miongozo  na  Sheria  za  Uchaguzi   zilizotolewa na Tume Huru ya  Taifa ya Uchaguzi  ili kuepuka  migogoro isiyokuwa ya lazima Nasaha  hizo zimetolewa  na …

24 October 2025, 8:47 pm

Serikali yalipa fidia bilioni 2.9 Manyara

Kaya (28) za maeneo ya Msasani Maisaka A na Maisaka Kati Wilayani Babati, mkoa wa Manyara zimelipwa fidia ya bilioni 2.9 baada ya maeneo yao kuchukuliwa  na serikali kwa matumizi ya huduma za kijamii. Na Mzidalfa Zaid Taarifa ya malipo…

24 October 2025, 6:03 pm

Reuben Sagayika atembelea wananchi mbalimbali Kalangalala

Zimesalia siku 4 ili wananchi nchini waweze kushiriki haki ya msingi na ya kikatiba ya kupiga kura kuchagua madiwani, wabunge na Rais. Na: Ester Mabula Mgombea Udiwani wa kata ya Kalangalala kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Reuben Sagayika…

24 October 2025, 5:54 pm

Watumishi wa mahakama wahimizwa kutenda haki

Mkuu wa mkoa wa manyara Queen Sendiga amehimiza watumishi wa mahakama kufanya kazi kwa uadilifu, ambapo amesema kwa sasa malalamiko ya kuzilalamikia mahakama yamepungua Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amewataka wajumbe wa kamati ya maadili…

24 October 2025, 17:26

Jeshi la zimamoto Kigoma lapata mitambo mipya

Jeshi la zimamoto na uokoaji Mkoani Kigoma limepokea mtambo wa kisasa wa kuzima moto na vitendea kazi vitakavyowezesha kuboresha upatikanaji wa huduma za zimamoto kwa wananchi. Na Orida Sayon Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro amekabidhi magari manne…

24 October 2025, 9:40 am

Vijiji 40 kunufaika na kilimo cha umwagiliaji Manyara

Uchimbaji wa visima virefu 40 vya umwagiliaji, katika vijiji 40 vya Wilaya tano za mkoa wa Manyara kuwanufaisha wananchi Zaidi ya 650 kwa awamu ya kwanza Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, amezindua uchimbaji wa visima…

22 October 2025, 12:45 pm

TAKUKURU Mpanda yaeleza athari za rushwa kipindi cha uchaguzi

Afisa wa TAKUKURU Leonard Minja akizungumza na Mpanda radio. Picha na Anna Mhina “Rushwa ikifumbiwa macho hupelekea jamii nzima kuathirika” Na Samwel Mbugi Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Katavi imeweka bayana athari zitokanazo na rushwa…

20 October 2025, 22:23 pm

Dkt. Nanauka aahidi kuimarisha uchumi Mtwara

Dkt. Joel Nanauka, mgombea ubunge Mtwara Mjini kwa tiketi ya CCM, ameahidi kuimarisha uchumi wa mji huo, kukuza ajira na kuwawezesha wajasiriamali endapo atachaguliwa. Pia amesisitiza utekelezaji wa miradi mikubwa ya maendeleo kwa kushirikiana na Serikali Na Musa Mtepa Mtwara,…