Radio Tadio

Elimu

18 Agosti 2023, 5:27 um

Madiwani watakiwa kupambania chakula shuleni

Madiwani wamesisitizwa kuhakikisha upatikanaji wa chakula shuleni unazingatiwa. Mkuu wa wilaya ya Igunga Sauda Mtondoo amewataka madiwani kushirikiana na walimu kuhakikisha chakula kinapatikana shuleni ili wanafunzi wapate muda wa kutosha wa kujifunza. Amesema hayo akiwa kwenye kikao cha baraza la…

15 Agosti 2023, 5:35 um

Maafisa TRA, ZRA wafundwa Zanzibar

Na Ahmed Abdullah Maafisa kodi wa mamlaka ya mapato Zanzibar ZRA na mamlaka ya Mapato Tanzania TRA wametakiwa kuwa na lugha nzuri kwa wateja ili kuwa na mahusiano mazuri baina ya mlipakodi na mamlaka hizo. Naibu kamishna wa Mamlaka ya…

12 Agosti 2023, 3:22 um

Tadio yatoa mafunzo kwa waandishi wa Radio Mtegani

Watangazaji na waandishi wa habari wa radio jamii Mtegani FM Makunduchi Zanzibar wametakiwa kutumia mtandao wa Radio Tadio ili kuifikia jamii kimataifa. Na Fatma Saleh Ushauri huo umetolewa  na mhariri wa jukwaa la kupashana habari la Radio Tadio lililo chini…

11 Agosti 2023, 3:21 um

ZRA yajisogeza karibu ya walipa kodi Pemba

Na Is-haka Mohammed Pemba. Katika kuhakikisha wananchi kisiwani Pemba wanalipa kodi kwa ukamilifu Mamlaka ya Mapato Zanzibar imetoa mafunzo kwa walipa kodi Pemba ili kuwajengea uelewa wa mfumo mpya wa kulipa kodi. Mamlaka ya Mapato Zanzibar ZRA imesema mabadiliko ya…

11 Agosti 2023, 2:43 um

Zenj fm waahidi kutumia mtandao wa Radio Tadio

Katika mafunzo hayo waandishi wa Zenj fm wamefundishwa tofauti ya utangazaji wa kwenye Redio na habari za mtandaoni. Na. Berema Nassor. Waandishi wa habari wa kituo cha redio cha Zenj FM wameshauriwa kuzitumia fursa zilizopo katika mtandao wa Radio Tadio…

10 Agosti 2023, 2:41 um

SOS yatoa mafunzo ya kukabiliana na udhalilishaji Zanzibar

Kutokana nakuongezeka vitendo vya udhalilishaji SOS yaamua kutoa mafunzo hayo Na Ali Khamis Jamii imetakiwa kuyaendeleza mafunzo wanayotolewa na wadau mbalimbali hasa katika kudhibiti masuala ya udhalilishaji ili kuona viashiria na vitendo hivyo vinaondoka nchini. Mratibu wa Program ya malezi…