Radio Tadio

Habari za Jumla

7 Disemba 2023, 1:43 um

Ndege kuruka saa 24 Arusha

Uwanja wa ndege wa Arusha ni uwanja unaoongoza kwa kupokea ndege nyingi kuliko viwanja vyote nchini Tanzania lakini hautumiki kwa saa 24 kwa sababu ya kukosa taa. Na.Anthony Masai Serikali ipo katika hatua za mwisho za kuanza kuweka taa katika…

5 Disemba 2023, 14:58

Rungwe kupokea vitambulisho vya taifa 69,638

Na mwandishi wetu  Mkuu wa wilaya ya Rungwe Mhe. Jaffar Haniu amezindua zoezi la ugawaji wa vitambulisho vya  taifa (NIDA) leo tarehe 5.12.2023. Zoezi limezinduliwa katika kata ya Kyimo tarafa ya Ukukwe.  Mhe Haniu ameeleza kuwa jumla ya vitambulisho 69638…

2 Disemba 2023, 10:58 um

TUWAKA Saccos kukusanya zaidi TSh. mil. 507 mwaka 2024

TUWAKA SACCOS LTD (Tufaane Walimu Karagwe na Kyerwa) ni ushirika wa akiba na mikopo unaojengwa na walimu wote wa Karagwe na Kyerwa pamoja na wafanyakazi walioko chini ya Mkurugenzi wa Halmashauri Na Ospicia Didace Kyerwa Mrajisi msaidizi wa vyama vya…