Radio Tadio

Habari za Jumla

11 February 2026, 7:44 am

Madiwani Ushetu hakikisheni miradi ya maendeleo inakamilika

”Madiwani hakikisheni miradi ya maendeleo inakamilika kwa wakati katika kata zenu” Madiwani wa Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuhakikisha miradi ya maendeleo inakamilika kwa wakati katika kata zao, pamoja na kutatua changamoto zinazowakabili wananchi. Wito huo umetolewa…

5 February 2026, 16:58

97% ya watanzania wanafanya kazi sekta ya madini

Mabadiliko makubwa ya sheria ya madini yaliyofanyika mwaka 2017 yameleta mafanikio makubwa kwa Watanzania katika sekta ya madini, ambapo katika migodi mikubwa ya madini iliyopo nchini asilimia 97 ya wafanyakazi ni Watanzania na zaidi ya asilimia tisini ya uongozi na…

5 February 2026, 12:39 pm

Benki ya NMB yatoa msaada taasisi za elimu na afya

Picha ya meneja wa Benki ya NMB Baraka Ladislaus Katika kuchangia wanafunzi kupata elimu bora na huduma bora za afya Benki ya NMB imetoa msaada wa vifaa mbalimbali katika zahanati na shule za msingi halmashauri ya Babati Mkoani Manyara Na…

2 February 2026, 6:57 pm

RC Songwe azindua gari SORECU

Hafla ya uzinduzi na kukabidhi gari ya SORECU. Na Devi Moses MKUU wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Jabiri Makame, amezindua na kukabidhi gari la Chama Kikuu cha Ushirika Mkoa wa Songwe (SORECU), lililonunuliwa kwa fedha za chama hicho, katika hafla…

27 January 2026, 14:46

Sekta binafsi yahimizwa kusaidia kuokoa maisha kupitia uchangiaji damu

Na Mary Julius. Balozi wa Utalii Zanzibar, Lois Inninger, amezitaka kampuni binafsi zinazofanya shughuli zake hapa nchini kurudisha kwa jamii sehemu ya faida wanazozipata, kwa kuchangia misaada mbalimbali itakayosaidia kuboresha ustawi wa jamii, hususan katika sekta ya afya.  Balozi Inninger…

27 January 2026, 2:15 am

Kabanga yawaita wananchi Kasulu kupata huduma za kibingwa

Wananchi waeleza furaha ya huduma za madaktari katika hospitali ya Rufaa Kabanga iliyopo wilayani Kasulu na kupongeza uongozi kwa kuendelea kuwaborishea huduma za afya. Na; Sharifat Shinji Hospitali ya Rufaa Kabanga iliyopo Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma imewaomba wananchi kujitokeza…