Ajali
1 August 2023, 5:04 pm
Bunda: Mwili mmoja wapatikana kati ya 13 wanaoohofiwa kufa maji Ziwa Victoria
Mwili mmoja umepatikana leo majira ya saa saba mchana katika zoezi la kuwatafuta watu 13 waliozama Ziwa Victoria kijiji cha Mchigondo kata ya Igundu Wilaya ya Bunda. Na Edward Lucas Mwili mmoja wapatikana kati ya 13 wanaoohofiwa kufa maji ziwa…
31 July 2023, 10:44 pm
Utafutaji watu 13 waliozama Ziwa Victoria waendelea leo bila mafanikio
Hakuna hata mmoja aliyepatikana hadi kufikia jioni ya leo 31 July 2023 kati ya 13 wanaohofiwa kufa maji eneo la Mchigondo Wilaya ya Bunda baada ya mitumbwi miwili kuzama Ziwa Victoria jana 30 July 2023 majira ya saa 12:30 jioni…
31 July 2023, 8:52 pm
Manusura ajali ya mitumbwi Bunda wasimulia hali ilivyokuwa
Vijana walionusurika kwenye ajali ya mitumbwi eneo la Mchigondo Bunda wasimulia hali ilivyokuwa baada ya mitumbwi kuzama na wao walivyonusurika huku wakiokoa watoto watatu. Na Adelinus Banenwa na Edward Lucas Joseph Kundi mkazi wa Bulomba alikuwa ni miongoni mwa wasafiri…
31 July 2023, 4:39 pm
Bunda: Watu 13 wahofiwa kufariki dunia Ziwa Victoria
Watu 13 wanahofiwa kufariki dunia huku wengine 14 wakinusurika baada ya mitumbwi miwili kuzama Ziwa Victoria wakiwa wanatoka kanisani eneo la Mchigondo kata ya Igundu halmashauri ya wilaya ya Bunda. Na Adelinus Banenwa na Edward Lucas Watu 13 wanahofiwa kupoteza…
29 July 2023, 10:20 pm
Maduka matatu yateketea kwa moto Bukombe
Uduni wa vifaa vya uokozi kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoani Geita inachangia kulifanya Jeshi hilo kushindwa kufanya kazi kwa ufanisi. Na Alex Masele: Maduka matatu ya wafanyabiashara katika mji wa Ushirombo Halmashauri ya wilaya Bukombe Mkoani Geita yameteketea…
23 July 2023, 8:35 pm
Gari lililobeba mashabiki wa Yanga laua na kujeruhi Bunda
Mashabiki wa club ya Yanga wamesherekea kilele cha siku ya mwananchi kwa masikitiko baada ya miongoni mwa gari lililokuwa limebeba mashabiki wa timu hiyo mjini Bunda kupata ajali iliyosababisha vifo vya watu wawili na kujeruhi wengine 14. Na Adelinus Banenwa…
21 July 2023, 6:26 pm
Watumishi idara ya afya wanusurika kifo gari likiteketea kwa moto Bunda
Watumishi wanne wa idara ya afya pamoja na dereva wao wamenusurika kifo baada ya gari lao kuwaka moto wakati wanatoka kutoa huduma ya uzazi wa mpango mtaa wa Kinyambwiga kata ya Guta Halmashauri ya Bunda Mjini Na Adelinus Banenwa Watumishi…
13 July 2023, 9:16 pm
Miili mitatu yatambuliwa wahanga wa ajali
Majonzi yatawala wilayani Bukombe kufuatia ajali ya watu sita kufariki dunia, miili imeendelea kutambuliwa huku serikali ikitoa wito kwa watumiaji wa vyombo vya moto kuzingatia sheria. Na Mrisho Sadick: Kaimu Mganga Mkuu wa wilaya ya Bukombe Mkoani Geita Dkt Timotheo…
13 July 2023, 2:59 pm
Sita wafariki ajali ya gari Bukombe
Usingizi wa dereva wa gari dogo la abiria Toyota Hiace umekatisha uhai wa watu sita katika kata ya Runzewe wilayani Bukombe mkoani Geita. Na Mrisho Sadick: Watu sita wamefariki dunia na wawili kujeruhiwa baada ya gari dogo aina ya Toyota…
13 July 2023, 12:27 pm
Moto wateketeza vitu vyote vya ndani Geita
Majanga ya moto mkoani Geita yameendelea kujitokeza huku wananchi wakitakiwa kutoa taarifa mapema kwa Jeshi la Zimamoto kwa ajili ya uokozi kwa namba ya bure ya 114. Na Kale Chongela Moto ambao haujajulikana chanzo chake umezuka na kuteketeza vitu vya…