Ajali
5 Disemba 2023, 8:19 mu
Majanga ya mvua Mara, watatu wapoteza maisha maeneo tofauti
Watatu wapoteza maisha kwa kusombwa na maji maeneo tofauti mkoani Mara Na Adelinus Banenwa Mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la Maduhu Isinde Ikerege mkazi wa mtaa wa Changuge kata ya Mcharo Bunda mjini anatajwa kupoteza maisha kwa kusombwa na maji…
4 Disemba 2023, 12:08
Kayombo: Nilipanda mtini nyuki wakanishambulia
Mtu mmoja aliyefahamika kwa jila la Rudigel Kayombo mkazi wa Makwale wilayani Kyela amevinjika uti wa mgongo baada ya kuanguka kutoka juu ya mti. Na Masoud Maulid Rudigel Lucas Kayombo mwenye umri wa miaka 61 mkazi wa kijiji cha Ibale…
22 Novemba 2023, 9:00 mu
Mwanafunzi afariki kwa kugongwa na gari akielekea shule Bunda
Dinnah Matwiga (15) mwanafunzi wa kidato Cha kwanza shule ya Sekondari Pauljohn amefariki dunia kwa kugongwa na gari akielekea shuleni. Na Adelinus Banenwa Dinnah Matwiga (15) mwanafunzi wa kidato Cha kwanza shule ya Sekondari Pauljohn na mkazi wa mtaa wa…
14 Novemba 2023, 20:04
Radi yaua mtu mmoja na Ng`ombe 27 Sumbawanga Rukwa
na Mwandishi wetu Kufuatia Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha na kusababisha Maafa Wananchi wilayani sumbawanga Mkoani Rukwa wametakiwa kuchukua tahadhari za kiusalama ikiwa ni pamoja na kusimamisha Shughuli za Kilimo Pindi Mvua zinaponyesha. Hayo yamejiri Mara baada ya Mvua kubwa iliyoambatana…
7 Novemba 2023, 3:05 um
Mtoto wa miaka minne afariki baada ya kutumbukia kisimani Mpwapwa
Na Fred Cheti Mtoto mwenye umri wa miaka 4 aliyefahamika kwa jina la Denis Emanuel amefariki dunia baada ya kuteleza na kudumbukia katika kisima cha maji alipokuwa akicheza kando ya kisima hicho katika kijiji cha Ilolo wilaya ya Mpwapwa mkoani…
25 Oktoba 2023, 10:29 mu
Bweni laungua moto wanafunzi watano wakimbizwa hospitali
Wananchi wengi hawajui namna ya kupambana na moto pindi unapozuka kwenye nyumba zao hata kama kuna vifaa vya kuzimia moto huku serikali ikishauriwa kuendelea kutoa elimu zaidi kwa wananchi. Na Mrisho Sadick: Bweni la wasichana shule ya sekondari Queen Marry…
19 Oktoba 2023, 19:45
Gari la kanisa laua wawili mchungaji akihamishwa Songwe
Kifo hakipigi hodi na hakuna anayeweza kuzui kifo ndio maana vitabu vya dini vina tusisitiza kujianda wakati kwa maana ya kutenda Mambo mema. Na Ezekiel Kamanga Watu wawili wamefariki kwa ajali ya lori namba T 644 AJC Mercedes Benz mali…
9 Oktoba 2023, 6:03 um
Watu watatu wafariki kwa ajali Geita, wawili watumishi wa serikali
Ajali za barabara zimeendelea kukatisha uhai wa watu wengi , jitihada za makusudi zinahitajika ikiwemo elimu kwa watumiaji wa vyombo vya moto ili kupunguza matukio hayo hususani kwa waendesha pikipiki. Na Mrisho Sadick – Geita Watu watatu wakiwemo watumishi wawili…
6 Oktoba 2023, 16:21
Afariki baada ya kufukiwa na kifusi cha mawe Kigoma
Jamii imeomba Serikali kuchukua hatua za kudhibiti shughuli za uchimbaji wa madini ya mawe katika eneo la masanga manispaa ya kigoma Ujiji kutokana na kuhatarisha maisha ya watu. Na Eliud Theogenes Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Shabani amefariki…
2 Oktoba 2023, 15:27
Mwili wa mtoto waopolewa ndani ya bwawa la Katosho
Wazazi na walezi mkoani Kigoma wametakiwa kuwa karibu na watoto wao ili kuhakikisha hawachezei sehemu hatarishi ikiwemo madimbwi na mabwawa. Na Josephine Kiravu Mwili wa mtoto wa kiume anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 11 hadi 13 ambaye hajatambulika jina…