Radio Tadio

Habari za Jumla

9 Febuari 2024, 2:16 um

TAKUKURU Katavi yajipanga uchaguzi serikali za mitaa

Tumejipanga kutoa elimu na kuzuia rushwa  kwa Wananchi na wagombea Ili kuhakikisha uchaguzi wa serikali za mitaa  unakuwa huru na haki kwa mwaka huu na Uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.Picha na mtandao Na Samweli Mbhugi-Katavi Taasisi ya kuzuia na kupambana…

9 Febuari 2024, 13:56

Wanafunzi 600 hawajaripoti shule wilayani kibondo

Ofis ya Eliu wilayani Kibondo imeanza msako wa kuwatafuta wanafunzi waliofaulu kujiunga kidato cha kwanza na hawajaripoti shuleni mpaka sasa. Na, James Jovin Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma imeanza msako wa wanafunzo wote ambao bado hawajajiandikisha kuanza masomo…

8 Febuari 2024, 3:31 um

Madiwani waonywa Rungwe

Wanasiasa wametakiwa kuwa msitari wa mbele kuwahamasisha wananchi katika shughuli za kimaendeleo ili kuimarisha uchumi wa mmojammoja na Taifa kwa ujumla. RUNGWE-MBEYA Na Lennox MwamakulaMkuu wa halmashauri ya wilaya ya Rungwe Jaffar Hanniu amewataka wafanyabiashara kutopanga bidhaa zao kando ya…

7 Febuari 2024, 15:23

Wafanyabiashara Kasulu wahimizwa kutunza mazingira

Wafanyabiashara na wajasiriamali katika halmashauri ya Mji wa Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuwa na vitunzia taka katika maeneo yao kwa ajili ya kuhifadhi uchafu.  Na, Mwandishi wetu Emmanuel Kamangu anasimulia zaidi