Habari za Jumla
18 January 2026, 20:49
Changamoto wasaidizi wa sheria Zanzibar ZAPONET yasisitiza uandishi wa miradi
Na Mary Julius. Mkurugenzi wa Mtandao wa Jumuiya za Wasaidizi wa Sheria Zanzibar, ZAPONET Zanzibar, Asia Abdulsalam Hussein, amesema ili jumuiya za wasaidizi wa sheria ziweze kufanya kazi kwa ufanisi, ni lazima zijikite katika uandishi wa miradi na utafutaji wa wafadhili, hatua…
16 January 2026, 7:04 pm
Sokwemtu hatarini kutoweka katika Hifadhi ya Taifa Gombe
Shughuli za binadamu ikiwemo kilimo, uchomaji wa mkaa, ukataji miti kwa ajili ya nishati kuni pamoja na naongezeko la makazi ya watu katika maeneo ya Hifadhi ya Taifa Gombe mkoani Kigoma, zimetajwa kusababisha mabadiliko ya Tabianchi katika eneo hilo hali…
14 January 2026, 5:47 am
Serikali ya mtaa wa Mpanda hotel yajipanga kutengeneza madawati
Madawati mabovu yaliyopo katika shule ya msingi Mpanda. Picha na Rhoda Elias “Tayari tumeshawaelekeza mafundi wamekuja na kufanya tathimini yao” Na Rhoda Elias Serikali ya mtaa wa Mpanda hotel imefanya ziara katika shule ya msingi Mpanda iliyopo manispaa ya Mpanda…
10 January 2026, 3:41 pm
Mkombozi Paralegal watoa elimu ya ukatili Katavi
Afisa maendeleo akitoa elimu kwa wananchi. Picha na Anna Milanzi “Tunawajengea uwezo kamati hizo kwa kuziimarisha” Na Anna Milanzi Taasisi ya Mkombozi Paralegal iliyopo mkoani Katavi imeendelea kuwawezesha wananchi kupata elimu ya masuala ya ukatili wa kijinsia na kuwawezesha kutambua…
9 January 2026, 13:10
Mradi wa maji matamu kutilia mkazo Kauli mbiu ya kumtua mama ndoo kichwani
Na Catherine Sekibaha Makala hii inazungumzia mradi wa miji 28 unaotarajiwa kutoa maji baridi yaani yasiyo na chumvi ambao umejumuisha wilaya ya Pangani, Muheza, Korogwe na Handeni ambapo unakwenda kumaliza changamoto ya upatikanaji wa maji. Mradi huo unatarajiwa kumaliza changamoto…
9 January 2026, 10:26 am
Serikali yaahidi kuiboresha DIT
Kwa malengo ya kuongeza ubora wa taaluma Na Devi Moses SERIKALI imeahidi kuendelea kuboresha na kuendeleza Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam(DIT) Kampasi ya Songwe ili kuongeza ubora wa mafunzo ya ufundi nchini. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu,…
5 January 2026, 16:00
Jamii FM yatoa tuzo kwa wasikilizaji bora wa mwaka 2025
Jamii FM Redio imetangaza wasikilizaji na wachangiaji bora wa vipindi vyake kwa mwaka 2025. Washindi walichaguliwa na wasikilizaji kupitia SMS na kukabidhiwa tuzo katika hafla iliyofanyika katika studio za kituo hicho Na Musa Mtepa Jamii FM Redio imetangaza wasikilizaji na…
21 December 2025, 7:25 pm
Kabanga yawatunuku vyeti vya utumishi bora wafanya kazi
Watumishi wa hospitali ya rufaa Kabanga wamekutana kwa pamoja kusherehekea shelehe ya funga mwaka ilizoambatana na burudani mbalimbali na utunukiwaji wa vyeti kwa baadhi ya watumishi waliofanya vizuri katika idara zao kwa mwaka 20225. Na; Sharifat Shinji Hospitali ya rufaa…
19 December 2025, 1:58 pm
Wiki ya afya Kabanga yawagusa zaidi ya 600 Kasulu
Wananchi wa Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma wameshukuru huduma za hospitali ya rufaa Kabanga kwa kutoa huduma za vipimo na matibabu bure ikiwa ni wiki ya afya Kabanga iliyoambatana na kauli mbiu ya “Tuungane kutokomeza magonjwa yasiyoambukizwa” iliyofanyika katika viwanja…
13 December 2025, 3:25 pm
CRDB kuwanufaisha wakulima Buhigwe
Wakulima wilayani Buhigwe kupitia kwa mbunge wa jimbo la Buhigwe Prof. Pius Yanda wamenufaika na mafunzo ya mikopo kutoka Taasisi ya kifedha ya Bank ya CRDB kwa ajili ya kuendesha shughuli za kilimo kupitia mikopo hiyo. Na; Sharifat Shinji Wakulima…