Habari za Jumla
7 Disemba 2023, 2:20 um
Mvua za juu ya wastani kunyesha ndani ya kipindi cha siku tano zijazo-TMA
Mkurugenzi wa Miundombinu na Huduma za ufundi wa ,Mamlaka ya hali ya hewa nchini Dokta Paskali Wanyiha,akielekeza jambo.Picha na Anthony Masai. Licha ya maeneo mengi ya nchi kuendelea kupata mvua za kiwango cha juu ya wastani na kusababisha mafuriko katika…
7 Disemba 2023, 1:43 um
Ndege kuruka saa 24 Arusha
Uwanja wa ndege wa Arusha ni uwanja unaoongoza kwa kupokea ndege nyingi kuliko viwanja vyote nchini Tanzania lakini hautumiki kwa saa 24 kwa sababu ya kukosa taa. Na.Anthony Masai Serikali ipo katika hatua za mwisho za kuanza kuweka taa katika…
5 Disemba 2023, 14:58
Rungwe kupokea vitambulisho vya taifa 69,638
Na mwandishi wetu Mkuu wa wilaya ya Rungwe Mhe. Jaffar Haniu amezindua zoezi la ugawaji wa vitambulisho vya taifa (NIDA) leo tarehe 5.12.2023. Zoezi limezinduliwa katika kata ya Kyimo tarafa ya Ukukwe. Mhe Haniu ameeleza kuwa jumla ya vitambulisho 69638…
2 Disemba 2023, 10:58 um
TUWAKA Saccos kukusanya zaidi TSh. mil. 507 mwaka 2024
TUWAKA SACCOS LTD (Tufaane Walimu Karagwe na Kyerwa) ni ushirika wa akiba na mikopo unaojengwa na walimu wote wa Karagwe na Kyerwa pamoja na wafanyakazi walioko chini ya Mkurugenzi wa Halmashauri Na Ospicia Didace Kyerwa Mrajisi msaidizi wa vyama vya…
30 Novemba 2023, 6:16 um
Mazingira duni, malezi tishio haki za watu wenye ulemavu Zanzibar
Licha ya utaoji wa elimu na hatuambalimbali zinazochukuliwa na SerIkali ya Mapinduzi ya Zanzibar juu ya jamii kutambua haki, wajibu na usawa kwa watu wenye mahitaji maalum, bado inaonesha kuwa mwamko ni mdogo kutokana na baadhi ya jamii kuwa na…
27 Novemba 2023, 19:10
Milioni kumi na tano zamwangwa kukarabati machinjio ya Mikoroshoni
Jumla ya shilingi milioni kumi na tano zimetolewa na serikali ya awamu ya sita kwaajiri ya ujenzi wa miundombinu ya machinjio ya kisasa hapa wilayani Kyela. Na James Mwakyembe Wakati serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ikiendelea kuboresha miundombinu…
23 Novemba 2023, 10:18 mu
Rungwe yakusanya 122.22% ya mapato robo ya kwanza
Elimu ya ulipaji wa kodi inayotolewa kwa jamii imeonesha matokeo chanya kwa baadhi ya halmashauri hapa nchini kwa kuvuka malengo ya ukusanyaji wa mapato. RUNGWE-MBEYA Na lennox mwamakula Halmashauri ya wilaya ya Rungwe katika kipindi cha robo ya kwanza kuanzia…
16 Novemba 2023, 8:38 um
DC Maswa atekeleza agizo la Makonda, akabidhi ng’ombe 20
Na Nicholaus Machunda Mkuu wa wilaya ya Maswa mkoani Simiyu Mh. Aswege Kaminyoge ametekeleza agizo lililotolewa na Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Makonda akiwa katika ziara yake wilayani Busega la kumkabidhi Felister Jayunga mama aliyeibiwa ng’ombe wake. Mwenyekiti …
16 Novemba 2023, 8:22 um
DC Maswa aonya wanaohujumu miundombinu ya maji
Na Nicholaus Machunda Mkuu wa wilaya ya Maswa mkoani Simiyu Mh, Aswege Kaminyoge ameonya wananchi wanaohujumu miundombinu ya maji yanayotoka Ziwa Viktoria kuja kata ya Sengwa iliyopo wilayani hapa kupitia wilaya ya Kishapu. Mh Kaminyoge amesema hayo wakati Kamati ya Ulinzi na Usalama ya wilaya ilipotembelea mradi huo ambao umekuwa ukihujumiwa mara kwa mara …
14 Novemba 2023, 12:56 um
Ulaji wa vyakula vya mafuta na wanga bila mazoezi ni chanzo cha magonjwa yasiyoa…
Magonjwa yasiyokuwa ya kuambukizwa ni magonjwa anayoweza kuyapata mtu yeyote bila kuambukiza watu wengine Na: Shabani Ngarama, Karagwe Imeelezwa kuwa chanzo kikubwa cha magonjwa yasiyoambukiza kwa wananchi wa wilaya ya Karagwe ni ulaji mbaya wa vyakula vya mafuta na wanga,…