Radio Tadio

Migogoro

4 October 2023, 12:12 am

Wilaya tatu Morogoro zanufaika na elimu ya msaada wa kisheria

wananchi wakifuatilia mafundisho kutoka kwa mwezeshaji wa Morogoro Paralegal Center – Picha Isidory Kituo cha msaada wa kisheria Morogoro Paralegal Center(MPLC), katika ziara ya uhamasishaji (outreach) kimebaini changamoto za kisheria kwa wakazi wilaya za Kilombero, Malinyi na Ulanga, ambao wanakabiliwa…

29 September 2023, 10:30 pm

Bodaboda Geita wagoma kuzika wakiwadai rambirambi viongozi wao

Suala la kupewa pesa pungufu unapotokea msiba wa bodaboda mwenzao katika chama cha bodaboda mkoa wa Geita, limewaibua bodaboda hao na kuamini viongozi wao wana kawaida ya kula rambirambi. Na Zubeda Handrish- Geita Waendesha boda boda mkoani Geita wamegoma kufanya…

12 September 2023, 8:11 am

Kukosekana kwa wosia chanzo cha migogoro ya ardhi

Utamaduni wa watu wengi kutoandika wosia imetajwa kuwa chanzo cha migogoro ya ardhi katika jamii nyingi nchini Tanzania huku mila na desturi zikitajwa. Na Lennox Mwamakula- Rungwe Jamii imeshauriwa kuwa na utaratibu wa kuandika wosia ili kuondokana na mkanganyiko juu…

September 11, 2023, 12:51 pm

Wananchi waliovamia maeneo watakiwa kuondoka

Wananchi waliovamia maeneo yaliyotengwa na wananchi katika kijiji cha Shinji wilayani Ileje mkoani Songwe watakiwa kuondoka Na Denis Sinkonde, Songwe Agizo hilo limetolewa na mkuu wa wilaya hiyo Farida Mgomi wakati akizungumza na wananchi hao katika mkutano wa hadhara uliofanyika…