Radio Tadio

sensa

21 Aprili 2026, 7:05 um

Wataalam: Ugonjwa wa sikoseli si laana

 Jamii mkoani Manyara imetakiwa kuachana na imani potofu kuwa ugonjwa wa sikoseli unasababishwa kwa kulogwa au laana, bali ugonjwa huo unasababishwa na kurithi. Na Mzidalfa Zaid Hayo yameelezwa na mratibu wa sikoseli na Hemofilia kutoka Wizara ya Afya Dkt. Astera…

8 Oktoba 2025, 5:30 um

Miundombinu hifadhi ya taifa Rubondo yaboreshwa

Kwa sasa hifadhi hiyo inaendelea kuboresha huduma za utalii, ikiwa ni pamoja na usafiri wa majini, malazi ya kisasa na shughuli za uhamasishaji wa utalii wa ndani. Na Mrisho Sadick: Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo iliyopo wilayani Chato…

28 Septemba 2023, 12:49 mu

Wanahabari wapewa siri ya kuwawezesha kuhoji

Kupitia matokeo ya Sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 mwanahabari unaweza kuhoji ili kuisaidia jamii Na Edward Lucas Kamisaa wa Sensa ya watu na makazi, Spika msaafu Mhe.Anna Makinda amewaasa waandishi wa habari kuhakikisha kuwa wanasoma taarifa ya…