Radio Tadio

Elimu

26 Septemba 2023, 10:29

Vitabu 4,559 vya sayansi kusambazwa wilayani Malinyi

Wakuu wa shule za sekondari wilayani Malinyi katika picha ya pamoja baada ya kukabidhiwa vitabu na kaimu mkurugenzi mtendaji wilaya bwana Gasto Silayo kwenye hafula iliyofanyika katika viwanja vya shule ya msingi nawigo. Picha na Jackson Machoa. Vitabu hivyo vitasaidia…

22 Septemba 2023, 2:26 um

Uchechemuaji katika masuala ya kilimo ni muhimu

Kupitia mradi wa ASILI-B unaofadhiliwa na Vi Agroforestry, CSP kwa kushirikiana na BUFADESO wamewakutanisha wadau wa kilimo wilaya ya Bunda na kuunda jukwaa la kilimo. Na Thomas Masalu Kupitia mradi wa ASILI-B unaofadhiliwa na Vi Agroforestry, CSP kwa kushirikiana na…

22 Septemba 2023, 1:09 um

BRELA yaendelea kutoa elimu ya urasimishaji kwenye maonesho Geita

BRELA wanaendelea kuwa msaada mkubwa katika kutoa elimu ya urasimishaji wa biashara kwani imekuwa changamoto kubwa kwa wafanyabiashara. Na Zubeda Handrish- Geita Elimu na uelewa mdogo kuhusu urasimishaji wa biashara imekuwa changamoto kubwa kwa wafanyabiashara hali iliyowasukuma wakala wa leseni…

21 Septemba 2023, 7:48 um

Jeshi la Polisi Zanzibar kubadilika kiutendaji

Mafunzo ya mara kwa mara yanayotolewa kwa askari kuhusu haki za binadamu yataweza kuleta mabadiliko ya kiutendaji kwa Jeshi la Polisi Zanzibar. Na Omary Hassan Kamishna wa Polisi Zanzibar CP. Hamad Khamis Hamad amesema Jeshi la Polisi Kamisheni ya Zanzibar…

21 Septemba 2023, 17:54

Madereva 87 Kyela wakabidhiwa vyeti vya udereva

Na James Mwakyembe Jumla ya madereva themanini na saba wapepigwa msasa wa mafunzo ya udereva na  kukabidhiwa vyeti vya udereva huku wakitakiwa kuwa mabalozi wazuri wawapo barabarani. Katika kuhakikisha ajali za barabarani zinapungua mkoani Mbeya, jeshi la polisi limetoa vyeti…