Radio Tadio

Habari za Jumla

14 Oktoba 2023, 06:16

LATRA yatoa msimamo wa upandaji wa nauli za daladala Mbeya

Madereva mbeya wamekuwa na mgomo ambao umepelekea changamoto ya ukosefu wa usafiri,na baadhi ya wahudumu kuwatoza abria nauli ya shilingi 700 kutoka mbalizi hadi kabwe tofauti na nauli ya awali ya shilingi 500. Mamlaka Ya Udhibiti Usafiri Ardhini LATRA mkoa…

Oktoba 3, 2023, 6:01 mu

DC Ileje aagiza machifu wapewe ushirikiano

Na Denis Sinkonde Mkuu wa wilaya ya Ileje mkoani Songwe Mhe.Farida Mgomi amewaagiza viongozi wa serikali wilayani humo kutoa ushirikiano na machifu kukemea matukio ya uvunjifu wa amani na uharibifu wa mazingira. Mgomi amesema hayo Oktoba 2,2023 ikiwa ni siku…

29 Septemba 2023, 12:34 um

TBA yaupiga mwingi mradi wa majengo mkoa wa Geita

Na Zubeda Handrish- GeitaWakala wa majengo Tanzania (TBA) kupitia kwa Meneja wa TBA mkoa wa Geita Mhandisi Gladys Jefta Septemba 28,2023 amesema awamu ya kwanza (phase one) ya ujenzi wa majengo saba ya serikali  katika Mkoa wa Geita imekamilika ambapo…

27 Septemba 2023, 11:15 um

Wanawake someni sayansi mkaongoze meli Pemba

Kutokana kwa uwepo wa wanawake wachache kwenye sekta ya bahari hasa kuwa mabaharia ndio asasi mbali mbali kuungana kuhamasisha maskuli ili wasome masomo ya sayansi wawepo kwenye sekta hiyo. Na Fatma Rashid Wanafunzi kisiwani Pemba wametakiwa kizingatia masomo ya sayansi…

27 Septemba 2023, 2:34 um

Serikali yaombwa kuendelea kutoa elimu juu ya kukabiliana na majanga

Wataalam wamekuwa wakishauri wafanyabiashara, wananchi kufundishwa kukabiliana na majanga ya moto ikiwemo Kuepuka makazi holela, kuhimiza miundombinu ya kisasa pamoja utekelezaji wa sheria upewe kipaumbele. Katende Kandole. Baadhi ya wakazi wa jiji la Dodoma wameiomba serikali kuendelea kutoa elimu kwa jamii…