Elimu
23 Septemba 2023, 4:21 um
Waziri wa Elimu afanya ziara usiku skuli mbalimbali Pemba
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar imeandaa mpango maalum wa kuhakikisha kwamba wanafunzi ambao wako kwenye madarasa ya mitihani wanapata muda wa ziada wa kujisomea. Na Ali Kombo Ikiwa ni siku ya elimu bila ya malipo Zanzibar Waziri…
Septemba 23, 2023, 3:35 um
Mkurugenzi Makete DC aendelea na ukaguzi wa miradi
Mwonekano wa vyumba vya Madarasa ya Awali shule ya Msingi Kinyika
22 Septemba 2023, 2:26 um
Uchechemuaji katika masuala ya kilimo ni muhimu
Kupitia mradi wa ASILI-B unaofadhiliwa na Vi Agroforestry, CSP kwa kushirikiana na BUFADESO wamewakutanisha wadau wa kilimo wilaya ya Bunda na kuunda jukwaa la kilimo. Na Thomas Masalu Kupitia mradi wa ASILI-B unaofadhiliwa na Vi Agroforestry, CSP kwa kushirikiana na…
22 Septemba 2023, 1:09 um
BRELA yaendelea kutoa elimu ya urasimishaji kwenye maonesho Geita
BRELA wanaendelea kuwa msaada mkubwa katika kutoa elimu ya urasimishaji wa biashara kwani imekuwa changamoto kubwa kwa wafanyabiashara. Na Zubeda Handrish- Geita Elimu na uelewa mdogo kuhusu urasimishaji wa biashara imekuwa changamoto kubwa kwa wafanyabiashara hali iliyowasukuma wakala wa leseni…
21 Septemba 2023, 7:48 um
Jeshi la Polisi Zanzibar kubadilika kiutendaji
Mafunzo ya mara kwa mara yanayotolewa kwa askari kuhusu haki za binadamu yataweza kuleta mabadiliko ya kiutendaji kwa Jeshi la Polisi Zanzibar. Na Omary Hassan Kamishna wa Polisi Zanzibar CP. Hamad Khamis Hamad amesema Jeshi la Polisi Kamisheni ya Zanzibar…
21 Septemba 2023, 17:54
Madereva 87 Kyela wakabidhiwa vyeti vya udereva
Na James Mwakyembe Jumla ya madereva themanini na saba wapepigwa msasa wa mafunzo ya udereva na kukabidhiwa vyeti vya udereva huku wakitakiwa kuwa mabalozi wazuri wawapo barabarani. Katika kuhakikisha ajali za barabarani zinapungua mkoani Mbeya, jeshi la polisi limetoa vyeti…
21 Septemba 2023, 4:08 um
Viongozi wa vijiji kuhamasisha wananchi kutatua changamoto za elimu
Mradi huo unatekelezwa wilaya ya chamwino katika Kata nne. Na Seleman Kodima. Viongozi wa Serikali za vijiji wametakiwa kutumia njia mbadala ya kuhamasisha wananchi ili waweze kutatua changamoto zilizopo katika sekta ya elimu ikiwemo miundombinu ya elimu. Wito huo umetolewa…
20 Septemba 2023, 5:19 um
Shilingi bilion 4 kujenga shule 26 za wasichana kila mkoa
Hadi sasa Serikali imefanikiwa kujenga shule 449 kati ya shule 1000 ambazo zilipaswa kujengwa nchini na shule hizo zina uwezo wa kuchukua wanafunzi 400 kwa kila shule . Na Mindi Joseph. Shule 26 za wasichana wa masomo ya sayansi na…
20 Septemba 2023, 16:40
Mafunzo ya TADIO baraka fm yawapa shangwe wafanyakazi
Kwenye maisha ya binadamu kujifunza ni jambo jema na ukipata nafasi inakupa fursa ya kufanikiwa kwenye maisha,TADIO ni moja ya mtandao unaotoa fursa ya kumjenga mtu ili kutumia fursa zilizopo hasa katika ulimwengu huu wa sayansi na teknolojia. Na Hobokela…
20 Septemba 2023, 2:04 um
Wazazi watakiwa kufahamu umuhimu wa maktaba kwa mtoto
Maktaba ni moja ya Taasisi inayosaidia katika kuchochea maendeleo ya mtoto pindi awapo shuleni na nyumbani. Na Khadija Ayoub. Ili kuchochea maendeleo ya mtoto shuleni wazazi wametakiwa kuwa na utaratibu wa kuwajengea watoto wao desturi pamoja na namna bora ya…