Radio Tadio

Habari za Jumla

7 Disemba 2023, 1:43 um

Ndege kuruka saa 24 Arusha

Uwanja wa ndege wa Arusha ni uwanja unaoongoza kwa kupokea ndege nyingi kuliko viwanja vyote nchini Tanzania lakini hautumiki kwa saa 24 kwa sababu ya kukosa taa. Na.Anthony Masai Serikali ipo katika hatua za mwisho za kuanza kuweka taa katika…

5 Disemba 2023, 14:58

Rungwe kupokea vitambulisho vya taifa 69,638

Na mwandishi wetu  Mkuu wa wilaya ya Rungwe Mhe. Jaffar Haniu amezindua zoezi la ugawaji wa vitambulisho vya  taifa (NIDA) leo tarehe 5.12.2023. Zoezi limezinduliwa katika kata ya Kyimo tarafa ya Ukukwe.  Mhe Haniu ameeleza kuwa jumla ya vitambulisho 69638…

2 Disemba 2023, 10:58 um

TUWAKA Saccos kukusanya zaidi TSh. mil. 507 mwaka 2024

TUWAKA SACCOS LTD (Tufaane Walimu Karagwe na Kyerwa) ni ushirika wa akiba na mikopo unaojengwa na walimu wote wa Karagwe na Kyerwa pamoja na wafanyakazi walioko chini ya Mkurugenzi wa Halmashauri Na Ospicia Didace Kyerwa Mrajisi msaidizi wa vyama vya…

23 Novemba 2023, 10:18 mu

Rungwe yakusanya 122.22% ya mapato robo ya kwanza

Elimu ya ulipaji wa kodi inayotolewa kwa jamii imeonesha matokeo chanya kwa baadhi ya halmashauri hapa nchini kwa kuvuka malengo ya ukusanyaji wa mapato. RUNGWE-MBEYA Na lennox mwamakula Halmashauri ya wilaya ya Rungwe katika kipindi cha robo ya kwanza kuanzia…

16 Novemba 2023, 8:38 um

DC Maswa atekeleza agizo la Makonda, akabidhi ng’ombe 20

Na Nicholaus Machunda Mkuu  wa   wilaya  ya  Maswa  mkoani  Simiyu Mh.  Aswege  Kaminyoge   ametekeleza   agizo  lililotolewa   na   Katibu  wa  NEC  Itikadi,  Uenezi  na  Mafunzo Paul  Makonda  akiwa  katika ziara  yake  wilayani  Busega  la  kumkabidhi   Felister  Jayunga   mama  aliyeibiwa  ng’ombe   wake. Mwenyekiti …

16 Novemba 2023, 8:22 um

DC Maswa aonya  wanaohujumu miundombinu ya maji

Na Nicholaus Machunda Mkuu  wa wilaya  ya  Maswa mkoani  Simiyu   Mh,  Aswege  Kaminyoge  ameonya wananchi  wanaohujumu miundombinu ya maji  yanayotoka  Ziwa Viktoria  kuja  kata  ya Sengwa  iliyopo wilayani   hapa  kupitia wilaya ya Kishapu. Mh  Kaminyoge  amesema  hayo  wakati Kamati  ya  Ulinzi  na  Usalama  ya wilaya ilipotembelea mradi  huo ambao  umekuwa ukihujumiwa  mara  kwa  mara …