June 26, 2025, 12:55 pm

Wadau wa jukwaa la kilimo Bunda washauriwa kutoa elimu kwa Wakulima

Viongozi wa jukwaa la Wakulima Bunda. Picha na Revocatus Endrew “Tusikae na kujadili na kuishia kwenye vikao maana itakuwa ni kama hadithi tu inabinidi tunde kwa wakulima na kuwashawishi wa kulima kwa ajili ya kilomo chenye tija”. Mwenyekiti wa jukwaa…

Offline
Play internet radio

Recent posts

June 26, 2025, 12:55 pm

Wadau wa jukwaa la kilimo Bunda washauriwa kutoa elimu kwa Wakulima

Viongozi wa jukwaa la Wakulima Bunda. Picha na Revocatus Endrew “Tusikae na kujadili na kuishia kwenye vikao maana itakuwa ni kama hadithi tu inabinidi tunde kwa wakulima na kuwashawishi wa kulima kwa ajili ya kilomo chenye tija”. Mwenyekiti wa jukwaa…

June 20, 2025, 6:12 pm

Mwenyekiti bodi ya maji Bunda akagua mradi wa maji Mgango-Kiabakari

“Vijiji vyote vilivyopitiwa na mradi wa maji ikiwemo Bisarye, Nyamswa,Ikizu na Bukama vinufaike na mradi ili kupunguza uharibifu kwa miundombinu ya maji kwa vijiji ambavyo sio wanufaika” Joshua Mirumbe Mwenyekiti wa Bodi ya Maji Wilaya ya Bunda Na Amos Marwa…

June 14, 2025, 10:11 am

Wanafunzi Bunda wahamasishwa kupanda miti

”Upandaji miti ni njia mojawapo ya utunzaji wa mazingira,kupata kivuri na upatikanaji wa matunda ya kutosha katika jamii yetu” Tegemeo Masiti mhifadhi misitu Wilaya ya Bunda. Na Witness Joseph Akizungumza na Bunda Fm Radio kwenye kipindi cha ukurasa mpya mhifadhi…

May 28, 2025, 1:26 pm

Wakazi wa mtaa wa Kilimani Bunda Mji  walalamika kuharibika kwa daraja

Wakazi wa Mtaa wa Kilimani Halmashauri ya wilaya ya Bunda wameomba Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA), kutengeneza daraja la barabara ya kilimani karibu na stendi mpya liloharibika kutokana na mvua zilizonyesha hivi karibuni. Wakizungumza na Bunda FM Radio…

May 21, 2025, 11:50 am

Madiwani Bunda Mji watakiwa kushirikiana na wakuu wa idara ya elimu

”Madiwani shirikianeni na watendaji wa mitaa pamoja na wazazi ili kuhakikisha upatikanaji wa chakula cha mchana kwa ajili ya wanafunzi wa shule za Msingi na Sekondari”, Salum K. Mtelela katibu tawala Wilaya ya Bunda. Na Amos Marwa Katibu tawala wa…

May 21, 2025, 11:20 am

Wananchi Bunda kuchagua viongozi waadilifu, waleta maendeleo

”Siasa ni maisha lazima tuchague viongozi wanaokuwa karibu na wananchi na wanaojuwa maisha ya wananchi wanaowaongoza”, maoni ya mwananchi wilayani Bunda. Na Amos Marwa Wananchi Wilayani Bunda wamesema kueelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Octoba mwaka huu wamejipanga kuchagua Viongozi waadilifu, wasio…

April 30, 2025, 1:34 pm

Mama ahukumiwa miezi sita nje ya jela wilayani Bunda kwa ukatili

 ‘‘Naomba mahakama itoe adhabu kali kwa mshitakiwa ili iwefundisho kwa jamii kuacha tabia ya ukatili dhidi ya  watoto’’. Aristariko Msongelo mwendesha mashitaka wa Jamhuri Wilaya ya Bunda. Na Adolf Mwolo Mahakama wilayani Bunda imemhukumu kifungo cha miezi 6 cha nje…

April 29, 2025, 12:22 pm

Wananchi wilayani Bunda wametakiwa kuchukua vitambulisho vyao vya Taifa (NIDA)

”Tumepokea maelezo kutoka kwa Mkurugenzi mkuu wa NIDA, James Kaji, kufikia mei mosi 2025 kuwa wananchi wote waliotumiwa ujumbe mfupi wa sms kujulishwa upatikanaji wa vitambulisho vyao lakini hawajajitokeza kuchukua vitasitishwa” Hilkia Nyamongo,kaimu Afisa usajili NIDA Wilaya ya Bunda. Na…

Bunda FM Radio

SLOGAN: Our station has decided to use ‘‘NGURUMO YA JAMII’’ or a ‘‘COMMUNITY’S ROAR’’ which
symbolise that the station is not for individual but for all people to express their socio-economic
issues which they normally encounter when fulfilling their day to day livelihood through our
structured programs.
OURPOLICY: Fairness, Professionalism, and Accuracy. This enables the staff to carry out their duties and
reporting in fairness to all issues of public concern with accuracy based on professional ways of
journalism.
GEOGRAPHICALAREA: Bunda FM 92.1 Ngurumo ya jamii is specifically situated at Bunda district in Mara region in the western part of Lake Victoria.
Bunda FM is operating its programs 24hours/7days and our day start 5.00 am and ends at 5.00 am in
the next day.
 Dissemination of educative programs through provision of accuracy flow of information,
timely with fairness.
 Filling the gap of development programs by producing informative and entertainment
programs.
 Broadcasting programs based on social, economic, cultural, political, religious, entertainment,
current affairs, cross-cutting issues and all issues affecting the targeted community livelihood.

CONTACT US:
Bunda FMLTD, 92.1MHz
P.O. BOX 452
BUNDA-MARA
E-mail: Ngurumoyajamii@bundafm.co.tz
Website:
www.bundafm.co.tz
PNONENO: +255 754279 340
+255 755 029 400
+255 717 457 216