Elimu
10 Agosti 2023, 1:20 um
Wazazi watakiwa kuwapatia haki ya elimu watoto wenye ulemavu
Ingawa malengo ya maendeleo endelevu yanahimiza kuwa hakuna mtoto anayepaswa kuachwa nyuma lakini utafiti uliofanywa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumiwa Watoto UNICEF 2022 unaonesha kuwa kati ya watoto milioni 240 wenye ulemavu duniani nusu hawajawahi kuhudhuria shuleni.…
10 Agosti 2023, 11:03 mu
Zaidi ya kilo milion 6.9 za pamba zanunuliwa Bunda
Pamoja na idadi hiyo ya tani za pamba ambazo zimeishanunuliwa kutoka kwa wakulima hadi wakati huu kuonekana ni ndogo lakini bado wakulima wanaendelea kuuza pamba yao katika vituo vya AMCOS hivyo kufanya mwaka huu kupiga hatua kubwa kulinganisha na miaka…
10 Agosti 2023, 8:47 mu
Tadio yatoa mafunzo kwa radio za kijamii Zanzibar
Kuchapisha tarifa katika mtandao wa radio TADIO kutaongeza idadi ya wafuatiliaji wa tarifa za radio za kijamii. Na Vuai Juma. Wandishi wa habari wa radio za kijamii Zanzibar wametakiwa kuitumia fursa ya kutuma kazi zao katika mtandao wa radio tadio…
10 Agosti 2023, 7:41 mu
Mtelela: Wakulima tumieni teknolojia kwenye kilimo
Wakulima kutumia teknolojia ili kukuza kilimo kama vile kujua ukubwa wa mashamba yao. Na Adelinus Banenwa Akifungua kikao kilichowakutanisha wataalam wa halmashauri zote mbili za wilaya ya Bunda katibu tawala wilaya ya Bunda Salumu Mtelela amewataka wakulima kutumia teknolojia ili…
9 Agosti 2023, 2:49 um
Tadio yawapiga msasa waandishi wa habari Zanzibar
Waandishi wa habari Zanzibar wametakiwa kutumia mtandao wa Radio Tadio ili kubadilishana habari. Na Mary Julius Mhariri wa Radio Tadio Tanzania Hilali Ruhundwa amewataka waandishi wa habari zanzibar kuitumia fursa ya mtandao wa radio tadio katika kuchapisha habari ili kuweza…
9 Agosti 2023, 1:59 um
Wazazi, walezi Tumbatu watakiwa kutoa ushirikiano kwa walimu
Uwepo wa mashirikiano kati ya wazazi na walezi kutaongeza idadi ya ufaulu. Na Latifa Ali Wazazi na walezi wa wanafunzi wanaosoma katika skuli ya msingi “B” kisiwani tumbatu wameatakiwa kushirikiana na walimu wa skuli hiyo ili kuhakikisha wanafunzi wanasoma na…
9 Agosti 2023, 8:32 mu
Redio za kijamii Zanzibar kupelekwa kidijitali
Radio za kijamii Zanzibar wamepatiwa mafunzo maalum ya kuweka habari na vipindi kwenye mtandao (Radio Portal) ili kusomwa na kusikika duniani kote. Waandishi wa habari redio za kijamii wametakiwa kutumia mtandao ili kukuza taaluma na kuongeza wasomaji na wasikilizaji. Wito…
9 Agosti 2023, 7:03 mu
Lugonesi, Kasekese wajengewa uwezo
TANGANYIKA Kamati za shule ya msingi Lugonesi na shule ya msingi Kasekese wilayani Tanganyika mkoani Katavi zimejengewa uwezo wa namna ya kusimamia Rasilimali za shule pamoja na utolewaji wa elimu bora kwa wanafunzi. Akizungumza katika kikao cha mafunzo hayo afisa…
8 Agosti 2023, 11:51 mu
Mkaguzi wa polisi jamii amwaga vifaa kwa wanafunzi wanaojitayarisha na mitihani
Wanafunzi wa skuli za Pandani msingi na sekondari wakipokea vifaa ambavyo vitawasaidia kwa ajili ya kujisome baada Na Essau Kalukubila Wanafunzi wa skuli ya msingi na sekondari Pandani pamoja na sekondari Wete ambao wanajitayarisha na mitihani yao ya taifa, wamepatiwa…
8 Agosti 2023, 10:59 MU
WAKIHABIMA waitaka jamii kuibua taarifa za vitendo vya kikatili
Afisa vijana kutoka idara ya maendeleo ya jamii halmashauri ya mji wa Masasi mkoani Mtwara Ebeneza Wisso, ametoa rai kwa wasaidizi wa kisheria kutoka shirika lisilo la kiserikali linalojihusisha na usaidizi wa kisheria katika halmashauri hiyo WAKIHABIMA, kujikita katika jamii…