Migogoro
23 January 2024, 7:32 pm
Wananchi watakiwa kufahamu sheria za utatuzi wa migogoro
Maonesho ya wiki ya sheria yanatarajia kuanza kesho januari 24 jijini dodoma na ufunguzi huo utafanywa na Spika wa bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Akson huku kilele chake kikiwa januari 31 na mgeni Rasmi akitarajiwa kuwa…
10 November 2023, 1:58 pm
Wananchi Ugala waiomba serikali kutolea ufafanuzi wa maeneo wanayoishi
Wananchi wa Kijiji cha Kimani kata ya Ugala halmashauri ya Nsimbo wameiomba serikali kutolea ufafanuzi malalamiko ambayo yanawataka kuhama. Nsimbo Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Kimani kata ya Ugala halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi wameiomba serikali kutolea ufafanuzi juu…
29 October 2023, 8:21 pm
TAKUKURU yaagizwa kumchunguza mkurugenzi wa Halmashauri ya mji wa Geita
Baraza la madiwani wa Halmashauri ya mji wa Geita limeonesha kutoridhishwa na utendaji kazi wa mkurugenzi wa halmashauri ya mji wa Geita. Na Mrisho Sadick – Geita Mkuu wa wilaya ya Geita Cornel Magembe ameiagiza taasisi ya Kuzuia na Kupambana…
18 October 2023, 12:18 pm
Walimu Nyaburundu watajwa kujiingiza kwenye siasa shuleni
Imeelezwa kuwa baadhi ya walimu wa shule ya Msingi Nyaburundu iliyopo kata ya Ketare halmashauri ya wilaya ya Bunda mkoani Mara wamejiingiza katika siasa na kusahau wajibu wao shuleni. Na Thomas Masalu Imeelezwa kuwa baadhi ya walimu wa shule ya…
17 October 2023, 8:51 am
Mlida: Aainisha mipaka kuondoa migogoro wahifadhi na wafugaji
Mwenyekiti wa chama cha wafugaji Tanzania na mjumbe wa bodi ya wakurugenzi shirika la NARCO Mhe Mlida Mshota ameziomba mamlaka kuainisha mipaka baina ya hifadhi na maeneo ya wafugaji ili kuepusha migogoro baina yao na wafugaji. Na Adelinus Banenwa Mwenyekiti…
4 October 2023, 12:12 am
Wilaya tatu Morogoro zanufaika na elimu ya msaada wa kisheria
wananchi wakifuatilia mafundisho kutoka kwa mwezeshaji wa Morogoro Paralegal Center – Picha Isidory Kituo cha msaada wa kisheria Morogoro Paralegal Center(MPLC), katika ziara ya uhamasishaji (outreach) kimebaini changamoto za kisheria kwa wakazi wilaya za Kilombero, Malinyi na Ulanga, ambao wanakabiliwa…
29 September 2023, 10:30 pm
Bodaboda Geita wagoma kuzika wakiwadai rambirambi viongozi wao
Suala la kupewa pesa pungufu unapotokea msiba wa bodaboda mwenzao katika chama cha bodaboda mkoa wa Geita, limewaibua bodaboda hao na kuamini viongozi wao wana kawaida ya kula rambirambi. Na Zubeda Handrish- Geita Waendesha boda boda mkoani Geita wamegoma kufanya…
12 September 2023, 8:11 am
Kukosekana kwa wosia chanzo cha migogoro ya ardhi
Utamaduni wa watu wengi kutoandika wosia imetajwa kuwa chanzo cha migogoro ya ardhi katika jamii nyingi nchini Tanzania huku mila na desturi zikitajwa. Na Lennox Mwamakula- Rungwe Jamii imeshauriwa kuwa na utaratibu wa kuandika wosia ili kuondokana na mkanganyiko juu…
September 11, 2023, 12:51 pm
Wananchi waliovamia maeneo watakiwa kuondoka
Wananchi waliovamia maeneo yaliyotengwa na wananchi katika kijiji cha Shinji wilayani Ileje mkoani Songwe watakiwa kuondoka Na Denis Sinkonde, Songwe Agizo hilo limetolewa na mkuu wa wilaya hiyo Farida Mgomi wakati akizungumza na wananchi hao katika mkutano wa hadhara uliofanyika…
9 March 2023, 12:39 pm
Mkuu wa mkoa wa Dodoma atatua mgogoro wa wakulima na wafugaji
Mh. Rosemary Senyamule ametatua mgogoro wa wakulima na wafugaji wa vijiji vya Izava na Chitego vilivyopo katika wilaya za Kongwa na Chamwino. Na Alfred Bulahya. Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mh. Rosemary Senyamule ametatua mgogoro wa wakulima na wafugaji wa…