Uvinza FM
Uvinza FM
25 March 2025, 9:10 am
Diwani wa wa kata ya kumunyika Bw. Seleman Kwirusha kutoa rai kwa wananchi kuhakikisha wanajikinga na ugonjwa hatari wa homa ya nyami kwa kufuata taratibu za kiafya. Na. Emmanuel Kamangu Diwani wa wa kata ya kumunyika ambaye pia ni Makamu…
14 March 2025, 3:00 pm
Licha ya mafanikio yaliyopatikana katika kupunguza visa vya malaria, bado kuna changamoto ya baadhi ya wananchi hutumia dawa za Malaria bila kufuata maelekezo ya wataalamu wa afya. Na Abdunuru Shafii Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais TAMISEMI…
12 March 2025, 12:41 pm
Wananchi wametakiwa kuimarisha usafi na kujikinga na magonjwa ya mlipuko kama marburg katika maeneo yao. Na Abdunuru Shafii Wakazi wa mtaa wa Mjimwema kata ya Nguruka halmashauri ya wilaya Uvinza wameeleza namna wanavyojikinga na magonjwa ya mlipuko ikiwemo ugonjwa wa…
6 March 2025, 11:25 pm
Kuelekea kilele cha maadhisho ya wanawake duniani 2025, serikali imetoa fedha zaidi ya milioni tatu katika halmashauri ya wilaya ya uvinza kwa ajili ya wanawake,vijana na watu wenye ulemavu ambapo wanatakiwa watumie katika kuleta maendeleo. Na Theresia Damasi Kuelekea kilele…
5 March 2025, 12:00 am
Ameseama jamii inapaswa kuchukua tahadhari kwa kuepuka kugusa au kula nyama ya popo, au nyama ya mnyama wa mwituni akiwemo nyani. Na Theresia Damasi Wananchi wa Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma na maeneo ya jirani wameshauriwa kuchukua tahadhari juu ya…
28 February 2025, 4:20 pm
Wafanyakazi wa Uvinza FM wamepatiwa elimu juu ya ugonjwa wa marburg na namna ya kujilinda na ugonjwa huo. Na Linda Dismas Msimamizi wa vipindi wa Uvinza fm Bw. Abdunuru Shafii ameeleza namna ambavyo ugonjwa wa Marburg unaenezwa pamoja na kuwataka…
26 February 2025, 11:48 am
Mtendaji wa kata ya uvinza awasihii wananchi kutumia sanduku la maoni kuziwasilisha kero zao pamoja na mapendekezo yao. Na Linda Dismas Wananchi wa kata ya Uvinza wameaswa kutumia sanduku la maoni kwa kuwasilisha kero zao. Hayo yameelezwa na Afisa mtendaji…
24 February 2025, 11:11 pm
Wanafunzi wamepata mafunzo ya namna ya urushaji wa matangazo redioni, ikiwa wapo katika kujifunza mada ya Antena. Na Theresia Damas Wanafunzi katika shule ya msingi Nyambutwe wilayani uvinza wamepata mafunzo ya namna ya urushaji wa matangazo redioni, ikiwa wapo katika…
22 February 2025, 6:59 pm
Wananchi mkoa wa Kigoma walia na serikali juu ya ukosefu wa mfumo wa utiririshaji wa maji wadai kunawapelekea kupatwa na magonjwa ya mlipuko. Na Linda Dismas Wananchi wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma wameeleza changamoto wanazokumbana nazo kutokana na kutokuwa na…
14 February 2025, 9:26 am
Serikali imeendelea kusisitiza suala la ulaji wa vyakula vyenye lishe bora kwa wazazi na watoto. Na Theresia Damas Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza imefanya tathmini ya kikao kuangazia lishe bora ikiwa na maazimio mbalimbali ikiwemo watoto kula shuleni ili kuwajenga…
Uvinza FM is situated in Uvinza District of Kigoma Region, transmitting at FM 96.5 MHz frequency. Uvinza FM is registered under Business names by BRELA and has a broadcasting licence issued by TCRA. It is also incorporated with RITA as a trust.
Uvinza District has unique characteristics of socio economic backwardness. Its culture is predominantly peasant agriculture and animal husbandry has recently migrated into the area.Awareness creation by radio is needed to change mindsets that retard social and economic behavior change. Radio sets are affordable by price and proximity for the general public, NGOs and other institutions.
This radio service is for social investment.The Social Market niche Profile for Uvinza FM Community Radio intervention includes the General Public,GoT, NGO and related projects and institutions.
96.5 Uvinza FM Community Radio is editorially and financially independent community radio station.
VISION:
Communities in of Uvinza and Lake Tanganyika Shore Corridor ecosystems having sustainable soci-political economic and cultural development.
MISSION:
To be a platform for soci-political economic development information by building up knowledge through in depth researched programmes in education, health, agriculture, animal husbandry, entrepreneurship, sports and culture orientations; environmental care, protection and rehabilitation of flora and fauna.
Radio uvinza fm