Recent posts
28 April 2026, 2:20 pm
Polisi Butiama yatoa onyo uhalifu wa mitandao
”Wananchi wanapaswa kuthibitisha habari kupitia vyanzo rasmi na vya kuaminika kama Butiama FM kabla ya kusambaza habari hiyo lakini pia kuepuka kusambaza maudhui yasio na staha kwa jamii yetu” ASP Ponsian Kalinjuma, mkuu wa Polisi Jamii Wilaya ya Butiama, Na…
27 April 2026, 3:24 pm
Mila kandamizi zachochea ukatili wa kijinsia Butiama
Ukiozesha mtoto mdogo ambaye hajafikia umri sahihi hilo ni kosa la jinai mzazi atachukuliwa hatua kwa mujbu wa sheria kuna baadhi ya wazazi wanasema mtoto mwenyewe karidhia hiyo haikubaliki mtoto hana maamuzi ya kuingia kwenye ndoa kabla ya muda” Sajenti…
18 April 2026, 11:20 am
Jamii Butiama yapewa Elimu kuhusu uhalifu
Kuna aina nyingi za uhalifu ikiwemo uhalifu dhidi ya mali, uhalifu dhidi ya binadamu, uhalifu dhidi ya maadili ya jamii yetu na uhalifu wa kimtandao hizo zote zinasumbua jamii. Na Oscar Mwakipesile Jamii Wilaya ya Butiama imepewa elimu kuhusu uhalifu…
14 April 2026, 11:13 am
Viongozi, wazazi waaswa kuimarisha malezi na ustawi wa watoto
”Viongozi wote wa vijiji na vitongoji kwa kushirikiana na wazazi tunapaswa kujua tunao watoto wangapi na kati ya hao ni wangapi ambao wako nje ya mfumo wa elimu ili tuwapeleke shule kwa ajili ya kulinda haki za mtoto”Afisa Tarafa ya…
13 April 2026, 2:51 pm
Wajasiriamali Butiama walia na bei ya mafuta
”Gunia moja la maembe tulikuwa tunasafirisha kwa shilingi elfu kumi sasa hivi tunasafirisha kwa shilingi elfu thelathini ukifikisha sokoni ukapandisha bei mteja anakataa anataka kununua bei aliyozoea hivyo tunajikuta mzigo unaoza kwa sababu ya kupanda kwa bei ya mafuta’‘ Mariam…
12 April 2026, 11:50 am
Jamii Butiama yaonywa ukatili wa kijinsia
“Ukatili wa kiuchumi ni kuwa kama mimi nimeoa mwanamke ambaye ni mfanyakazi lakini nikamzuia kufanya kazi kwa ajili ya kulea watoto nyumbani na nikasema mimi baba nitahudumia kila kitu maana yake nimemkatili mke wangu kiuchumi’‘ Charton Lambati kutoka Dawati la…
5 February 2026, 10:14 pm
Bodaboda FC washinda ubingwa wa Big Cup
Fainali iliyoandaliwa na Diwani wa Butiama imetamatika leo kwa tim ya Bodaboda kushinda ubingwa huo kwa kuwafunga timu ya Mwenge kwa goli moja kwa sifuri. Na Oscar Mwakipesile Timu tishio kwasasa Wilayani Butiama Mkoani Mara bodaboda fc imekuwa mabingwa mara…
7 October 2025, 7:48 pm
Butiama FM wanolewa utangazaji kidijitali Radio Tadio
Na Oscar Mwakipesile Katika semina iliyoandaliwa na Butiama FM siku ya pili tangu kuanza kwa semina hiyo wamefundishwa namna bora ya kuandika habari zinazoweza kuwekwa katika mtandao wa portal ili kuwawezesha kuwa na uelewa juu ya umuhimu wa kuandika habari…
6 October 2025, 6:43 pm
Waandishi wa habari Butiama wasisitizwa kuandika habari za jamii.
Uongozi wa Butiama fm umewasisitiza waandishi wa habari kutoa habari zinazo zunguka jamii husika Na Oscar Mwakipesile Katika semina ya siku nne iliyoandaliwa na uongozi wa Butiama fm umewaasa waandishi wa habari kutoa taarifa za jamii husika ili kuwezesha wananchi…
3 October 2025, 9:56 pm
RC Mara aongoza kusanyiko la ushirikishwaji wa jamii
Kusanyiko la ushirikishwaji wa jamii na uhamasishaji wa haki ya juu, kuweka mkakati wa mawasiliano mazuri kuitangaza Butiama FM Radio 93.1. Na Swaiba Oscar Mkuu wa mkoa ambaye ndiye alikuwa mgeni rasmi kwenye kusanyiko hilo aliongoza na kuwasihi wananchi wa…