Radio Tadio

Elimu

27 Septemba 2023, 13:07

Wanafunzi marufuku mikesha ya ngoma(sherehe) za usiku

Baadhi ya wazazi wamekuwa wakiwahusisha watoto wadogo kwenye sherehe hali inayopelekea watoto kubadilika tabia na wengine kushindwa kuendelea na masomo na kuwa wanenguaji katika sherehe hizo. Na Samwel Mpogole Afisa Tarafa wa Sisimba Jijini Mbeya John Mboya amewataka wazazi na…

26 Septemba 2023, 10:29

Vitabu 4,559 vya sayansi kusambazwa wilayani Malinyi

Wakuu wa shule za sekondari wilayani Malinyi katika picha ya pamoja baada ya kukabidhiwa vitabu na kaimu mkurugenzi mtendaji wilaya bwana Gasto Silayo kwenye hafula iliyofanyika katika viwanja vya shule ya msingi nawigo. Picha na Jackson Machoa. Vitabu hivyo vitasaidia…

22 Septemba 2023, 14:26

Uchechemuaji katika masuala ya kilimo ni muhimu

Kupitia mradi wa ASILI-B unaofadhiliwa na Vi Agroforestry, CSP kwa kushirikiana na BUFADESO wamewakutanisha wadau wa kilimo wilaya ya Bunda na kuunda jukwaa la kilimo. Na Thomas Masalu Kupitia mradi wa ASILI-B unaofadhiliwa na Vi Agroforestry, CSP kwa kushirikiana na…

22/09/2023, 13:09

BRELA yaendelea kutoa elimu ya urasimishaji kwenye maonesho Geita

BRELA wanaendelea kuwa msaada mkubwa katika kutoa elimu ya urasimishaji wa biashara kwani imekuwa changamoto kubwa kwa wafanyabiashara. Na Zubeda Handrish- Geita Elimu na uelewa mdogo kuhusu urasimishaji wa biashara imekuwa changamoto kubwa kwa wafanyabiashara hali iliyowasukuma wakala wa leseni…