Elimu
26 Septemba 2023, 4:15 um
Mfahamu mkalimani wa lugha ya alama aliyekuwa na kiu ya kujifunza
Dorcas Minaz ni moja kati ya wanawake wanaopambana katika kusaidia jamii ya wahitaji hususani viziwi na amekuwa mkalimani mahiri anayeipenda kazi yake kwa sasa. Na Yussuph Hassan. Wakati tukiendelea na simulizi ya Mkalimani Mahiri wa lugha ya alama Dorcas Minaz…
26 Septemba 2023, 12:21
Shule ya msingi Busunzu B yakabiliwa na uhaba wa madawati 400
Benki ya NMB kanda ya magharibi imetoa msaada wa madawati 50 katika shule ya msingi Busunzu Biliyopo Wilayani kibondo Mkoani Kigoma ikiwa ni jitihada za kukabiliana na uhaba wa madawati katika shule hiyo. Na James Jovin Shule ya msingi Busunzu…
26 Septemba 2023, 10:29
Vitabu 4,559 vya sayansi kusambazwa wilayani Malinyi
Wakuu wa shule za sekondari wilayani Malinyi katika picha ya pamoja baada ya kukabidhiwa vitabu na kaimu mkurugenzi mtendaji wilaya bwana Gasto Silayo kwenye hafula iliyofanyika katika viwanja vya shule ya msingi nawigo. Picha na Jackson Machoa. Vitabu hivyo vitasaidia…
25 Septemba 2023, 3:19 um
Vishawishi chanzo wanafunzi wa kike kushindwa kuendelea na masomo
Mfumo dume unaoendelea katika baadhi ya jamii umetajwa kuwa ni moja ya sababu inayosababisha wanafunzi wa kike kushindwa kufaulu vizuri masomo yao. Zaituni Juma ana taarifa zaidi baada ya kutembelea kata ya Gongoni Manispaa ya Tabora katika shule ya msingi…
23 Septemba 2023, 4:21 um
Waziri wa Elimu afanya ziara usiku skuli mbalimbali Pemba
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar imeandaa mpango maalum wa kuhakikisha kwamba wanafunzi ambao wako kwenye madarasa ya mitihani wanapata muda wa ziada wa kujisomea. Na Ali Kombo Ikiwa ni siku ya elimu bila ya malipo Zanzibar Waziri…
Septemba 23, 2023, 3:35 um
Mkurugenzi Makete DC aendelea na ukaguzi wa miradi
Mwonekano wa vyumba vya Madarasa ya Awali shule ya Msingi Kinyika
22 Septemba 2023, 2:26 um
Uchechemuaji katika masuala ya kilimo ni muhimu
Kupitia mradi wa ASILI-B unaofadhiliwa na Vi Agroforestry, CSP kwa kushirikiana na BUFADESO wamewakutanisha wadau wa kilimo wilaya ya Bunda na kuunda jukwaa la kilimo. Na Thomas Masalu Kupitia mradi wa ASILI-B unaofadhiliwa na Vi Agroforestry, CSP kwa kushirikiana na…
22 Septemba 2023, 1:09 um
BRELA yaendelea kutoa elimu ya urasimishaji kwenye maonesho Geita
BRELA wanaendelea kuwa msaada mkubwa katika kutoa elimu ya urasimishaji wa biashara kwani imekuwa changamoto kubwa kwa wafanyabiashara. Na Zubeda Handrish- Geita Elimu na uelewa mdogo kuhusu urasimishaji wa biashara imekuwa changamoto kubwa kwa wafanyabiashara hali iliyowasukuma wakala wa leseni…
21 Septemba 2023, 7:48 um
Jeshi la Polisi Zanzibar kubadilika kiutendaji
Mafunzo ya mara kwa mara yanayotolewa kwa askari kuhusu haki za binadamu yataweza kuleta mabadiliko ya kiutendaji kwa Jeshi la Polisi Zanzibar. Na Omary Hassan Kamishna wa Polisi Zanzibar CP. Hamad Khamis Hamad amesema Jeshi la Polisi Kamisheni ya Zanzibar…
21 Septemba 2023, 17:54
Madereva 87 Kyela wakabidhiwa vyeti vya udereva
Na James Mwakyembe Jumla ya madereva themanini na saba wapepigwa msasa wa mafunzo ya udereva na kukabidhiwa vyeti vya udereva huku wakitakiwa kuwa mabalozi wazuri wawapo barabarani. Katika kuhakikisha ajali za barabarani zinapungua mkoani Mbeya, jeshi la polisi limetoa vyeti…