Elimu
24 Agosti 2023, 15:37
Vyombo visivyokidhi vigezo kuondolewa ziwa Tanganyika
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) Mkoa wa Kigoma, Limezindua kampeni ya Operasheni Maboya katika ziwa Tanganyika, ili kubaini Boti zisizo na Vifaa vya Kusafiria Kwa Wavuvi na Abiria ili kuwachukulia hatua za kisheria. Na, Kadislaus Ezekiel Afisa mfawidhi…
21 Agosti 2023, 3:20 um
ZAFELA kuwarudhisha watoto wa kike shule
Jumuiya ya wanasheria wanawake Zanzibar yapania kuwarejesha skuli watoto wa kike waliokatisha skuli wakiwa bado hawajafikia umri wa kumaliza kwa kushirikiana na taasisi za serikali na NGOs. Na Fatma Hamad Asasi za kiraia zimetakiwa kushirikiana kwa pamoja katika kuwajengea uwezo…
20 Agosti 2023, 6:16 um
Waislamu wahimizwa kusom Quran tukufu, kuwa mahiri katika taaluma mbalimbali
Na Juma Haji Juma Wakili mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Shekh Saleh Mubaraq amewataka mashekh na walimu wa madrasa za Qurani nchini, kufundisha riwaya mbalimbali za usomaji wa Quran tukufu ili kuongeza kiwango cha ujuzi, umahiri, ufaulu wa taaluma…
19 Agosti 2023, 4:38 um
Makala: Mfahamu Sabah Mussa Said Afisa Msimamizi Skuli binafsi kuteuliwa kwake
18 Agosti 2023, 5:27 um
Madiwani watakiwa kupambania chakula shuleni
Madiwani wamesisitizwa kuhakikisha upatikanaji wa chakula shuleni unazingatiwa. Mkuu wa wilaya ya Igunga Sauda Mtondoo amewataka madiwani kushirikiana na walimu kuhakikisha chakula kinapatikana shuleni ili wanafunzi wapate muda wa kutosha wa kujifunza. Amesema hayo akiwa kwenye kikao cha baraza la…
15 Agosti 2023, 5:35 um
Maafisa TRA, ZRA wafundwa Zanzibar
Na Ahmed Abdullah Maafisa kodi wa mamlaka ya mapato Zanzibar ZRA na mamlaka ya Mapato Tanzania TRA wametakiwa kuwa na lugha nzuri kwa wateja ili kuwa na mahusiano mazuri baina ya mlipakodi na mamlaka hizo. Naibu kamishna wa Mamlaka ya…
Agosti 15, 2023, 1:43 um
RAS Njombe Aagiza Kukamilika Madarasa
Mwonekano wa moja ya Jengo la Chakula Mwakavuta Sekondari
15 Agosti 2023, 10:19 mu
Elimu ya Afya ya Uzazi Inavyoweza Kusaidia Vijana Kuepuka Mimba za Utotoni
KASEKESE – TANGANYIKAKutokana na dhana iliyojengeka katika jamii kuwa ukimfundisha mtoto kuhusu Afya ya Uzazi unapelekea kujaribu mafunzo aliyopatiwa.Mpanda radio fm imezungumza na baadhi ya wakazi wa kata ya Kasekese juu ya namna elimu ya afya ya uzazi inavyoweza kupambana…
13 Agosti 2023, 3:26 um
DAS Bunda awa mbogo, kuwachukulia hatua watumishi wasiozingatia maelekezo
katibu tawala ameonesha kukerwa na kutoridhika na mahudhurio ya wajumbe katika kikao hicho ambapo kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa wakurugenzi iliwataka watendaji wote kutoka kata na 33 na mitaa na vijiji pamoja na maafisa ugani kuwepo katika kikao hicho…
12 Agosti 2023, 3:22 um
Tadio yatoa mafunzo kwa waandishi wa Radio Mtegani
Watangazaji na waandishi wa habari wa radio jamii Mtegani FM Makunduchi Zanzibar wametakiwa kutumia mtandao wa Radio Tadio ili kuifikia jamii kimataifa. Na Fatma Saleh Ushauri huo umetolewa na mhariri wa jukwaa la kupashana habari la Radio Tadio lililo chini…