Recent posts
21 June 2026, 7:46 am
Butiama yaweka mkazo usafi wa mazingira
“Hakuna mfanyabiashara anayepaswa kupuuza kampeni hii ya usafi. Wale ambao hawakuhudhuria leo, majina yao yaandikwe kwa ajili ya kuchukuliwa hatua za kisheria,“ Mkuu wa Wilaya ya Butiama, Thecla Mkuchika. Na Amos Marwa Mkuu wa Wilaya ya Butiama, Thecla Mkuchika, amezindua…
20 June 2026, 9:39 am
Ajiita Kanali, atapeli laki nne
‘‘Tunaviomba vyombo vya sheria kuhakikisha wahusika wanachukuliwa hatua kali za kisheria ili iwe fundisho kwa watu wengine wenye nia ya kujihusisha na vitendo vya udanganyifu na wizi.“Mwenyekiti wa Mtaa wa Makore, Safari Igembe Na Oscar Mwakipesile Aliyekuwa Diwani wa Kata…
8 June 2026, 8:08 am
Redio za jamii zajengewa uwezo wa kukabiliana na Ebola
Na Rose Haji Mwalimu Wafadhili wa miradi mbalimbali nchini wamekumbushwa umuhimu wa kuvishirikisha vyombo vya habari si tu katika hatua za upangaji wa shughuli, bali pia kwa kuvitengea bajeti maalum katika utekelezaji wa miradi hiyo ili kuwezesha uhamasishaji na utoaji…
30 May 2026, 2:50 pm
Wavamizi wachoma nyumba Muhunda
‘‘Tulikuwa na uzinduzi wa albamu ya muziki ambayo ilikuwa inafanyika katika sehemu yangu ya biasahara tulimaliza usiku na tulirejea saa tisa usiku tukiwa na mke wangu na kukuta nyumba imechomwa moto” David Wanzagi Nyerere Na Amos Marwa Watu wasiojulikana wamevamia…
28 April 2026, 2:20 pm
Polisi Butiama yatoa onyo uhalifu wa mitandao
”Wananchi wanapaswa kuthibitisha habari kupitia vyanzo rasmi na vya kuaminika kama Butiama FM kabla ya kusambaza habari hiyo lakini pia kuepuka kusambaza maudhui yasio na staha kwa jamii yetu” ASP Ponsian Kalinjuma, mkuu wa Polisi Jamii Wilaya ya Butiama, Na…
27 April 2026, 3:24 pm
Mila kandamizi zachochea ukatili wa kijinsia Butiama
Ukiozesha mtoto mdogo ambaye hajafikia umri sahihi hilo ni kosa la jinai mzazi atachukuliwa hatua kwa mujbu wa sheria kuna baadhi ya wazazi wanasema mtoto mwenyewe karidhia hiyo haikubaliki mtoto hana maamuzi ya kuingia kwenye ndoa kabla ya muda” Sajenti…
18 April 2026, 11:20 am
Jamii Butiama yapewa Elimu kuhusu uhalifu
Kuna aina nyingi za uhalifu ikiwemo uhalifu dhidi ya mali, uhalifu dhidi ya binadamu, uhalifu dhidi ya maadili ya jamii yetu na uhalifu wa kimtandao hizo zote zinasumbua jamii. Na Oscar Mwakipesile Jamii Wilaya ya Butiama imepewa elimu kuhusu uhalifu…
14 April 2026, 11:13 am
Viongozi, wazazi waaswa kuimarisha malezi na ustawi wa watoto
”Viongozi wote wa vijiji na vitongoji kwa kushirikiana na wazazi tunapaswa kujua tunao watoto wangapi na kati ya hao ni wangapi ambao wako nje ya mfumo wa elimu ili tuwapeleke shule kwa ajili ya kulinda haki za mtoto”Afisa Tarafa ya…
13 April 2026, 2:51 pm
Wajasiriamali Butiama walia na bei ya mafuta
”Gunia moja la maembe tulikuwa tunasafirisha kwa shilingi elfu kumi sasa hivi tunasafirisha kwa shilingi elfu thelathini ukifikisha sokoni ukapandisha bei mteja anakataa anataka kununua bei aliyozoea hivyo tunajikuta mzigo unaoza kwa sababu ya kupanda kwa bei ya mafuta’‘ Mariam…
12 April 2026, 11:50 am
Jamii Butiama yaonywa ukatili wa kijinsia
“Ukatili wa kiuchumi ni kuwa kama mimi nimeoa mwanamke ambaye ni mfanyakazi lakini nikamzuia kufanya kazi kwa ajili ya kulea watoto nyumbani na nikasema mimi baba nitahudumia kila kitu maana yake nimemkatili mke wangu kiuchumi’‘ Charton Lambati kutoka Dawati la…