Ajali
22 November 2023, 9:00 am
Mwanafunzi afariki kwa kugongwa na gari akielekea shule Bunda
Dinnah Matwiga (15) mwanafunzi wa kidato Cha kwanza shule ya Sekondari Pauljohn amefariki dunia kwa kugongwa na gari akielekea shuleni. Na Adelinus Banenwa Dinnah Matwiga (15) mwanafunzi wa kidato Cha kwanza shule ya Sekondari Pauljohn na mkazi wa mtaa wa…
14 November 2023, 20:04
Radi yaua mtu mmoja na Ng`ombe 27 Sumbawanga Rukwa
na Mwandishi wetu Kufuatia Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha na kusababisha Maafa Wananchi wilayani sumbawanga Mkoani Rukwa wametakiwa kuchukua tahadhari za kiusalama ikiwa ni pamoja na kusimamisha Shughuli za Kilimo Pindi Mvua zinaponyesha. Hayo yamejiri Mara baada ya Mvua kubwa iliyoambatana…
7 November 2023, 3:05 pm
Mtoto wa miaka minne afariki baada ya kutumbukia kisimani Mpwapwa
Na Fred Cheti Mtoto mwenye umri wa miaka 4 aliyefahamika kwa jina la Denis Emanuel amefariki dunia baada ya kuteleza na kudumbukia katika kisima cha maji alipokuwa akicheza kando ya kisima hicho katika kijiji cha Ilolo wilaya ya Mpwapwa mkoani…
25 October 2023, 10:29 am
Bweni laungua moto wanafunzi watano wakimbizwa hospitali
Wananchi wengi hawajui namna ya kupambana na moto pindi unapozuka kwenye nyumba zao hata kama kuna vifaa vya kuzimia moto huku serikali ikishauriwa kuendelea kutoa elimu zaidi kwa wananchi. Na Mrisho Sadick: Bweni la wasichana shule ya sekondari Queen Marry…
19 October 2023, 19:45
Gari la kanisa laua wawili mchungaji akihamishwa Songwe
Kifo hakipigi hodi na hakuna anayeweza kuzui kifo ndio maana vitabu vya dini vina tusisitiza kujianda wakati kwa maana ya kutenda Mambo mema. Na Ezekiel Kamanga Watu wawili wamefariki kwa ajali ya lori namba T 644 AJC Mercedes Benz mali…
9 October 2023, 6:03 pm
Watu watatu wafariki kwa ajali Geita, wawili watumishi wa serikali
Ajali za barabara zimeendelea kukatisha uhai wa watu wengi , jitihada za makusudi zinahitajika ikiwemo elimu kwa watumiaji wa vyombo vya moto ili kupunguza matukio hayo hususani kwa waendesha pikipiki. Na Mrisho Sadick – Geita Watu watatu wakiwemo watumishi wawili…
6 October 2023, 16:21
Afariki baada ya kufukiwa na kifusi cha mawe Kigoma
Jamii imeomba Serikali kuchukua hatua za kudhibiti shughuli za uchimbaji wa madini ya mawe katika eneo la masanga manispaa ya kigoma Ujiji kutokana na kuhatarisha maisha ya watu. Na Eliud Theogenes Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Shabani amefariki…
2 October 2023, 15:27
Mwili wa mtoto waopolewa ndani ya bwawa la Katosho
Wazazi na walezi mkoani Kigoma wametakiwa kuwa karibu na watoto wao ili kuhakikisha hawachezei sehemu hatarishi ikiwemo madimbwi na mabwawa. Na Josephine Kiravu Mwili wa mtoto wa kiume anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 11 hadi 13 ambaye hajatambulika jina…
11 September 2023, 9:55 am
Watoto wawili wa familia moja wafariki kwa ajali ya moto Katavi
Katika eneo la tukio kimekutwa kiberiti ambacho kinadhaniwa kuachwa na mtu . Na William Liwali-Katavi Watoto wawili wa familia moja Florida Froline na Ferisian Froline wenye umri wa miaka mitatu wamefariki dunia baada ya nyumba yao kuungua moto mtaa wa…
8 September 2023, 12:02 pm
Mtu mmoja ajeruhiwa na watu wasiojuilikana Pemba
Mmiliki wa kambi ya uchumaji zao la karafuu anajeruhia na watu wasiojuuilikana huko kambini kwake matukio hayo yanajitokeza kila msimu wa karafuu unapofika kisiwani Pemba. Na Mwandishi wetu. WATU wasiofahamika Wadaiwa kuvamia kambi ya karafuu na Kumshambulia kwa vitu vyenye…